MASAHIHISHO YA HISTORIA YA MAULID HASSAN
Kizito Mpangala
Si kweli
Aliyemficha Mwalimu Nyerere ameshafariki alikuwa baba yake Maulid Hassan alifahamika kama HASSAN MANGUNYUKA.
Huyu Maulid...
KUELEKEA KUADHIMISHA UHURU WA TANGANYIKA SEHEMU YA PILI: KUSOMESHA HISTORIA BILA KHIYANA
Nina wajibu wa kusomesha historia ya uhuru wa Tanganyika kwani wengi hawaifahamu.
Nimekuwa nikisomesha...
Klipu ya Televisheni miaka 31 iliyopita , mvulana huyu ni Macron, Rais wa sasa wa Ufaransa 🇫🇷, na dancer na Mwalimu wake, ndiye mke wake wa sasa.Wamepishana miaka 24.
Jina ni Dora Bloch na siyo Dora Block kama ilivyoandikwa katika kichwa cha habari hapo juu.
Na: Mwalimu Makoba
Mapema tarehe 28 mwezi Juni mwaka 1976, ndege ya Air France ilitekwa na kikundi cha...
LEILA SHEIKH NA UTAFITI WA HISTORIA YA BIBI TITI
Ilikuwa ni katika miaka ya 1980 ndipo nilipofahamiana na Leila Sheikh mwanadada kutoka Tanga.
Siku hizo ndiyo kwanza alikuwa katoka masomoni...
BIBI TITI MOHAMED NA HISTORIA YA UWANJA WA MNAZI MMOJA 1950s
Katika uwanja huu mwaka wa 1949 walikusanyika makuli wa Bandari ya Dar-es-Salaam wanachama wa Dar-es-Salaam Dockworkers Union...
BIBI TITI FESTIVAL IKWIRIRI RUFIJI: MLANGO ALIOFUNGUA BIBI TITI UMEPITWA NA WANAWAKE IDADI YAO HAINA HESABU
Aliyepewa hapokonyeki.
Bibi Titi kawika alipokuwa hai.
Bibi Titi anawika akiwa...
BIBI TITI MOHAMED KATIKA KITABU CHA JIM BAILEY "THE HISTORY OF JULIUS NYERERE"
Nilimfahamu Jim Bailey kupitia kwa Ally Sykes alikuwa na mswada wa kitabu cha picha: "Tanzania: "The Story of Julius...
HISTORIA FUPI YA BIBI TITI NILIYOZUNGUMZA UWANJA WA UJAMAA KATIKA KILELE CHA BIBI TITI FESTIVAL
Nilifungua kwa kusema kuwa Bibi Titi hana mfanowe.
Rufiji ina historia ya pekee katika kupigania...
UTABIRI WA BIBI TITI MOHAMED: HISTORIA YA UHURU ITAANDIKWA NA WATU AMBAO HATA HAMTAWATEGEMEA
Bibi Titi alipata kumwambia mjukuu wake Omari Mzee Kitenge kuwa historia yake itakuja kuandikwa hata...
https://youtu.be/m6XH4SGWjDk
Ilikuwa wakati Nyerere yuko Musoma ndipo John Hatch kutoka Chama cha Labour cha Uingereza alipokuja Tanganyika kama mgeni wa TANU.
TANU ilifanya mkutano mkubwa sana...
DULLY SYKES
Hukaa nikarudi nyuma sana katika fikra.
Ilikuwa mwaka wa 1968 mimi na Ebby Sykes tumekaa kwenye kibaraza cha nyumba moja Mtaa wa Mchikichi na Livingstone.
Ebby alikuwa ndiyo kafiwa...
Hii ndiyo dini inayotufaa kwa sasa kama hawa hapa chini walianzisha dini zao za kikristu chini ya yesu ndani ya ulaya sasa na sisi WAAFRIKA tuanzishe zetu ndani ya AFRIKA.
Mimi ninaanzisha hii...
MAMA NA MWANA WAZALENDO WAPIGANIA UHURU WA TANGANYIKA
Huenda historia ya Bi. Mwamtoro bint Chuma na mwanae Haydar Mwinyimvua ikawa ndiyo historia ya pekee ya mama na mwana wote wawili na kwa...
Picha hiyo hapo chini kaiweka Emmanuel "Jenkins" Muganda.
Nimemwandikia maneno haya:
Jenkins,
Hapo mna historia ya uhuru wa Tanganyika ya kuandikwa kwa wino wa dhahabu.
Kwanza Chief Edward...
INTERESTING HISTORIES INTERESTING STORIES
Kuna mtu kaniandikia anatafuta kazi imshughulishe kaniomba msaada.
Nimemwandikia hayo hapo chini na nimeweka hapa ili mwingine yeyote atakae shughuli ya...
SAFARI YA KWANZA UNO 1955 MWALIMU NYERERE ALISAFIRI BILA YA KUPATA CHANJO
Abdul Sykes anamwambia mdogo wake Abbas, ''Nyerere anasafiri kwenda UNO na lazima adungwe sindano (vaccination).
Mimi...
KUTOKA KWA NYEMO CHILONGANI.
Tuanze kupiga mastori kadhaa kuhusu mambo mbalimbali yaliyowahi kutokea miaka hiyo ya nyuma. Nataka leo nikwambie kitu kimoja kuhusu kitabu kikubwa sana, kitabu...
KITABU KINGINE CHA SHEIKH PONDA KIMEZINDULIWA: WALIOPOTEZWA TANZANIA.
Katika kipindi cha miaka mitatu nimekuwa nikipokea vitabu kutoka kwa waandishi wakiniomba nifanye pitio yaani, "book review,"...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.