Kutokana na uzoefu wangu wa muda mrefu na uwezo/kuifahamu hii biashara natafuta mtu mwaminifu wa ku share kuingia ubia na kufanya hii biashara kwa ufanisi wa hali ya juu.kwani tatizo langu ni mtaji mdogo.
Mkuu kumpata business partners si kazi ndogo na hatafutwi kama tunavyo tafuta wachumba mkuu, inahitajika umakini wa hali ya juu na kuna hints nisha wahi kuziweka humu jinsi ya kumpata patiners mzuri so zitafute
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.