Hivi Wenzangu huwa mnakula vyakula Gani?

Hivi Wenzangu huwa mnakula vyakula Gani?

Joshua Mbezi

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2024
Posts
1,936
Reaction score
4,181
Mwenzenu maisha ni kama yananichanganya maana suala la mlo limekuwa kizungumkuti.

Najikuta mzunguko wa chakula changu ni ule ule

- wali, samaki, maharage

- Ugali, samaki, dagaa, vegetables, Viazi

Kiasi kwamba nimefikia hatua naghairisha kula kwasababu sioni kipya Cha kupika au kupikiwa nalala tu na njaa zangu.

Kuhusu nyama Mimi ni miongoni mwa watu wenye allergy na nyama hakuna nyama yoyote ninayoitumia duniani

Wenzangu nisaidie kunitajia aina nyingne za vyakula japo nikajaribu maana repeating Meal inaelekea kunishinda kabisa.
 
Mwenzenu maisha ni kama yananichanganya maana suala la mlo limekuwa kizungumkuti

Najikuta mzunguko wa chakula changu ni ule ule
wali, samaki, maharage

Ugali, samaki, dagaa, vegetables
Viazi , bc

Kiasi kwamba nimefikia hatua naghailisha kula kwasababu sion kipya Cha kupika au kupikiwa nalala tu na njaa zangu

Kuhusu nyama Mimi ni miongoni mwa watu wenye allergy na nyama hakuna nyama yoyote ninayoitumia duniani

Wenzangu nisaidie kunitajia aina nyingne za vyakula japo nikajaribu maana repeating Meal inaelekea kunishinda kbc
Kukosa kula nyama una hasara sana.Badirisha mapishi ya vyakula hivihivo,siku rost,mchemsho,choma ,kaanga nk
 
Binafsi naona vyakula ndio vile vile tu ila ni kubadilisha aina za upishi coz huo mchele una mapishi zaid ya 40 ila ugali labda mboga,
Iwe ndizi, viazi ni kubadilisha staili tu za kupika na ukimpanda mwanamke ambae anapenda sana kupika pika na kufuatilia mapishi hapo utaenjoy vyakula japo ni vilevile ila stail tofaut ambazo zinabadilisha ladha pia
 
Umeoa mkuu? Ngoja waje waliooa wakupe uzoefu wa kula mboga moja miaka kwa miaka. Hao ndio wanafaa kukushauri.

Mimi kama Mwaisa nilitaka kukushauri ule Kitimoto. Haijawahi kuboa
 
Mwenzenu maisha ni kama yananichanganya maana suala la mlo limekuwa kizungumkuti

Najikuta mzunguko wa chakula changu ni ule ule
wali, samaki, maharage

Ugali, samaki, dagaa, vegetables
Viazi , bc

Kiasi kwamba nimefikia hatua naghailisha kula kwasababu sion kipya Cha kupika au kupikiwa nalala tu na njaa zangu

Kuhusu nyama Mimi ni miongoni mwa watu wenye allergy na nyama hakuna nyama yoyote ninayoitumia duniani

Wenzangu nisaidie kunitajia aina nyingne za vyakula japo nikajaribu maana repeating Meal inaelekea kunishinda kbc
Sijaona Uyoga hapo wala mihogo na halafu vp. mkuu ww hulagi matunda??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom