Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Leo biashara nyingi zimefungwa sababu walilazimishwa kulipa kodi walizokwepa hapo nyuma. Ni sawa! Lakini Madhara yake yamekuwa makubwa kwa Raia maskini, waliokuwa wanategemea vibarua kwenye...
2 Reactions
1 Replies
830 Views
Habari, Nimekuja kwenye jukwaa hili nikiamini kuna wataalamu wa kutosha na wenye uzoefu na mambo ya uchumi, kwa sasa serikali yetu aitoi vibali kwa watanzania kuingiza mahindi/sukari ndani ya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kama unajenga sasa au unataka kujenga ni vizuri kuyajua haya: 1.Kabla hujajenga omba ushauri kwa wataalamu wa ujenzi(Mfano wakandarasi) ili kuepuka kujenga nyumba isio na ubora kuepuka hasara za...
4 Reactions
17 Replies
4K Views
Wasalaam ndugu zangu, Leo katika pita pita zangu huku na huku kuangalia vichwa vya magazeti nimekutana na hii "Prof Mhongo kutia saini mkataba wa Tanzania kuuza mihogo China" kwenye gazeti lao...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
When I first went to university the initial week was filled with the usual getting to know the lay of the land such as how the library works (in a surprisingly mysterious way I might add), where...
1 Reactions
1 Replies
528 Views
Habari wana Jf, kwanza nitangulize heshima kwenu wana jamvi. Nimeuleta huu uzi kwenu kwasababu mpo active muda wote nina imani mtanisapoti. Nataka kuanzisha kiwanda kidogo cha kutengeneza...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Kwa wenye uzoefu kwenye fani hii, naomba mnipatie makisio ya gharama za kufuga kuku wa nyama kama 500 hivi pamoja na breakdown ya Matumizi na faida. Niko tayari kulipia gharama kama kuna mtu...
0 Reactions
11 Replies
10K Views
Tunakujengea na kukukabidhi Nyumba Hizi *** Ndani siku 50 kwa Makubaliano *** +255 657 685 268 "Ni Haki Yako Kuishi Nyumba Nzuri na Salama!" Specifications: * Bati Kawaida za rangi 30G *...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Nimetembelea leo web yenu inaniambia imexpire leo i hope mtarudi hewani mapema na aliyezembea hadi imeexpire ajirekebishe anaitia benki aibu.
0 Reactions
1 Replies
909 Views
Dunia tunayoishi imebadilika Sana,karibia kila kitu kinaendeshwa kidijitali ili kuendana na hali halisi ya mabadiliko ya kisayansi na tekinolojia. Mwaka 2009 January, raia wa Japan Saitoshi...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Hapa hakuna Road license, sijui Bima na takataka nyingine, naiomba Serikali pia ituruhusu sisi wenye usafiri wa dizaini tuingie katikati ya Mji bila bugudha wa Ubaguzi.
0 Reactions
0 Replies
775 Views
Nini kinafanya bati za kiwanda kimoja kuwa na bei tofauti? Wakati material ni yale yale,kiwanda hicho hicho na machine hizo hizo! 1.Gauge(unene wa bati) Hiki ni kigezo kikubwa sana katika...
0 Reactions
2 Replies
11K Views
UNAIMANI NA UCHUMI WA BABA JESKA UTATUFIKISHA LEVEL YA KAT NDANI YA TANZANIA?? Weka point za kisomi! ieleweke Tanzania inajegwa au inabomolewa!
1 Reactions
0 Replies
981 Views
Wana jf kiu imenikaba!
3 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wana JF, Usiwe na wasiwasi kosa lolote ni kipato kwako. 1. 0 hadi miaka 20 Kuwa mwanafunzi mzuri shuleni na kama utakukuwa unafanya ujasiriamali jitahidi kujifunza uzoefu kidogokidogo na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
[https://i0] SportPesa now in Tanzania...like the Facebook page sportpesa_tz SportPesa, on Tuesday launched operations in Tanzania. The sports betting firm has had successful operations in Kenya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wanajamii, Mimi ningependwa kujuzwa sijui ni bank gani ambayo ninaweza kuweka pesa nikiwa nje ya nchi zikaingia moja kwa moja kwenye account yangu Tanzania mwenye ujuzi wapendwa naomba...
3 Reactions
6 Replies
4K Views
Habari, Nahitaji kuanza kilimo cha uwagiliaji kwa maana ya bamia,pilipili na nyanya chungu. Naomba mwenye uzoefu wa kilimo huko na urahisi wa kupata maeneo anijulishe.
0 Reactions
9 Replies
7K Views
Habari kwa beki kuu ya Tanzania (BoT) baada ya kusikia maamuzi ya kuifuta benki ya FBME baada ya kubainika kuwa ilikuwa ikijihusisha na Biashara ya kutakatisha Pesa haramu (kuingiza Pesa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom