Watoto wa Mzizima (Dar) enzi hizo

HNIC

JF-Expert Member
Sep 6, 2011
1,898
2,195
13533280_265434130514610_1256698298220892934_n.jpg


Wad Yusuf Manzi,Mussa Shagow,Boi Risasi na Mohammed Bakar Tall wakimsikiliza mwana historia Mohd Said mwenye shati la maua
 
16143148_420501528341202_5967801968091469983_n.jpg


Kabla ya akina Kusaga na wengineneo kulikuwepo hawa....Marehemu Patrick Balisidya aliesimama kulia na huyo aliemwekea mkono begani ni Stephen Balisidya,alie katika usukani wa hiyo Honda 125 ni Jack(shot jeep) aliechuchumaa kushoto Ibrahim Choyo juu mwenye kaperp Salim James Wills waliobaki mtamalizia wengine...
 
16143148_420501528341202_5967801968091469983_n.jpg


Kabla ya akina Kusaga na wengineneo kulikuwepo hawa....Marehemu Patrick Balisidya aliesimama kulia na huyo aliemwekea mkono begani ni Stephen Balisidya,alie katika usukani wa hiyo Honda 125 ni Jack(shot jeep) aliechuchumaa kushoto Ibrahim Choyo juu mwenye kaperp Salim James Wills waliobaki mtamalizia wengine...
Bila shaka ni Afro Sabini Band
 
Back
Top Bottom