Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Ndugu zangu wana JF naomba mnisaidie ili nifanikishe malengo yangu: Nina kiasi cha fedha kama million 4.5 sasa nahitaji nianzishe biashara yoyote ile itakayonipa faida sasa je 1: mambo gani...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nina mtu juzi kaniambia yeye haweki pesa yake bank za TZ sababu zina wizi saana Anadai bank zetu kama crdb na NMB zina charge pesa kila mwezi na wakati huo huo zina charge pesa kila unapotoa pesa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wana jf, Ni msomaji wa muda mrefu wa jukwaa hili pendwa lkn sijawahi weka bandiko,. Leo naomba ushauri kutoka kwenu.Nina pesa kama 22m.Kiasi nimechukua Mkopo na kiasi kingine kutoka kwe...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
The entry of a Tanzania-based miller into the local flour production industry is causing jitters among established milling companies and some cereal farmers. There are fears that the milling...
0 Reactions
28 Replies
6K Views
Hivi jamani kwanini sisi waafrica Sikh zote tuko chini
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Salaaam Wakuuu Tafadhali Naomba Muongozo kwa wataalamu kabla sijachukuwa maamuzi Kuna line ya Tigo pesa inauzwa Mkoani Arusha Nilihitaji kuinunua ili Nije kufanyia kazi huku Dar es salaam...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Naitwa Dalali Mtembezi tokea jijini Dar Salaam, natafuta muwekezaji au mnunuzi katika vitu vifuatavyo. Nina eneo la kutosha mjini posta karibu na Majani ya Chai ni Mali ya kampuni inahitajika...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Njia za kufanya ili kutokuweza kuajiriwa bali kujitegemea.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakati hapa nyumbani viongozi wetu, wanafanya siasa za kitoto, kuchagua watu wasio na uwezo mkubwa kwenda bunge LA EA, China viongozi wamekuja na mradi mkubwa was biashara utakaounganisha nchi 65...
1 Reactions
0 Replies
794 Views
Naomba kwa mwenye uelewa wa wapi na kwa bei gani zao la Mwani linapatikana kwa hapa Tanzania,natanguliza shukrani zangu kwa wanajamiiforum wenzangu ahsanteni.
0 Reactions
4 Replies
4K Views
je, unaifahamu supercomputer na faida zake kibiashara na uchumi? angalia video hii fupi kuhusiana na uwekezaji unaoweza kufanyika katika technology ya supercomputer kukuza uchumi na viwanda
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wadau wote jamvini. Radio mpya ya kisasa inategemewa kufunguliwa mkoani Tanga mwanzoni mwa 2015 hivyo tunaomba mawazo yenu kwenye jina la Radio. Tumeona ni vyema tukachanganya mawazo kwenye...
0 Reactions
86 Replies
9K Views
Kwanza niwape pole kwa kufungiwa utengenezaji wa kinywaji pendwa konyagi ndogo aka kiloba. Toka kiloba kimefungiwa hali imekuwa ngumu kwa wadau ukizingatia life ilivyo bana. Ushauri wangu ni...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Wasalaam Wadau ninatafuta ushauri /mmbia wa kushirikiana tuanzishe day care maeneo ya Pugu. Nina eneo lenye fence ya ukuta na jengo dogo. ...kuna maji umeme liko barabarani na daladala zinapita
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Here’s the market outlook for the week: EURUSD Dominant bias: Bullish This pair is bullish in the medium-term, but neutral in the short-term. Price tested the support line at 1.0850, closing...
0 Reactions
0 Replies
354 Views
Habari wana bodi, Unaruhusiwa kuuliza swali lolote linalohusu ujasiriamali na marketing/sales nawaahidi kuwajibu maswali yenu yote kama Mungu atakavyonijaalia. Pia hata kama wewe unaweza kujibu...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Wanabodi, Tanzania kama nchi, tunakabiliwa na tatizo kubwa la Wafanyabiashra wa Tanzania, kushindwa kuingiza bidhaa zetu kwenye masoko ya kimataifa!, tatizo ni nini?!. Mifano. Tanzania ndiye...
8 Reactions
107 Replies
10K Views
Wadau, Mimi ninamtaji wa milioni tatu nataka kufungua duka kubwa la mahitaji ya mwanadamu kama chakula na vitu mwingine. Naomba ushauri
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Samaki wabichi jumla na rejareja wanauzwa unaletewa mpaka ulipo Kilo moja:1kg(vipande vitatu vikubwa) 7 500 Kilo mbili:2kg(vipande vinne na nusu) 14,000 Kwa bei zetu za jumla ni rahisi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Siku za karibuni tumepata taarifa mitandaoni na kutoka Benki Kuu ya Tanzania kuhusu kufutwa usajili benki ya kibiashara ya FBME. Msimamizi wa Masuala ya Kisheria (Statutory Manager) wa FBME...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Back
Top Bottom