https://m.youtube.com/watch?v=CkV0dGk6XxA
Zoroastrianism ni dini ya kale ya Kiajemi ambayo inaweza kuwa ilianza mapema kama miaka 4,000 iliyopita. Bila shaka imani ya kwanza ya Mungu mmoja...
Na Kizito Mpangala ..
"Mohamed Mkokota, hautaweza kupata eneo la kutawala Uingereza kwa sababu wewe ni mweusi na pia wewe siyo Mwingereza." Lilikuwa jibu la Gavana wa Kiingereza nchi ya...
https://youtu.be/vbYWViPdGYk
Historia hii ya fikra ya kuunda TANU kutoka Kalieni Camp, nje kidogo ya Bombay Mkesha wa Xmas mwaka wa 1945 ipo katika kitabu hicho hapo chini kilichoandikwa na...
FAHAMU HISTORIA YA "WAPARE" WATU BAHILI ZAIDI TZ
Wapare ni kabila kutoka milima ya Pare, Mkoa wa Kilimanjaro, kaskazini ya nchi ya Tanzania. Lugha yao ni Kipare ( Chasu).
Wapare wanatokea katika...
David Wakati alikuwa mzungumzaji wangu sana tukikutana. Nikipenda sana vipindi vyake hasa, "Nipe Habari."
Signature tune ya kiindi hiki ilikuwa nyimbo maarufu, ''South of the Border.''
Katika...
Hadi kufikia juma la kwanza la mwezi wa Desemba, mikoa mitatu kati ya kumi na saba ilikuwa tayari imeshajitenga kutoka EAMWS.
Kile kikundi cha Adam Nasibu kikaunda kamati kwa ushirikiano na...
WAZALENDO WATATU WALIOKABIDHIWA USAJILI WA CHAMA CHA TANU NA MMOJA ALIYEWAINGIZA WANACHAMA WA KWANZA TANU
Nilialikwa Ikwiriri Rufiji kwenye Bibi Titi Festival.
Siku ya Waziri Mkuu Kassim...
Na; Thadei Ole Mushi.
Mabadiliko ya Baraza la Mawaziri na Manaibu Waziri yaliyofanywa siku sita zilizopita yanatoa somo kwenye mambo mawili makubwa.
1. Rais Samia Suluhu Hassan anaendelea...
JUU YA KABURI LA BUSHIRI BIN SALIM PAMEJENGWA NYUMBA
Nimesoma historia ya Bushiri nikiwa shule ya msingi miaka ya 1960 pamoja na historia ya Vita Vya Maji Maji vilivyopewa jina la, "Maji Maji...
KIPINDI MAALUM LEO MCHANA SAA NANE TBC1: JULIUS NYERERE ALIVYOCHAGULIWA KUWA PRESIDENT WA TAA 1953
Katika historia ambayo haifahamiki kabisa ni vipi Julius Nyerere alichaguliwa kuwa President wa...
SALIM AHMED SALIM; MWANASIASA MWENYE AKILI, MTULIVU, WAZIRI MKUU MSTAAFU, MWANADIPLOMASIA MKONGWE NA CHAGUO LA NYERERE KAMA MRITHI WAKE ILA FITNA ZA WAZANZIBARI NA UNYERERE UKAMPONZA, IKAMFANYA...
HISTORIA ISIYOFAHAMIKA NA WANA NGARA WENGI KUHUSU WABUNGE WALIOWAHI KULIONGOZA JIMBO LA NGARA TOKA UHURU MPAKA SASA.
Mara kadhaa kumekuwa na ubishani kuhusu Wabunge waliowahi kuongoza Jimbo la...
The Arusha Declaration and TANU’s Policy on Socialism and Self-Reliance
Written: for Tanganyika African National Union by Julius Nyerere, 1967;
Transcribed by: Ayanda Madyibi.
The Declaration was...
Mshume Kiyate akiishi Kariakoo Mtaa wa Tandamti na Ali Msham Magomeni Mapipa Mtaa wa Jaribu.
Wote wawili walikuwa wanachama shupavu wa TANU na marafiki wa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage...
HISTORIA YA KADI YA TANU 1954
Ally Sykes ndiye aliyechora na kusanifu kadi ya TANU na kuchagua rangi na nembo yake. Alifanya kazi hii kwa kuangalia na kunakili kadi yake ya Tanganyika Legion...
MASAHIHISHO YA HISTORIA YA MAULID HASSAN
Kizito Mpangala
Si kweli
Aliyemficha Mwalimu Nyerere ameshafariki alikuwa baba yake Maulid Hassan alifahamika kama HASSAN MANGUNYUKA.
Huyu Maulid...
KUELEKEA KUADHIMISHA UHURU WA TANGANYIKA SEHEMU YA PILI: KUSOMESHA HISTORIA BILA KHIYANA
Nina wajibu wa kusomesha historia ya uhuru wa Tanganyika kwani wengi hawaifahamu.
Nimekuwa nikisomesha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.