Waungwana,
Nimekuwa nikitafuta kamusi ya kiswahili inayoweza kukidhi fani kama za Kompyuta, Internet na Telecommunication, bila mafanikio.
Kama kuna mtu yeyote anafahamu ni juhudi gani zinafanyika ili kuhakikisha tunaweza kuwafundisha watoto wetu shule za msingi, mambo ya Information and Communication Technology (ICT).
Bila kuwepo na tafsiri nzuri tutaishia kila mwalimu kutunga neno lake. Mfano nimeona ukurasa fulani ambapo webmaster aliita 'password' :"Neno pita". Ilinishangaza kidogo. Nilitegemea kitu kama "Neno siri", "ufunguo" nk.
Thadeo.
Nimekuwa nikitafuta kamusi ya kiswahili inayoweza kukidhi fani kama za Kompyuta, Internet na Telecommunication, bila mafanikio.
Kama kuna mtu yeyote anafahamu ni juhudi gani zinafanyika ili kuhakikisha tunaweza kuwafundisha watoto wetu shule za msingi, mambo ya Information and Communication Technology (ICT).
Bila kuwepo na tafsiri nzuri tutaishia kila mwalimu kutunga neno lake. Mfano nimeona ukurasa fulani ambapo webmaster aliita 'password' :"Neno pita". Ilinishangaza kidogo. Nilitegemea kitu kama "Neno siri", "ufunguo" nk.
Thadeo.