Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,921
- 30,266
SAFARI YA KWANZA UNO 1955 MWALIMU NYERERE ALISAFIRI BILA YA KUPATA CHANJO
Abdul Sykes anamwambia mdogo wake Abbas, ''Nyerere anasafiri kwenda UNO na lazima adungwe sindano (vaccination).
Mimi siwaamini hawa Waingereza wasije wakamdhuru.
Hakikisha kuwa Nyerere anapata ''vaccination certificate,'' lakini hapigwi sindano."
Hivi ndivyo ilivyokuwa.
Nyerere hakuchoma sindano.
Vaccination Certificate ilipatikana lakini Mwalimu hakupiga sindano na akasafari kwenda New York bila ya kuchanjwa.
Picha hiyo hapo chini nafanya mahojiano na Balozi Abbas Sykes nyumbani kwake Sea View mwaka wa 2012.
Abdul Sykes anamwambia mdogo wake Abbas, ''Nyerere anasafiri kwenda UNO na lazima adungwe sindano (vaccination).
Mimi siwaamini hawa Waingereza wasije wakamdhuru.
Hakikisha kuwa Nyerere anapata ''vaccination certificate,'' lakini hapigwi sindano."
Hivi ndivyo ilivyokuwa.
Nyerere hakuchoma sindano.
Vaccination Certificate ilipatikana lakini Mwalimu hakupiga sindano na akasafari kwenda New York bila ya kuchanjwa.
Picha hiyo hapo chini nafanya mahojiano na Balozi Abbas Sykes nyumbani kwake Sea View mwaka wa 2012.