Yapo mengi ya aina,
Mapenzi ya kila namna,
Ya wazee na vijana,
Mioyo inapeana;
Na lipo penzi la kichina!
Yapo yale ya kizungu,
Ya weupe na wanungu,
Yapo hata ya machangu,
Na ya kufukuzwa na...
Wanajamvi nambieni...
Ni urafiki gani huu, kati ya usingizi na kifo?
Ni undugu gani huu, kati ya hofu na mauti?
Ni ujirani gani huu, kati ya mashaka na upotevu?
Ni ushirika gani huu, kati ya...
Habari zimenifikia kuwa hadithi yangu ya Tanga Usiku wa Manane imeanza kuchapwa katika gazeti la Tanzania Daima na itaendelea tena siku ya Jumamosi; usikose. Mwambie na jirani yako... Niko...
Salam ndugu wana JF napenda kujua maana ya maneno haya kwa kiswahili kwani huwa yananichanganya sana.Natanguliza shukurani.
1. Homophobic
2. Homosexual
3. Bisexual
4. Heterosexual
5...
Swahili (Kiswahili) is a Bantu language spoken by various ethnic groups that inhabit several large stretches of the Indian Ocean coastline from southern Somalia to northern Mozambique, including...
Hivi karibuni niliulizwa jinsi ya kuandika maneno haya kwa Kiswahili! Naomba msaade jamvini hapa. Labda vijisehemu hapo chini vitafaa kwa njia moja au nyingine kufanya hii:
1. kuathirika...
hili neno la kingereza lina utata katika matumizi. maana yake hasa ni nini? kwenye barua utakuta Drea sir/madam. tunaambiwa dear ni mpenzi, so tuseme mpenzi kwenye barua rasmi? maana yake hasa ni...
Mapenzi yenye kuwadi, kwa vipi yawe ya moyo?
1.
Ndugu nipeni kilinge, ninalo la kuwaliza,
Lazima sasa niringe, kwalo ninalouliza,
wambea nao wachonge, beti zote kumaliza
Mapenzi yenye kuwadi...
Ndugu wana JF Hbari za hapa nyumbani natumaini wote wazima wa afya.
Wandugu, nina swali langu kwamba ni chuo gani kinachojulikana kitaifa / kimataifa au nikionyesha cheti cha ukalimani...
Jana jioni nilisikia Radio Clouds, wakiuliza tofauti baina ya maneno: tundu, tobo na shimo. Kwa bahati mbaya sikufanikiwa kusikia majibu ya wasikilizaji yalikuwaje. Nimeona si vibaya nikauleta...
Sometimes, I could not understand when someone writes these words. I just ended up ignoring without finding its real meaning. Or sometimes, I thought that he/she has misspelled (amechapia maneno)...
Hodi hodi hatutaki,
Sisi tuko faraghani,
Tunakula mishikaki,
Mwaja sasa ni kwanini,
Wageni muwe pembeni.
Moyoni hatuna chuki,
Hilo liwe akilini,
Na hapa hatuondoki,
Hata pakiwa gizani,
Wageni...
Nimekuwa nikikwazwa sana na baadhi ya watu wanaonitumia ujumbe mfupi wa maneno kwa kwa vifupisho na pengine kwenye simu ya mkonon (SMS) na imekuwa hivyo pengine hata kwenye barua pepe (email) pia...
I was rejected by all people, but Jesus loved me,
I was full of all evil, before the Spirit filled me,
I was, are you!??
I was lost in a valley, and his hands brought me up,
I was lying in...
Muumba Mwenye viapo kila aina,
Anatuhakikishia kuwa ipo Siku itasimama,
Wakati ukiwadia wa kuisagasaga milima,
Mwezi na nyota zitakapokunjana,
Ole wao siku hiyo hao wanaokana.
Aliyetolewa...
wapendwa, mi sikukuu hii ya krismass na mwaka mpya nasherehekea pamoja na rafiki yang mmoja mchina. pamoja na mambo mengine huwa ananifundisha kidogokidogo kuongea kichina, sasa juzi tukiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.