Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,921
- 30,265
MASAHIHISHO YA HISTORIA YA MAULID HASSAN
Kizito Mpangala
Si kweli
Aliyemficha Mwalimu Nyerere ameshafariki alikuwa baba yake Maulid Hassan alifahamika kama HASSAN MANGUNYUKA.
Huyu Maulid alikuwa kijana mdogo enzi hizo.
Ijapokuwa historia haisemi wazi Mwalimu Nyerere alisaidiwa na familia ya Wahindi walijulikana kama HASSANALI DINANI BROTHERS.
HASSANALI DINANI BROTHERS waliongoza vijana kukata matawi ya miti na kulificha gari la Mwalimu Nyerere.
Kizito Mpangala
Si kweli
Aliyemficha Mwalimu Nyerere ameshafariki alikuwa baba yake Maulid Hassan alifahamika kama HASSAN MANGUNYUKA.
Huyu Maulid alikuwa kijana mdogo enzi hizo.
Ijapokuwa historia haisemi wazi Mwalimu Nyerere alisaidiwa na familia ya Wahindi walijulikana kama HASSANALI DINANI BROTHERS.
HASSANALI DINANI BROTHERS waliongoza vijana kukata matawi ya miti na kulificha gari la Mwalimu Nyerere.