Ningependa mchana huu chakula hiki anipikie Seran

Ningependa mchana huu chakula hiki anipikie Seran

Forrest Gump

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2021
Posts
757
Reaction score
2,141
Step by step atanifahamu mrembo huyu na ipo siku atafungua prime minister (PM) yake. Sikati tamaa
69eab9de42561b273d40c7f37b9590d5.jpg
 
Mbona unakuwa mjinga na mpumbavu mkuu .....
Unampenda mtu humjui ? Hujawahi kumuona ? Hujui hata background ama status yake ?

Just kuona threads na comments zake umempenda ? How?

Tuna shida kubwa sio kidogo, ndio maana lile lijamaa la marekani lilisema tunahitaji kutawaliwa tena ... shit_hole



Seran njoo mchukue mumeo mama
 
Mbona unakuwa mjinga na mpumbavu mkuu .....
Unampenda mtu humjui ? Hujawahi kumuona ? Hujui hata background ama status yake ?

Just kuona threads na comments zake umempenda ? How?

Tuna shida kubwa sio kidogo, ndio maana lile lijamaa la marekani lilisema tunahitaji kutawaliwa tena ... shit_hole



Seran njoo mchukue mumeo mama
Mbona wangu ninaye huku ndani kafikaje tena huku😱
 
Mbona unakuwa mjinga na mpumbavu mkuu .....
Unampenda mtu humjui ? Hujawahi kumuona ? Hujui hata background ama status yake ?

Just kuona threads na comments zake umempenda ? How?

Tuna shida kubwa sio kidogo, ndio maana lile lijamaa la marekani lilisema tunahitaji kutawaliwa tena ... shit_hole



Seran njoo mchukue mumeo mama
Mkuu una kichaa? Unampenda mtu au ID yake hapa? Acha upuuzi
Ila sio kosa lake kupenda kivyovyote

Kila mtu Ana style yake ya kupenda wakuu muacheni na hisia zake
 
Back
Top Bottom