Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Ndugu zangu naomba nichukue nafasi hii kupeleka lawama katika shirika la viwango Tanzania. Hawa watu niwazee wa media pale wakipata kitu kisichoruhusiwa kutumika basi wataita vyombo vyote vya...
2 Reactions
2 Replies
654 Views
Mods naombeni uzi huu uwe sticky kwa manufaa ya wengi. Maisha ya mijini hususani miji mikubwa kama Dsm mikopo ya hapa na pale ni jambo la kawaida sana. Riba za 60%, 50%, 40%, na kuendelea ni...
3 Reactions
21 Replies
5K Views
' Kwa wale wadau wanaona hitaji hizi Bidhaa kwa jumla na rejereja unaweza ku PM kwa maelezo na zaidi
0 Reactions
45 Replies
14K Views
Habari, nina shida ya housing ya laptop aina ya Toshiba, niliangusha ikakatika lock za kushikia kioo ili kisimame Kwa mwenye nazo tuwasiliane 0744666669 0657666669 0688666669.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Elimu yangu ni Diploma (Clinical officer) nahitaji kufungua kitua changu binafsi kwa ajili ya kutoa huduma ya afya. Napenda kujua kama sheria inaruhusu kuwa na kituo kama hicho kwa mtu wa level ya...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Wadau mabib na mabwana naomben kwa yeyote mwenye kujua jinsi ya kutangaza biashara kupitia Facebook na watsap anijulishe.. Asanten sana
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Wanajamvi habari, Mi nilikua mwajiriwa ila nimeeacha iyo kazi lengo langu kuu ni kujiajiri,Nina experience na biashara kwan nishawai Fanya nikiwa mkoa,ilikua depot ya bia na hardware, Lengo...
1 Reactions
0 Replies
635 Views
Wakuu habari zenu, naomba kuuliza kwa yeyote anaefahamu benki ambayo mtu anaweza kufanya transactions zote including kuweka na kutoa pesa akiwa Tanzania na pia hata akiwa China.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Heshima yenu wadau, Naomba ushauri wenu nina kampuni yangu nilifungua mwaka jana ila mambo yanakuwa magumu sana, ni kipi napaswa kufanya? Mpaka nimewaza kutafuta partiner ila sijui linakuwaje...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nipende kuweka wazi kwa Uongozi wa CRDB ukiongozwa na Dr.Kimei kama gawio kwa hisa moja ni shillingi 10 kesho asubuhi nitaenda kwanza kuhamisha akaunti yangu CRDB na pia kuuza hisa zangu zote. Ni...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
send me a private message, kindly incase you are aggressive and need to make that extra coin
0 Reactions
0 Replies
707 Views
Wanajf ningependa tu tupie hapa ni fursa gan ya kibiashara au kiujasiriamali ambayo ina soko katika kipindi hiki cha Rais Magufuli. Lengo ni kushirikishana na kupeana ushauri. Nawasilisha.
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Nimeangalia muktadha wa nchi yetu kwa hali ya sasa,upungufu wa vyakula muhimu,kutokana na tabia nchi,mvua kuchelewa,wakulima kuchelewa kupanda na ukame ulioikumba nchi miez kadhaa nyuma,bei za...
0 Reactions
87 Replies
10K Views
Wakuu nimeshangaa bei ya Matikiti Jana nilivyopita Sokoni na Kununua Tikiti kubwa kwa Tsh. 300/= tofauti na Maneno Mengi ya Kwenye Keyboard yanayosimuliwa na watu wengi ambao wamezaliwa Dar es...
3 Reactions
39 Replies
6K Views
machine Nataka niwaoneshe material yanayotengeneza bati,inayoingizwa hapa kwetu ni coil ambayo ikipitishwa kwa mashine ndio inakata bati,kila mkunjo kila aina ya bati ina machine yake na...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Ndugu zangu wana JF naomba mnisaidie ili nifanikishe malengo yangu: Nina kiasi cha fedha kama million 4.5 sasa nahitaji nianzishe biashara yoyote ile itakayonipa faida sasa je 1: mambo gani...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nina mtu juzi kaniambia yeye haweki pesa yake bank za TZ sababu zina wizi saana Anadai bank zetu kama crdb na NMB zina charge pesa kila mwezi na wakati huo huo zina charge pesa kila unapotoa pesa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wana jf, Ni msomaji wa muda mrefu wa jukwaa hili pendwa lkn sijawahi weka bandiko,. Leo naomba ushauri kutoka kwenu.Nina pesa kama 22m.Kiasi nimechukua Mkopo na kiasi kingine kutoka kwe...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Back
Top Bottom