Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Yapo mengi ya aina, Mapenzi ya kila namna, Ya wazee na vijana, Mioyo inapeana; Na lipo penzi la kichina! Yapo yale ya kizungu, Ya weupe na wanungu, Yapo hata ya machangu, Na ya kufukuzwa na...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Wanajamvi nambieni... Ni urafiki gani huu, kati ya usingizi na kifo? Ni undugu gani huu, kati ya hofu na mauti? Ni ujirani gani huu, kati ya mashaka na upotevu? Ni ushirika gani huu, kati ya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Chakula nilichokula, nakisifia kitamu! Nimekula bila hila, kimeniondoa hamu, Cha jirani sitokula, changu chanitosha hamu, Nilichokula kitamu, nilichokula nini? Sikukipika kwa moto, kwani...
0 Reactions
36 Replies
8K Views
Habari zimenifikia kuwa hadithi yangu ya Tanga Usiku wa Manane imeanza kuchapwa katika gazeti la Tanzania Daima na itaendelea tena siku ya Jumamosi; usikose. Mwambie na jirani yako... Niko...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Salam ndugu wana JF napenda kujua maana ya maneno haya kwa kiswahili kwani huwa yananichanganya sana.Natanguliza shukurani. 1. Homophobic 2. Homosexual 3. Bisexual 4. Heterosexual 5...
0 Reactions
18 Replies
24K Views
Bwana Muro kaa sawa, wenzio hao wahuni Ndugu Jerry ota mbwawa, wajuwe uwa mjini! Dogo Muro watauwa, ingia zako mitini! Wenzio hao wahuni, tulia au ishia! Tena punguza jazba, tumia mbongo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Swahili (Kiswahili) is a Bantu language spoken by various ethnic groups that inhabit several large stretches of the Indian Ocean coastline from southern Somalia to northern Mozambique, including...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Hivi karibuni niliulizwa jinsi ya kuandika maneno haya kwa Kiswahili! Naomba msaade jamvini hapa. Labda vijisehemu hapo chini vitafaa kwa njia moja au nyingine kufanya hii: 1. kuathirika...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
1.Nimesahau maana yake "mkokotozi wa kompyuta" kwa Kiingereza. Naomba nikumbushwe. Asante.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
hili neno la kingereza lina utata katika matumizi. maana yake hasa ni nini? kwenye barua utakuta Drea sir/madam. tunaambiwa dear ni mpenzi, so tuseme mpenzi kwenye barua rasmi? maana yake hasa ni...
0 Reactions
42 Replies
21K Views
Mapenzi yenye kuwadi, kwa vipi yawe ya moyo? 1. Ndugu nipeni kilinge, ninalo la kuwaliza, Lazima sasa niringe, kwalo ninalouliza, wambea nao wachonge, beti zote kumaliza Mapenzi yenye kuwadi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ndugu wana JF Hbari za hapa nyumbani natumaini wote wazima wa afya. Wandugu, nina swali langu kwamba ni chuo gani kinachojulikana kitaifa / kimataifa au nikionyesha cheti cha ukalimani...
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Jana jioni nilisikia Radio Clouds, wakiuliza tofauti baina ya maneno: tundu, tobo na shimo. Kwa bahati mbaya sikufanikiwa kusikia majibu ya wasikilizaji yalikuwaje. Nimeona si vibaya nikauleta...
0 Reactions
22 Replies
7K Views
Sometimes, I could not understand when someone writes these words. I just ended up ignoring without finding its real meaning. Or sometimes, I thought that he/she has misspelled (amechapia maneno)...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Hodi hodi hatutaki, Sisi tuko faraghani, Tunakula mishikaki, Mwaja sasa ni kwanini, Wageni muwe pembeni. Moyoni hatuna chuki, Hilo liwe akilini, Na hapa hatuondoki, Hata pakiwa gizani, Wageni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimekuwa nikikwazwa sana na baadhi ya watu wanaonitumia ujumbe mfupi wa maneno kwa kwa vifupisho na pengine kwenye simu ya mkonon (SMS) na imekuwa hivyo pengine hata kwenye barua pepe (email) pia...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
I was rejected by all people, but Jesus loved me, I was full of all evil, before the Spirit filled me, I was, are you!?? I was lost in a valley, and his hands brought me up, I was lying in...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Niliianza safari, japo likuwa mdogo, niliionja futari, au asali ya gogo, sikuiona hatari, wala sikuona dogo, niliianza safari, safari yangu pendoni. Ilikuwa na utamu, ukweli siwezi ficha...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Muumba Mwenye viapo kila aina, Anatuhakikishia kuwa ipo Siku itasimama, Wakati ukiwadia wa kuisagasaga milima, Mwezi na nyota zitakapokunjana, Ole wao siku hiyo hao wanaokana. Aliyetolewa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
wapendwa, mi sikukuu hii ya krismass na mwaka mpya nasherehekea pamoja na rafiki yang mmoja mchina. pamoja na mambo mengine huwa ananifundisha kidogokidogo kuongea kichina, sasa juzi tukiwa...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Back
Top Bottom