Nilianzisha thread kuzungumzia hizi online media zilizochipukia siku za karibuni naona ilifutwa bila sababu yoyote ile.
Anyway nilichokuwa nauliza je kuna nafasi au fursa kwa zingine kuja kwenye...
Hapa kitaa kwetu Nyamalango vyakula baadhi ya maduka na magenge bei ni juu
Nyanya Moja ndogo 200-300
Unga Dona 1300
Sembe 1500-1600
Mchele 1900-2200
Sugar 2400
Mafuta Lita Moja (Korie) 3500...
Mishahara ya watumishi imeshuka ghafla baada ya bei ya unga kufikia sh 2000, ile ya maharagwe kufikia sh 3200 kwa kilo na kodi ya mapato kubakia palepale. Kwa vyovyote vile mishahara...
Umeenda shule ya msingi, umejifunza kusoma, kuandika na hesabu, ukaenda sekondari ukapewa maarifa mengine yawe ya sayansi, sanaa, biashara n.k
Umeingia mtaani unafanya mambo yako mengi tu lakini...
Kwa wataalamu kwa kuangalia kwa macho tu haya yaweza kuwa madini gani? Kama ni madini ya aina yoyote yale ukigundua nicheki DM au whatsapp +255785956171 ni muhimu sana , najua huku nitapata msaada.
Mfumuko wa bei za bidhaa unazidi kuongezeka nchini Kigoma unga kilo 25 unauzwa 40000, mchele kilo 1800, maharage 2000 huku debe la mahindi linauzwa 20000 mpaka 21000.
Habari wana JF,
Kupitia jukwaa hili miaka miwili iliyopita nilipata mwongozo wa jinsi ya kuanzisha ujasiriamali kwa kupitia magari ya Suzuki Carry .Huu ndio ulikuwa mwongozo niliowaomba
Naomba...
Shirika la viwango Tanzania ,kazi zao hazionekan na hii inanifanya nsione umuhim na ufanisi wa utendaj kazi wao
,Leo asubuh naenda dukan kununu sukarr nakutana na sukar fake ,sukar inapackage na...
Kwa anayefahamu baada ya kufanya claim ya VAT South Africa(SARS) malipo yanakuwa katika cheque au vipi?
Na ni benki zipi za TZ zinazo process malipo baada ya kupokea cheque au any payment...
Here’s the market outlook for the week:
EURUSD
Dominant bias: Bearish
From Monday to Wednesday, this pair went downwards, moving below briefly below the support line at 1.0550. Price then...
Naomba ushauri wanaJF,
Natarajia kununua miti mia mbili yenye umri wa miaka minne kwa bei ya sh 760,000/=. Biashara itafanyika kwa kutuma pesa kwa M-pesa mimi ntaenda kuiona Mwezi wa sita. Kwa...
Quality Group facing eviction from building it once owned
THISDAY REPORTER
Dar es Salaam
THE Public Service Pension Fund (PSPF) has moved to evict Quality Group Limited from its Quality...
Wandugu Heri ya mwaka mpya, naamini Mungu ametuvusha salama.
Somo liko juu hapo Mwaka huu natamani kuanzisha biashara ya Nguo, Simple shoes na Mikoba ya akina dada. Nataka kupeleka kwenye hiyo...
Baada ya Waziri wa Ujenzi Prof. Mbarawa kutangaza kuanza Ujenzi wa bandari kavu ktk eneo la Ruvu, Mlandizi, hakika jambo hilo ni hatua kubwa sio tu kupunguza msongamano lakini pia utachochea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.