Jukwaa la Historia

On JF:

SHEIKH ABDALLAH RASHID SEMBE: SHUJAA WA KURA TATU NA UAMUZI WA BUSARA WA TABORA Rai Juni 17-23 1999 KIFO cha Abdallah Rashid Sembe kilitokea Hospitali ya Bombo, Tanga tarehe 22 Mei, 1999. Siku...
4 Reactions
37 Replies
9K Views
MUNGU ANAPOTAKA KUKUSAIDIA, ATAKULETEA MSAADA AMBAO HAUKUUTARAJIA KABISA hili tukio lilitokea June 2005, huko ETHIOPIA lakini nimeshangazwa kuwa very popular hivi karibuni. "Binti wa miaka...
2 Reactions
36 Replies
5K Views
Habari, Hii video imechukuliwa wakati Mwl Nyerere alipoenda Zambia na kukutana na rais wa wakati huo CHILUBA, ambaye alikuwa kamfunga Kaunda, Mwalimu Nyerere akaomba dakika 40 za mazungumzo na...
5 Reactions
33 Replies
11K Views
Mwanahistoria Tunaomba utuleteee Historia ya Mzee Ali Hassan Mwinyi tafadhali na sio haya mambo ambayo yamekuwa diluted tunayopewa na magazeti alikozaliwa career yake familia yake ilikuwaje...
1 Reactions
23 Replies
2K Views
Anaitwa Hadija Bint Kamba, Bint mrefu mweusi mwenye umbo lililosadifu unyamwezi, asili yake ni Tabora ndipo alipotokea Baba yake na Kigoma ndipo wazazi wa Mama yake walipotokea. Ni kama ilivyo...
9 Reactions
22 Replies
6K Views
1698 - 10 Dec 1963 c.1918 - 1955 British Resident's flag ! 1955 - 10 Dec 1963 British Resident's flag 10 Dec 1963 - 12 Jan 1964 12 Jan 1964...
0 Reactions
0 Replies
8K Views
Sheikh Ali bin Saleh Picha kwa hisani ya Hamzah Rijal Utangulizi Hamzah Zubeir baada ya kusoma post. ''Liwali Ahmed Saleh na Sheikh Said Chaurembo,'' ameniandikia kufanya masahihisho kuhusu...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Habarini wanajf, katika pitapita zangu huku kanda ya ziwa( Mwanza) nikakutana na kabila la wakara, ambao nasikia kuwa ni watata sana ktk mila yaani wanafuga mamba na ukiwazingua tu hunywi maji...
0 Reactions
22 Replies
9K Views
https://www.google.com/amp/mobile.nytimes.com/2016/12/16/us/politics/hillary-clinton-russia-fbi-comey.amp.html?client=ms-android-samsung
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Chifu Mkwawa asingejiua bila kusalitiwa. Kama si usaliti wa mtu aliyemwamini, Wajerumani wasingemuweza Mkwawa. Historia nyingi zinaandikwa uongo ili Wazungu waonekane mashujaa wa vita, ila ukweli...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Utangulizi Rafiki yangu Abubakar Shani kaweka katika group letu ''Kumbukumbu,'' kipande cha gazeti la Mwangaza la Oktoba 5, 1956 ikimuonyesha Liwali wa Dar es Salaam wa wakati ule Ahmed Saleh...
2 Reactions
0 Replies
2K Views
ZUBERI MTEMVU: MPANGAJI MIKAKATI WA TANU NA MUASISI WA UPINZANI Rai Oktoba 28 - Novemba 3, 1990 ======= Alhaj Zuberi Mwinshehe Manga Mtemvu Mpangaji mikakati wa TANU, mhamasishaji wa umma...
4 Reactions
17 Replies
6K Views
Vitabu vyote shuleni vinathibitisha hilo kwamba sisi binadamu tumetokana na sokwe je maneno haya ni kweli ?
2 Reactions
55 Replies
14K Views
Wachagga ni kabila la watu wenye asili ya Kibantu wanaoishi kaskazini mwa Tanzania chini ya mlima Kilimanjaro, mkoani Kilimanjaro. Shughuli kubwa ya Wachagga ni biashara na kilimo. Wachagga ni...
6 Reactions
90 Replies
26K Views
Naanza kwa kusema kuwa X-mass ya mwaka huu n y kukaa hme na familia. Tangu niwe na akili y kufahamu sikukuu ya mwaka huu cjawah kuiona aisee je ww una maoni gani
0 Reactions
0 Replies
834 Views
Habarini wakuu ningependa kujua sababu za ujenzi na upanuzi wa makazi ya wayahudi ambao kwa muda mrefu sasa umekua ukiendelea kama una majibu tafadhali naomba unielimishe nielewe.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Heshima sana wanajamvi, Gazeti la Raia mwema limekuwa likichapisha makala ya Kachero wa jeshi la wananchi (JWTZ) aliyetekwa Uganda pamoja na wanajeshi wengine wawili ambao waliuwawa na majasusi...
5 Reactions
58 Replies
8K Views
NAKUSAHURI USOME KWA MAKINI SANA UJUMBE HUU UNA MAANA KUBWA SANA.... SIKU FERDINAND MARCOS ALIPOKUFA ILIKUWA SHEREHE YA KIHISTORIA NCHINI UFILIPINO. Na Luqman Mloto. Enzi nikisoma shule ya...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Shambulizi moja la bomu nchini Uturuki limewaua wanajeshi 13 waliokuwa ndani ya basi na kuwajeruhi wengine 48. Mlipuko huo uliharibu basi hilo ambalo lilikuwa na wanajeshi waliokuwa wameruhusiwa...
0 Reactions
1 Replies
856 Views
Barua ya Mohammad Ali kwa Mandela Yauzwa Milioni 19.58 Barua ya Mohammad Ali kwa Mandela Yauzwa Milioni 19.58 - MUUNGWANA BLOG
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom