SALIM AHMED SALIM ATEULIWA BALOZI AKIWA KIJANA MDOGO WA MIAKA 22 1964
NA
HAMZAH RIJAL
Salim Ahmed Salim na Mwalimu Julius Kambarage Nyerere 1964
Mara baada ya kuundwa kwa Jamhuri ya Muungano...
Mwanasheria wa kujitegemea nchini, Fatma Karume amemshauri Rais wa Zanzibar, Ali Mohamed Shein kuachia madaraka.&
“Dk Shein lazima aondoke kwa sababu kuendelea kubaki madarakani ni kuwanyang’anya...
Hivi karibuni tutaadhimisha miaka 39 ya kuasisiwa chama kitukufu na tawala cha CCM . Ni tukio la kihistoria llofanyika nchini kwetu baada ya nchi mbili zetu kuungana kiserikali na kuukata mzizi...
Shule nyingi nchini haziko kwenye mazingira ya kuridhisha, baadhi hazin madawati, madarasa ya kutosha, walimu wa kutosha pamoja na vitendea kazi vya kutosha. Hali hii hupelekea wanafunzi wengi...
KAKA ZITTO NAOMBA UNIJIBU HAYA MASWALI.
1. Kwanini wewe unaakili sana hadi unakera?
2. Kwanini unatoa elimu bure bungeni bila kujali ugumu wa kazi ya kumuelimisha mtu kama Nape na genge lake...
Habari wana jamvi!!!
nimepata kukisoma kitabu cha mwalimu Nyerere kiitwacho UONGOZI WETU NA HATIMA YA TANZANIA.katika kitabu hicho mwalimu anaelezea namna alivyopambana kufa na...
Ni kweli wanaimba injili lakini katika toleo hili naona kuna kilichojificha.Matha ameolewa Ok lakini katika wimbo wa pili kwa sehemu kubwa Mdogo wake Beatrice ametumia kuonesha umbile lake kwenye...
Wakuu heshima kwenu!
Ikiwa Leo ni siku muhimu kwa taifa letu;
Nimeamua kuwaandikia wale walio vijana sayansi ya kumudu kazi hii ya kizalendo.
Ni taaluma kama ilivyo taaluma nyingine za fizikia...
Mashujaa wa Uhuru Waliosahaulika
Na Alhaj Abdallah Tambaza
Abdallah Tambaza
KATIKA taifa lolote duniani, kuna watu huwa wanaenziwa, wanatukuzwa na kutajwatajwa, kama namna ya kukumbuka...
Aman Thani
‘’….inataka ifahamike kuwa Ufalme wa Zanzibar ulikuwa ni Ufalme wa Katiba na Mfalme mwenyewe naye alikuwa Mfalme wa Katiba. Ni maarufu kua chama cha Afro Shirazi hakimtaki Mfalme...
Nadharia nyingi za kisayansi zimejengwa katika misingi ya wanasayansi wa Kigiriki(Uyunani ya kale) Sasa mbona Ugiriki ya sasa haiwiki kama ya zamani?(wakumbukeni akina PLATO na ARISTOTLE)
Julius Kambarage Nyerere (April 13, 1922 - October 14, 1999) was President of Tanzania (previously Tanganyika), from the country's founding in 1964, until his retirement in 1985. Born in...
Msikikilize Mohamed Said akimzungumza Mwalimu Nyerere katika Azam TV kuhusu harakati za TANU 1954 hadi kupatikana kwa uhuru mwaka wa 1961:
Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere -Azam TV | Mohamed Said
Mataifa ya Ulaya mashariki yakiongozwa na Urusi kwa nini hayakujishughulisha kutafuta na kupata makoloni Duniani kama mataifa ya Ulaya magharibi yakiongozwa na Uingereza? Pia Marekani 1884-1885...
Wadau naomba anayejua anijuze kama ni kweli paliwahi kuwepo Rais wa wachaga. Je ni kweli pia chagaland walikuwa na sarafu yao? Habari hizi nimesimuliwa na mzee mmoja hapa Nachingwea nikiwa katika...
Wana JF Jina CHOGGA limekua likitajwa miongoni mwa wana Siasa nguli wa Taifa kuanzia 1960s-90s
Inasemwa Mwanasiasa huyu alikua Mbunge wa Iringa kusini(1963-65),Yeye Pamoja na wenzake 8...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.