Sun Wu au Sun Tzu (master Wu) alikuwa general wa jeshi miaka ya 500 BC. anafahamika zaidi kwa kuandika kitabu cha mbinu za kivita kiitacho The art of war. hii ni baadhi ya nukuu nzuri kutoka humo...
Jaws Corner Mji Mkongwe ngome kuu ya CUF
Picha ilipigwa na mwandishi siku ya uchaguzi 22 Oktoba 1995
Sheikh Amar nilikuwa Zanzibar siku ile ya kupiga kura tarehe 22 siku ya Jumapili Oktoba mwaka...
Kwa kuhusika kwake na kuimaliza iliyokua East African Muslim welfare society{EAMWS} na kuundwa kwa BAKWATA kama mbadala wa EAMWS .
Baraza jipya lililorithi "majukumu" ya EAMWS lilihakikisha...
Wadau naombeni mnisaidie kuna vitu vinanisumbua.......JOHN OKELO ni mzawa wa wapi....na alihusikaje mapinduzi ya zanzibar....na je mwisho wake ulikuaje baada ya mapinduzi?
Baada ya kusoma taazia ya Abdallah Tambaza sina nguvu ya kuandika chochote kuhusu rafiki yangu Mohamed Awadh maarufu kwa jina la Chico. Taazia ya Abdallah mimi imenitia simanzi kiasi ya machozi...
Hawa ni wadau wa soka wa mkoa wa Dar es Salaam enzi hizo . Mwaka 1986 walichangia kutuweka madarakani IDFA ya akina Mussa Shagow. Kutoka kushoto ni Margaret Bwana. Luke luhui. Afisa utamaduni...
Kwa wale vijana wa zamani na wa zamani zaidi ambao bado tupo, ni vizuri kumshukuru Mungu kwa mambo mbali mbali. Hapa naomba tumshukuru Mungu kwa matukio yaliyotamba zamani zile katika kituo bora...
kipindi nikiwa ninasoma nilifundishwa ya kwamba wakoloni walitunyanyasa sana africa, tulipigwa na kuteswa na wazungu lakini mbaya tulibaguliwa kutokana na rangi zetu .
ukisoma...
Wednesday, 25 December 2013
Obituary The Weeping and Whipping Pen of Ali Mohamed Nabwa 1936 -2007
Obituary
The Weeping and Whipping Pen of Ali Mohamed Nabwa
1936 -2007
Mwandishi akishiriki...
Tukizungumzia mwanaharakati wa haki za watu weusi wengi wanajua bishop desmond tutu, Nelson Mandela, Winnie Mandela na wengine wengi ambao walishiriki katika harakati za ukombozi wa watu weusi...
Wednesday, 4 January 2017
Aziz Ali
Kleist Sykes alikuwa na duka la vyakula Kipata Street sasa mtaa huo umepewa jina lake unaitwa Mtaa wa Kleist. Hizi zilikuwa juhudi za Kitwana Selemani Kondo...
NI KWAME NKHRUMAH NA DHANA YA UMAJUMUI WA AFRIKA.
NA Comred Mbwana Allyamtu.
Kwame Nkrumah (1909- Aprili 27, 1972) alikuwa ni kiongozi wa Ghana aliyepigania uhuru wa taifa lake kutoka Uingereza...
Mara yangu ya kwanza kufika Msumbiji ilikuwa mwaka wa 1990. Nilikwenda kuhudhuria mafunzo nikiwa mfanyakazi wa Shirika la Bandari Tanzania Makao Makuu nikifanya kazi latika Idara ya Biashara...
Utangulizi
Wapenzi wasomaji nimekuta ujumbe huu katika group moja katika Whatsapp na nimeupenda. Nimeona niuweke hapa kwa faida yetu sote. Ndani ya ujumbe huu kuna mengi ya kuzingatia na pia...
Habari wana Jamii.
Utaelewa wanaoitwa Sanga wanapatikana maeneo gani ndani ya Wilaya na wamekuwa kama ni Wenyeji lakini ni wageni walio ingia baadhi ya maeneo ya wilaya na kuonekana wao ndio...
George Washington ndie Rais wa kwanza wa Marekani, alizaliwa February 22 1732 huko Westmoreland county, Virginia.
George Washington alikuwa mwanasiasa na mwanajeshi wa Marekani ambae ndie...
Huu ni ulimbukeni wa hali ya juu. Kusambaza slogan ambayo hakika sio kweli. Mara nyingi najiuliza kwanini vita ile tuiite vita ya Dunia wakati direct ilikuwa inawausu wazungu. Na wao katika kuja...
Hamjambo marafiki! Mimi ni mwanasayansi kutoka Urusi. Zina langu ni Maria. Mnisaidie tafadhali kupeleleza swali hilo. Mniandikie fikra zenu kuhusu jadi na mila za Wabantu na maana ya jadi katika...
wadau kwa wale watu ambao wametembea sana katika nchi za uganda,congo,burundi na rwanda.
lakini pia kwa hapa tanzania style hii ya haya majina yapo upande wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.