Mohamed Siad Barre
Na Nova Kambota Mwanaharakati,
Ukitaja nchi za kisoshalisti za kiafrika za miaka 1970 hutaacha kuitaja Somalia ya jenerali Mohamed Siad Barre aliyewahi kuongoza Somalia...
Ahmed Seif
Naanza kwa kusema kuwa inawezekana kabisa kuwa Ahmed Seif ndiye muasisi wa TANU mdogo kupita wote katika historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika. Yeye alijiunga na harakati akiwa...
Nashangaa sana tunasema kwamba kasi ya serikali hii awamu ya tano ni kupambana vikali na Rushwa lakini hatujiulizi ni hatua gani juzi uchaguzi wa Meya jiji la Tanga zilichukuliwa? Hapa rushwa...
Wanamajlis,
Kiasi cha kama miaka miwili iliyopita palikuwa na mjadala mkali sana
hapa ukumbini kuhusu hotuba ya Mwalimu Nyerere alipomtaja Abdul
Sykes.
Yericko Nyerere, Maalim Faiza Foxy na...
Ni hivi, haitajwi aliondokaje nchini, lakini alikimbilia Uingereza kupitia uwanja wa ndege nchini Kenya na serikali ya Tanzania ikatangaza baadaye sana.
Kuthibitisha hilo, Jumanne ya Januari 23...
''Mheshimiwa Dk. Harrison Mwakyembe ni mwanasheria, alikuwa anafundisha wanafunzi Chuo Kikuu. Moja ya vitu alivyokuwa anafundisha ni 'NATURAL JUSTICE'.
Mheshimiwa Spika,
Wewe pia ni...
_wengi husema kuwa kiswahili ni:
_KIBANTU
_KICONGO
_KIARABU
*KIBANTU: wengi husema kuwa chimbuko ya lugha kiswahili ni kibantu
kwa sababu maneno na misamiati yatokanayo na lugha ya...
Siku Nyerere alipotishia kunichapa
KIZA kilikuwa kimekwishaanza kutanda nilipoikaribia hoteli ya St. Ermins jijini London. Hoteli hiyo ni ya nyota 4 lakini ina haiba ya aina yake na ipo mahala...
Kwa wale wenye umri kama wangu watakumbuka vita Tanzania iliyopigana na Idd Amin baada ya majeshi ya Uganda kuvamia sehemu za kaskazini magharibi ya Tanzania. Ikumbukwe kuwa, Ghaddafi alituma...
Je ulifaham kuwa Ziwa Victoria linebinafsishwa kwa Wazungu kwa muda wa takribani miaka 77 basi kama hukufaham hyo ndo historia fupi sasa je una maoni gani kuhusu jambo hili ambalo lingefanyika...
Na Nova Kambota,
Jumatano, 26 June 2013
Unless not later than 11 a.m , British summer time , today September 3rd ,satisfactory assurances have been given by the German government and...
Wajukuu wa Mwalimu Nyerere wakiwa na baba yao mdogo, John Nyerere (katikati). Kulia ni Moringe Magige na kushoto ni Julius Makongoro. Picha na Julieth Kulangwa NyereNyerere(katikati) , Picha na...
Wakuu kama mnakumbuka vizuri mwaka 1984 kulikua na vuguvugu kubwa sana la Kenya kuivamia kijeshi Tanzania.
Sababu kubwa ilikua ni mnyukano wa kugombea mali za JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI...
Naomba Tuweke kumbukumbu sawa kidogo...... Picha hii ni ilipigwa miaka ya 90 kipindi Dr. Slaa anahamia Chadema akitokea CCM, Na huyo Mwenye Kaunda suti ndiye alikuwa mbunge wa kwanza Na pekee...
Kama picha inavyoonyesha hapo chini Mwenyekiti wa CHADEMA Mbowe na kundi lake wakitoka Mahakamani ambapo bado wanapambana na Serikali mpka leo hii kuhusu Mazisihi ya Bw.Mawazo, sijui ni siku ya...
Vijana wa zamani habu naomba mnijuze Abdul Omary Masood mtangazaji wa michezo wa redio Tanzania ENZI HIZO aliuwawa na nani? na kwa sababu gani, tunasikia wauwaji wake walimwua yeye tu mbele ya...
Leo ni siku ya kukumbuka jinsi Ma Legendary wetu Mwl. Julius K Nyerere na wanaharakati wengine walivyopigania uhuru wa Tanganyika kwa vitendo. Baada ya miaka 51 ya uhuru leo Tanganyika ni kichwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.