Leo biashara nyingi zimefungwa sababu walilazimishwa kulipa kodi walizokwepa hapo nyuma. Ni sawa! Lakini Madhara yake yamekuwa makubwa kwa Raia maskini, waliokuwa wanategemea vibarua kwenye...
Habari,
Nimekuja kwenye jukwaa hili nikiamini kuna wataalamu wa kutosha na wenye uzoefu na mambo ya uchumi, kwa sasa serikali yetu aitoi vibali kwa watanzania kuingiza mahindi/sukari ndani ya...
Kama unajenga sasa au unataka kujenga ni vizuri kuyajua haya:
1.Kabla hujajenga omba ushauri kwa wataalamu wa ujenzi(Mfano wakandarasi) ili kuepuka kujenga nyumba isio na ubora kuepuka hasara za...
Wasalaam ndugu zangu,
Leo katika pita pita zangu huku na huku kuangalia vichwa vya magazeti nimekutana na hii "Prof Mhongo kutia saini mkataba wa Tanzania kuuza mihogo China" kwenye gazeti lao...
When I first went to university the initial week was filled with the usual getting to know the lay of the land such as how the library works (in a surprisingly mysterious way I might add), where...
Habari wana Jf, kwanza nitangulize heshima kwenu wana jamvi.
Nimeuleta huu uzi kwenu kwasababu mpo active muda wote nina imani mtanisapoti.
Nataka kuanzisha kiwanda kidogo cha kutengeneza...
Kwa wenye uzoefu kwenye fani hii, naomba mnipatie makisio ya gharama za kufuga kuku wa nyama kama 500 hivi pamoja na breakdown ya Matumizi na faida. Niko tayari kulipia gharama kama kuna mtu...
Tunakujengea na kukukabidhi Nyumba Hizi
*** Ndani siku 50 kwa Makubaliano *** +255 657 685 268
"Ni Haki Yako Kuishi Nyumba Nzuri na Salama!"
Specifications:
* Bati Kawaida za rangi 30G
*...
Dunia tunayoishi imebadilika Sana,karibia kila kitu kinaendeshwa kidijitali ili kuendana na hali halisi ya mabadiliko ya kisayansi na tekinolojia.
Mwaka 2009 January, raia wa Japan Saitoshi...
Hapa hakuna Road license, sijui Bima na takataka nyingine, naiomba Serikali pia ituruhusu sisi wenye usafiri wa dizaini tuingie katikati ya Mji bila bugudha wa Ubaguzi.
Nini kinafanya bati za kiwanda kimoja kuwa na bei tofauti?
Wakati material ni yale yale,kiwanda hicho hicho na machine hizo hizo!
1.Gauge(unene wa bati)
Hiki ni kigezo kikubwa sana katika...
Habari wana JF,
Usiwe na wasiwasi kosa lolote ni kipato kwako.
1. 0 hadi miaka 20
Kuwa mwanafunzi mzuri shuleni na kama utakukuwa unafanya ujasiriamali jitahidi kujifunza uzoefu kidogokidogo na...
[https://i0]
SportPesa now in Tanzania...like the Facebook page sportpesa_tz
SportPesa, on Tuesday launched operations in Tanzania. The sports betting firm has had successful operations in Kenya...
Habari wanajamii,
Mimi ningependwa kujuzwa sijui ni bank gani ambayo ninaweza kuweka pesa nikiwa nje ya nchi zikaingia moja kwa moja kwenye account yangu Tanzania mwenye ujuzi wapendwa naomba...
Habari,
Nahitaji kuanza kilimo cha uwagiliaji kwa maana ya bamia,pilipili na nyanya chungu.
Naomba mwenye uzoefu wa kilimo huko na urahisi wa kupata maeneo anijulishe.
Habari kwa beki kuu ya Tanzania (BoT) baada ya kusikia maamuzi ya kuifuta benki ya FBME baada ya kubainika kuwa ilikuwa ikijihusisha na Biashara ya kutakatisha Pesa haramu (kuingiza Pesa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.