Leo ni siku ya kukumbuka jinsi Ma Legendary wetu Mwl. Julius K Nyerere na wanaharakati wengine walivyopigania uhuru wa Tanganyika kwa vitendo. Baada ya miaka 51 ya uhuru leo Tanganyika ni kichwa...
Wakuu,
Naomba mwenye ufahamu anijulishe Marehemu Abeid Amani Karume (04/08/1920 - 07/05/1972) alikuwa ana msimamo gani juu ya Muungano wa Tanganyika? Kuna maandiko yake yoyote juu ya mawazo...
Nimekuwa nikisikia miaka ya 1978 kulikuwa na njaa,je hiyo njaa kulikuwa hakuna mvua na ukame ulizidi
?au vita vya Uganda na Tanzania ndo sababu?au mfumo wa ujamaa wa Mwalimu Nyerere ulichangia...
Wadau habari humu!! embu nijuzeni hapa kwa sababu nimejaribu kufuatilia lakini sijapata jibu sahihi ambalo lina mantiki na halina utata. Hivi jina 'TANGANYIKA' lilitoka wapi na nini chanzo chake?
Wasalaam
Ndugu wana jamvi kwa maoni yangu
Imefikia wakati wabunge wa ukawa wapiganie muungano wa vyama utambulike kisheria na kupatikana kwa tume huru na matokeo ya uraisi yaweze kuhojiwa...
Kwa mujibu wa marejeo ya kihistoria (historical facts) tunaelezwa kuwa hadi kufikia karne ya 15 Africa na Ulaya walikua katika usawa wa kimaendeleo na kiteknolojia lakini walikuja kutuzidi maada...
Binafsi siamini kilichotokea Zanzibar, naona kama ndoto vile. Je, kuna wataalamu wa historia ambao wanaweza nambia nchi yeyote duniani ambayo imewahi kufuta matokeo ya uchaguzi mkuu tofauti na...
Nimejaribu kuwaza mimi na serikali ya kichwa changu kuwa itakuwa vipi kama Maalim Seif akitangazwa mshindi akaamua kuvunja muungano.
Je, Magufuli ataendelea kuwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa...
PROF. IBRAHIM HARUNA LIPUMBA NA JUMA DUNI HAJI UCHAGUZI WA 1995
Kushoto Mohamed Omari Mkwawa, Juma Duni na Prof. Ibrahim Lipumba
Prof. Ibrahim Lipumba na mlinzi wake
Juu...
Wakuu nimemsikia ndugu Dovutwa kapata ajali baada ya Dereva wake kujiaribu kumkwepa mwanabodaboda mmoja aliyekuwa anajilowassisha. Tuwaombee wagombea Urais.
OCT
22
KUMBUKUMBU ZA IDDI TOSIRI MWANACHAMA WA TANU KADI NO. 24
Mwaka wa 1954 wakati TANU inaasisiwa Iddi Tosiri na ndugu yake Iddi Faiz Mafongo walikuwa na umri wa miaka 40 na zaidi kidogo na...
Ukittafakari mfululizo wa kalenda na matukio, basi inawezekana kuna jambo ambalo hatulijui.
Mwalimu Nyerere aliachia uenyekiti wa CCM, Friday, August 17, 1990 huku Mkutano mkuu wa CCM ukiwa...
Wanamajlis,
Katika kumkumbuka Baba wa Taifa nilitembelewa nyumbani na East
African Radio, Radio One Stereo, Raia Tanzania na Sibuka TV kwa
mahojiano.
Kikubwa walitaka kujua historia ya Baba wa...
Wise Quotes from Mwalimu
Inawezekana tatizo la paka kwa panya lingekwisha kama paka angefungiwa kengele shingoni: taabu ni kumpata panya wa kuifanya kazi hiyo. Na panya watakuwa wajinga sana...
USTIN MORRIS A-40
-Gari aina ya- Austin Morris A-40 lilitengenezwa nchini Uingereza kati ya mwaka 1940 1950. Ni gari la kwanza kutumiwa na Baba wa Taifa na Rais wa kwanza Tanzania hayati...
katika kusoma kwangu kwote nlifundishwa kuwa ZINJATHROPUS liligunduliwa mwaka 1959,..
Leo mtangazaji wa channel ten UPENDO MSUYA kasema fuvu
hili liligunduliwa mwaka 1957.....
Watu waliosoma...
Wana bodi naomba ufafanuzi nimesahau kidogo, nini tofauti kati ya Mbwana director
yule aliyekuwa mchezaji wa mpira timu ya jeshi na Mbwana aliyekuwa ni mkurugenzi wa uhamiaji, halafu mojawapo...
Maneno Haya Yalitamkwa Na Yesu Katika Kitabu Cha Luka 9, Kupitia Maneno Hayo Ninazungumza Na Dr Laa Je? Kuna Ufahali Gani Ukaupata Ulimwengu Huu Alafu Ukaiangamiza Nafsi Yako, Slaa Umeiangamiza...
Sheikh Yahya Hussein
MWEZI kama huu miaka minne iliyopita, Rais Jakaya Kikwete ilibidi akatishe ziara nchini Botswana na kurudi nyumbani kuongoza maelfu ya waombolezaji jijini Dar es Salaam...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.