UKAWA msikatishwe tamaa na hao wapinga umoja,kisa uchu wa madaraka. Wanaojitoa ndani ya UKAWA, wao siyo wa kwanza kwani hata hayati baba wa Taifa, alishuhudia wanaTANU na wanaASP wasiopenda...
Watabiri mashuhuri huko Greece miaka mingi kabla kuzaliwa kwa kristo walitabari mfalme atazaa mtoto wa kiume... Mtoto huyo atakuja kumuua mfalme ambaye ni baba yake na kumuoa mke wa mfalme ambaye...
nakumbuka nilivyokuwa mdogo nilisoma hadithi ya Yona kwenye biblia...
ya kwamba alitumwa na Mungu akawafundishe watu wa nchi nyingine NINAWI neno lake kisha wakiri na wamrudie mola wao,,,,,
ya...
Siasa bwana!! Ila nimeona Tanzania watu wengi elimu ya kupambanua mambo ama ni ndogo kutokana na kiwango Cha elimu au kusudi kutokana na kukumbatia udini au ukabila, na hili lisipoangaliwa litakua...
Wanamajlis,
Leo Jumanne saa moja na robo asubuhi In Sha Allah nitakuwa na kipindi
Maalum kama inavyoonekana hapo juu katika Morning Trumpet.
Julius Nyerere, Bi. Titi Mohamed na John Rupia...
PICHA ADIMU ZA TANU, JULIUS NYERERE NA WAZALENDO WALIOSAHAULIKA KATIKA HISTORIA YA KUDAI UHURU WA TANGANYIKA 1954 - 1961
Written By Mohamed Said on Saturday, May 2, 2015 | 11:25 AM...
Mwingireza Mlowezi George Washington
Mwanzilishi wa Taifa la Marekani
Muungano wa madola ya Marekani mwonekano wa siku hizi
UNITED STATES OF AMERICA / Muungano madola ya Amerrika
Muungano wa...
Hamza Kibwana Mwapachu
(1913 - 1962)
''By and by the real and true story of the early years of the struggle for Tanganyika"s independence will get written. Kleist has at last come out to...
Ukurasa wa Mbele wa Raia Tanzania
Katika uandishi wa historia ya TANU kuanzia pale kwa mara ya kwanza TANU yenyewe ilipojaribu kuandika historia yake ambayo ndiyo historia Mwalimu Nyerere na...
Ifuatayo ni mawasiliano ya Ubalozi wa Marekani kuhusu Tanzania.
Katika Cable, kuna mkutano baina ya Waziri Wa Mambo ya Nje Mr. Malecela na Balozi anayehusika na mambo ya Afrika, Mr. Donald Easum...
Kama ilivyo kawaida, makabila mengi yalipewa majina ya makabila yao na watu wengine.Wenyeji wa Mkoa wa Pwani na Jiji la Dar es Salaam, yaani Wazaramo walipewa jina hilo na ndugu zao Waluguru...
New activity on your blog post: THE STORY OF JULIUS KAMBARAGE NYERERE, 1952 PART ONE
Inbox
x
20:58 (2 hours ago)
Wanamajllis,
Someni comment ya Solomon Cris...
Kibao Mbele ya Nyumba ya Mwalimu Nyerere
Makumbusho ya Kumbukizi ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere
Cherahani ya Mzee Omari Suleiman Aliyokuwa Akiitumia Kumshonea Mwalimu Nyerere Nguo...
I wrote this piece on Thursday December 22nd 2005 just after Kikwete was sworn in as the 4th President and as provocative as it was then, this piece created a lot of buzz at BCS and provoked...
..hii ni introduction ya makala ya Ahmed Rajab ktk gazeti la Raia Mwema.
..It is an interesting reading, mnaweza kuifuatilia ktk link niliyotoa hapo chini.
TANBIHI YA MKUTANO WANGU NA HANGA--...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.