MWEZI Novemba mwaka 1979, Rais wa Awamu ya Kwanza wa Tanzania, Julius Kambarage Nyerere, alivua shati na kuvaa glovu [kiswahili kizuri, glavu] na kuingia ulingoni kuzichapa na Shirika la Fedha la...
Huyu mbabe hapo juu anaitwa CHARLES D.B KING
Katika uchaguzi unaoitwa wa kidemokrasia 1927 nchini LIBERIA jamaa alimshinda mpinzani wake THOMAS J FAULKNER kwa kura zilizokuwa nyingi kuliko idadi...
Tujifunze au kujikumbusha kwa hili kidogo kwa tusiojua kuhusu Dodoma....
ANZA...
Wazo la kuhamia Dodoma liliasisiwa na Mwalimu Nyerere mwanzoni mwa miaka ya 1970. Mwalimu alitaka kuona Dodoma...
Kwa mujibu wa nadharia ya “Nje ya Afrika”, watu wamesambaa kutoka barani Africa kwenda kokote kuujaza ulimwengu. Waafrika hawa wa sasa wamewafuata wazee wao wa kale sehemu za mbali – lakini kuna...
Hati Nesta Bob Marley aliikumbusha jamii ya Leo kuwa kbla hujaongea na boss vyote tulivyo navyo tumeona vimepotea.
(before we talk to the boss
All that we got seem lost
we must have real paid...
Taja nchi kumi za afrika na ueleze miaka zilizopata uhuru na kiongozi aliyeipatia uhuru, koloni lililowatawala na ueleze lilipata uhuru kwa njia ya amani au vita.
native Americans au red Indians hawa ndio inasemekana kuwa ni wenyeji halisi wa marekani,bado kuna maoni mengi ya wanahistoria na watafiti kuhusu watu hawa,na pia maswali mbali mbali maana...
Mwaka 1929 nje kidogo ya mji wa beijing kwenye mapango ya milima kuligunduliwa fuvu na mifupa ambayo inasadikika kuwa ya binadamu wa kwanza. Kila mwaka sehemu hii hutembelewa na watalii zaidi ya...
Mwanamke huyo kwa jina la marry surrat ndie mwanamke wa kwanza kuwahi kunyongwa hapa duniani akipata adhabu hiyo mnamo saa 1.22 mchana tarehe 7 july 1865 akituhumiwa kumuua aliekua raisi wa...
Ingia hapo chini bahati mbaya makala ni ya Kiingereza lakini mjadala tufanyeni kwa Kiswahili:
file:///C:/Users/yemen/Downloads/Tanzania_-_A_Nation_Without_Heroes_abridged.pdf
Mehmet Ali Agca ni Raia mwenye Asili ya Uturuki Aliyefanya Jaribio la Kutaka Kumua Mtakatiku PAPA JOHN PAUL II tarehe 13/5/1981.
Katika Jaribio hilo Mehmet alifyatua Risasi nne kutoka kwenye...
Mwana Mapinduzi
Field Marshal John Okello alizaliwa wilaya ya Lango nchini uganda mwaka 1937.Okello akivaa ngozi ya mwana mapinduzi alijikusanya na genge la kukodiwa la wauwaji,akina,Eugen...
Realist believe that reality exist independent of the human mind...Idealism based on spiritual or mental world of appearance ...which is eternal .permanent order .regular and universal...
Hugo Rafael Chaves Frias alizaliwa 28 July 1954 na alifariki 05 March 2013. Alikuwa mwanasiasa wa Venezuea ambae aliitumikia nchi yake kama rais wa 64 wa nchi hiyo kutoka mwaka 1999 mpaka 2013...
Kikosi kazi maalumu kilichoundwa na Waziri wa Maliasili na Utalii, Profesa Jumanne Maghembe kupambana na tatizo la ujangili, kimetuhumiwa kutumika na baadhi ya wanasiasa na watumishi mbalimbali wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.