Bila ya Nyerere Tanzania ingekuwa inatawaliwa na Sharia

bukoba boy

JF-Expert Member
Jan 15, 2015
5,371
3,946
Kwa kuhusika kwake na kuimaliza iliyokua East African Muslim welfare society{EAMWS} na kuundwa kwa BAKWATA kama mbadala wa EAMWS .

Baraza jipya lililorithi "majukumu" ya EAMWS lilihakikisha miraji yote iliyokua ya EAMWS inakufa kabisa.

Miradi yenyewe pamoja na shule za sekondari ni uanzishwaji wa chuo kikuu cha waislam hela za mradi tayari zilipatikana kutoka Misri.

BAKWATA haikua na nguvu tena ya kuwaongelea waislam sababu imewekwa na Serikali.ikabaki kua simba wa karatasi.


Harakati za kueneza uislam zikakoma na hatimaye Pwani karibia yote ya Afrika Mashariki ikaupokea Ukristo mikono miwili.Na hili kwa mujibu wa katiba ya 1957 ndio jukumu la EAMWS.

Kwa jinsi EAMWS ilivyokua imara mpaka Babu akastuka na kuizima uislam ungesambaa nchi nzima na hatimae kuitangaza Tanganyika (baadae Tanzania) kama nchi kidini.Jambo ambalo lingezuia uwepo wa jamii ya sasa ya Watanzania wasiobaguana kwa misingi ya kidini.

Julius Kambarage Nyerere alifanya makubwa kwa nchi hii akumbukwe milele.Ingekua nchi ya Kidini leo hii uhuru na kuheshimiana kati ya dini zote usingekuepo.

Heko the original JK.
 
Sidhani kama Tanganyika ingekuwa Dola la Kiislamu bila hata Nyerere kuwepo.
Hata kama EAMWS wangekuwa na Mashule na vyuo nchi nzima sidhani kama ingekuwa rahisi kama tunavyoaminishwa. Kujenga Dola la Kidini (Kubwa, Imara na Lenye Ushawishi) katika nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara ni jambo gumu sana kuliko hata unavyolifikilia


 
Sidhani kama Tanganyika ingekuwa Dola la Kiislamu bila hata Nyerere kuwepo.
Hata kama EAMWS wangekuwa na Mashule na vyuo nchi nzima sidhani kama ingekuwa rahisi kama tunavyoaminishwa. Kujenga Dola la Kidini (Kubwa, Imara na Lenye Ushawishi) katika nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara ni jambo gumu sana kuliko hata unavyolifikilia


Kwa mazingira ya sasa.
 
Watanganyika pindi wanapata Uhuru raia walikuwa million nane ukichanganya na wazungu,Wahindi na Waarabu na pia kulikuwa na Raia wa nchi za jirani kama Kenya,Burundi,Rwanda,Uganda,Congo,Zambia,Malawi na Zanzibar. Kabila lililokuwa na watu wengi ni Sukuma Na Wanyamwezi na wao Wakristo walikuwa ni wengi zaidi,Wachaga Wakristo zaidi na makabila mengi Uislam zaidi ulikuwa mikoa ya pwani zaidi tena kwa Maeneo yao sehemu zilizo na misikiti. so Ukristo ulikuwa Mwingi Zaidi kwa Uchache wa Waislam ingekuwa Ngumu sana hata British ingemuwia vigumu kuwaachia Nchi waliyokuwa wakiiongoza kwa Mujibu wa UN.

Hoja ya Mfumo Kristo ni baada ya kuona Uislam unapotea ila tuache uongo Hoja hiyo ilisaidia sana hata Magerezani wengi walipona kwa kupata misamaha ya raisi
 
Watanganyika pindi wanapata Uhuru raia walikuwa million nane ukichanganya na wazungu,Wahindi na Waarabu na pia kulikuwa na Raia wa nchi za jirani kama Kenya,Burundi,Rwanda,Uganda,Congo,Zambia,Malawi na Zanzibar. Kabila lililokuwa na watu wengi ni Sukuma Na Wanyamwezi na wao Wakristo walikuwa ni wengi zaidi,Wachaga Wakristo zaidi na makabila mengi Uislam zaidi ulikuwa mikoa ya pwani zaidi tena kwa Maeneo yao sehemu zilizo na misikiti. so Ukristo ulikuwa Mwingi Zaidi kwa Uchache wa Waislam ingekuwa Ngumu sana hata British ingemuwia vigumu kuwaachia Nchi waliyokuwa wakiiongoza kwa Mujibu wa UN.

Hoja ya Mfumo Kristo ni baada ya kuona Uislam unapotea ila tuache uongo Hoja hiyo ilisaidia sana hata Magerezani wengi walipona kwa kupata misamaha ya raisi
Sasa mikoa ya Pwani :unaichukuliaje? Pale dar chimbuko la pambano la kudai uhuru kulijaa waislam na kwenye chama pia walijaa.Wangeshika nchi hawa mapema wangewekana wao mwa wao then wangetangaza sharia waanze kubaguana
 
Sasa ikishakuwa Dola ya Kiislamu wewe utafaidika na nini kama sio mihemko ya Kidini?
 
Unafiki kiwango cha PhD hizo nchi zenye 99% population Muslim zimeshindwa kuwa za kidini iwe Tz? Kwa chuki tu mpo vizuri
 
Kwa kuhusika kwake na kuimaliza iliyokua East African Muslim welfare society{EAMWS} na kuundwa kwa BAKWATA kama mbadala wa EAMWS .

Baraza jipya lililorithi "majukumu" ya EAMWS lilihakikisha miraji yote iliyokua ya EAMWS inakufa kabisa.

Miradi yenyewe pamoja na shule za sekondari ni uanzishwaji wa chuo kikuu cha waislam hela za mradi tayari zilipatikana kutoka Misri.

BAKWATA haikua na nguvu tena ya kuwaongelea waislam sababu imewekwa na Serikali.ikabaki kua simba wa karatasi.


Harakati za kueneza uislam zikakoma na hatimaye Pwani karibia yote ya Afrika Mashariki ikaupokea Ukristo mikono miwili.Na hili kwa mujibu wa katiba ya 1957 ndio jukumu la EAMWS.

Kwa jinsi EAMWS ilivyokua imara mpaka Babu akastuka na kuizima uislam ungesambaa nchi nzima na hatimae kuitangaza Tanganyika (baadae Tanzania) kama nchi kidini.Jambo ambalo lingezuia uwepo wa jamii ya sasa ya Watanzania wasiobaguana kwa misingi ya kidini.

Julius Kambarage Nyerere alifanya makubwa kwa nchi hii akumbukwe milele.Ingekua nchi ya Kidini leo hii uhuru na kuheshimiana kati ya dini zote usingekuepo.

Heko the original JK.
Naomba kufahamu ni nchi gani katika Afrika Mashariki ambako hiyo EAMWS ilifanikiwa kufikia hayo malengo.
 
Sidhani kama Tanganyika ingekuwa Dola la Kiislamu bila hata Nyerere kuwepo.
Hata kama EAMWS wangekuwa na Mashule na vyuo nchi nzima sidhani kama ingekuwa rahisi kama tunavyoaminishwa. Kujenga Dola la Kidini (Kubwa, Imara na Lenye Ushawishi) katika nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara ni jambo gumu sana kuliko hata unavyolifikilia


Amino ilikua inawezekana Kabisa ila Allah hakuamua
 
Nilichokiuliza nakielewa ila ulichokisema wewe hukielewi!. Punguza Mihemko!
Mihemko ya kidini kivp?ndio maana nmesema soma uelewe sababu uliuliza" sasa ikishakua ya kidini itakusaidia nini? Wakati uzi unasifu juhudi au fitna za Nyerere za kuhakikisha hakuna kutawaliwa na dini moja!
 
Back
Top Bottom