Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Ushauri tafadhali, Kwa kiasi hichi ukiwa na maeneo ya mashamba na viwanda, naomba projection forecast na mchanganuo wa haswa kwa kiasi hichi kiwanda gani kinafaa maeneo ya Moshi na mchanganuo wa...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Kumekuwa na taarifa kuwa Waziri Mkuu amepiga marufuku utumiaji, uuzaji na uzalishaji wa viroba kwa maana ya packaging. Sasa swali la msingi ni kuwa hawa watu wenye stock kubwa ndani ya hivi vitu...
0 Reactions
0 Replies
926 Views
Habari wadau. Nimeacha kutumia Akaunti yangu iliyopo Barclays Bank kiasi cha mwaka mmoja sasa. Kinachonikera, kila saa moja asubuhi natumiwa sms kwamba salio langu ni tzs 0.00. Nilienda Barclays...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenu waungwana, Jamani kwa wale wanaofahamu hivi uchumi wa TZ kwa sasa unakua au unashuka?
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Wapendwa naomba msaada wanu juuu ya Kujua jinsi ya kuanza biashara hiii ya kuuza chakula,nakupenda sana lakini sijui wapi pa kuanzia na mtaji ni nilionao ni sh.m.1 tuu.naombeni msaada wapendwa ili...
0 Reactions
20 Replies
10K Views
*JE UNAJUA KWA NINI HUFANIKIWI?* Una mizigo mingi isiyo ya lazima wala faida ambayo umeibeba 1.Umejipa jukumu la kuwa "mpelelezi" wa maisha ya wengine na umesahau maisha yako 2.Umebeba vinyongo...
5 Reactions
10 Replies
4K Views
Kutokana na uzoefu wangu wa muda mrefu na uwezo/kuifahamu hii biashara natafuta mtu mwaminifu wa ku share kuingia ubia na kufanya hii biashara kwa ufanisi wa hali ya juu.kwani tatizo langu ni...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
I was having a catch up with my good mate and uber cool pad holder Jarrod yesterday – we both share a fascination with human performance. We are both interested in what we can get out of the...
1 Reactions
0 Replies
499 Views
Habari zenu wanaJF hope niwazima,naamini umeshakutana na hii concept kwamba ili upate fedha, utajiri, mafanikio lazima ugundue tatizo katika jamii na ulipatie suluhisho. Maana yake nikuwa ukiweza...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Nakumbuka miezi kadhaa ya nyuma wakulima wa nyanya walizimwaga na kulisha ng'ombe mkoani Morogoro wakilalamikia ukosefu wa soko la badhaa hiyo. Mambo ni tofauti tena bidhaa hiyo imekuwa adimu...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
US interested in Tanzania’s plan to build new Mwambani port By ORTON KIISHWEKO, 17th December 2010 @ 12:00, Total Comments: 0, Hits: 226 THE American government on Friday expressed interest in...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Habari wana Jamii Forum kuna vitu kidogo sivielewi vizur kenye uchumi nami naomba kuuliza maswali mnisadie tafadhali.(mimi sio mchumi, napenda kujifunza kuhusu uchumi). 1. kuporomoka kwa shilingi...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Wanajukwaa habari zenu! Mimi ni mjasiriamali sasa nataka kuingia kwenye biashara ya magari (usafirishaji), nina plan ya kuanza na semi moja. Nauliza kwa mnaojua ni vyema nikaanza na gari aina...
0 Reactions
17 Replies
8K Views
Habari wana JF. Nahitaji kuingia ubia/mkataba wa usambazi wa bidhaa (Logistic service) kwa mtu yeyote mwenye maduka ya jumla ambaye huwa anawasambazia wateja wake (Retailers) bidhaa zake katika...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu kwa mnaotumia equity bank hii a/c Ya elimika inaruhusu kufanya online transaction km ebay, nk UPDATE; napaswa kuwa na a/c ya ordinary ya kawaida ya sh 10000 shukran zangu za dhati kwa Mwl.RCT
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari, mi ni student wa chuo na nina project nafikiria kuianzisha ambayo nimeifanyia utafiti wa kina. Natarajia kuifanyia kwenye frame ambayo pesa za kulipia hiyo frame ninazo so far and process...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Naishia hapa mjadili hili.
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Jamani wana JF, Msaada, kwa yoyote anaejua kuhusu DSE (Dar es Salaam Stock Exchange) maana nahitaji kununua HISA. Msaada wa mawazo
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Wakuu heshima kwenu. Kama kichwa cha habari kinavojieleza naomba mnisaidie kumpata huyo mwana JF aliyeandika juu ya machine za kutengenezea mabati na nimetafuta ile thread sijaiona nadhani...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hi wadau, Nitaratibu gani zinazohusika. Nataka kuimport mnyama WA kawaida wa kufuga toka nje,-nimeipenda mbegu, nifuate taratibu zipi, au niongee na swissport tu au Pls help
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Back
Top Bottom