Siku ya wauguzi duniani, 12 May

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
298,808
751,568
846532513cde537fe27724490bad8498.jpg
c991199860b80bcba7e165aabd0dc2ff.jpg

Mama Frolence Nightingale RIP amekuwa alama muhimu ya uuguzi duniani kutokana na yale aliyoyafanya kwenye hiyo sekta
Tunapoadhimisha siku hii muhimu duniani je Tanzania tuna wauguzi kaliba ya Frolence? Je huduma zetu zikoje kwenye swala zima la afya utabibu na uuguzi?
 
Ndugu yangu Mshana. Nimekupata Bwashee. Naiheshimu sana TAALUMA ya Uuguzi (Nesing'). Tuwaheshimu. Wanajitoa kwa kazi yao. Maoni yangu ni kuwa WAAJIRI (Serikali na Binafsi) WAJALI sana maslahi na mazingira ya kazi ya Wanesi.... Naomba Mungu azidi kuwabariki katika siku yao hii. Ninaenzi Mchango wa "Dada" Florence. Kauli yake Do the Patient no harm ingehamia kwingine kama: Bungeni, Shuleni/vyuoni, Barabarani (Matrafiki), Mahakamani (Pilatoz na Mawakili), kwenye ardhi, kilimo, mifugo, Tume ya Uchaguzi (Zanzibar na Tanzania), Makanisani, misikitini....na kwingineko.. Dunia ingekuwa ya NEEMA!
Nahavache Mshana...
 
Ndugu yangu Mshana. Nimekupata Bwashee. Naiheshimu sana TAALUMA ya Uuguzi (Nesing'). Tuwaheshimu. Wanajitoa kwa kazi yao. Maoni yangu ni kuwa WAAJIRI (Serikali na Binafsi) WAJALI sana maslahi na mazingira ya kazi ya Wanesi.... Naomba Mungu azidi kuwabariki katika siku yao hii. Ninaenzi Mchango wa "Dada" Florence. Kauli yake Do the Patient no harm ingehamia kwingine kama: Bungeni, Shuleni/vyuoni, Barabarani (Matrafiki), Mahakamani (Pilatoz na Mawakili), kwenye ardhi, kilimo, mifugo, Tume ya Uchaguzi (Zanzibar na Tanzania), Makanisani, misikitini....na kwingineko.. Dunia ingekuwa ya NEEMA!
Nahavache Mshana...
Kuna vitu hatuvipi kipaumbele! Tumebaki kushabikia chura wa snura na ugomvi wa mahusiano binafsi wa kina jide
 
Kuna vitu hatuvipi kipaumbele! Tumebaki kushabikia chura wa snura na ugomvi wa mahusiano binafsi wa kina jide
tunaendeshwa sana na hisia kuliko uhalisia, ukiuliza ishu za akina lugumi zimeishaje hata hatujui, sisi ndo wabongo hakuna wengine kama sisi, ukitaka umbebe mwenzako muwe pamoja ktk mambo ya msingi atakuona unaringa, bora ukomae tu mwenyewe na familia yako..
 
tunaendeshwa sana na hisia kuliko uhalisia, ukiuliza ishu za akina lugumi zimeishaje hata hatujui, sisi ndo wabongo hakuna wengine kama sisi, ukitaka umbebe mwenzako muwe pamoja ktk mambo ya msingi atakuona unaringa, bora ukomae tu mwenyewe na familia yako..
Tatizo tunapenda vitu vya msisimko saana... Yaani vitu vinavyo trend mitandaoni havina mashiko kabisaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom