DSE: NMB yapigwa Wimbi Hisa zaporomoka bei kwa 15%

Troll JF

JF-Expert Member
Feb 6, 2015
7,804
12,224
Leo katika Soko la Hisa la Dar es Salaam hisa za Bank ya NMB zimeporomoka Bei kutoka Sh. 2,750p hadi sh.2,340p mdondokeo Mkubwa zaidi wa Pua (Nose dive).

Wale wafuatiliaji wa Mambo ya Hisa mnaelewa kuwa mdondoko huu wa 15% ni Significant mpaka Sasa sijaona taarifa ya NMB kwa wanahisa.

Yeyote mwenye taarifa sahihi atujuze sioni Bei ya hisa zake ikirudi haraka kwa haraka. Hisa Za NMB zilishawahi Kuuzwa sh.4,500p
 
Mikurupuko ya magufuli kutengeneza ripoti hewa. Itafahamika tu na mwanae mpendwa.
 
This is a true story.
A 150 year old bank with $60 billion dollar in assets collapses overnight. Its stock price drops 93% in eight hours. One day it's solvent, the next, it's worthless. Perception of reality becomes reality.
What are you trying to say?
 
Hata makampuni kama
1.DSE imeshuka kutoka,1200 hadi 1180
2.SWISSPORT kutoka 5400 hadi 5000
3.TBL kutoka 12000 hadi 10500
4.TPC TWIGA kutoka 2000 hadi 1900.
nini sababu wataalamu wa mambo ya masoko ya hisa na uchumi???
 
Hata makampuni kama
1.DSE imeshuka kutoka,1200 hadi 1180
2.SWISSPORT kutoka 5400 hadi 5000
3.TBL kutoka 2740 hadi 2340
4.TPC TWIGA kutoka 12000 hadi 10500.
nini sababu wataalamu wa mambo ya masoko ya hisa na uchumi???
acha uongo ww tbl hisa yake elfu2 na upuuz huo nan kasema???????????
 
Hata makampuni kama
1.DSE imeshuka kutoka,1200 hadi 1180
2.SWISSPORT kutoka 5400 hadi 5000
3.TBL kutoka 2740 hadi 2340
4.TPC TWIGA kutoka 12000 hadi 10500.
nini sababu wataalamu wa mambo ya masoko ya hisa na uchumi???
Asante Mkuu umeweka na data hata kama umepika una data
acha uongo ww tbl hisa yake elfu2 na upuuz huo nan kasema???????????
Ww msema ukweli weka data acha kutoa povuuuuu.... Usipinge kitu bila data
 
acha uongo ww tbl hisa yake elfu2 na upuuz huo nan kasema???????????
Nimegundua mkuu,sor nlikosea ni 12000 to 10500.but next,time uliza ama kuja kiustarab usiite upuuz sabu ni mwanaume na akili zangu nimetumia muda kuandika.na ingekuwa vema,kunisahihsha au kuleta price.na si kubwabwaja,kama avokueleza mkuu wangu hapo juu Babuu blessed
 
Leo katika Soko la Hisa la Dar es Salaam hisa za Bank ya NMB zimeporomoka Bei kutoka Sh. 2,750p hadi sh.2,340p mdondokeo Mkubwa zaidi wa Pua (Nose dive).

Wale wafuatiliaji wa Mambo ya Hisa mnaelewa kuwa mdondoko huu wa 15% ni Significant mpaka Sasa sijaona taarifa ya NMB kwa wanahisa.

Yeyote mwenye taarifa sahihi atujuze sioni Bei ya hisa zake ikirudi haraka kwa haraka. Hisa Za NMB zilishawahi Kuuzwa sh.4,500p
Kamuulize baba jesca maana naona uchumi unamshinda kabisa!!

Kipindi cha jk nmb hisa zilivuka 4000!! Sasa kwa baba ubaya zimefika 2000!! Tutaona mengi you wait!
 
Ndo wakati wa kununua sasa

jahazi linazama...

kwa maoni yangu fixed deposit ni afadhali kuliko hisa kwa awamu hii..

maana rate ya fixed interest ipo juu sana inaenda hadi 14 % per annum.. sasa una milion zako mia.. unatupia tu mwisho wa mwaka unavuta faida milion 14 huku mia yako imekaa tu
 
Nasubiri na za vodacom ziaze kuporomoka
Kwani zimeshapanda hadi zianze kuporomoka......

jahazi linazama...

kwa maoni yangu fixed cost ni afadhali kuliko hisa kwa awamu hii..

maana rate ya fixed interest ipo juu sana inaenda hadi 14 % per annum.. sasa una milion zako mia.. unatupia tu mwisho wa mwaka unavuta faida milion 14 huku mia yako imekaa tu

yeah ILO ndio neno Mkuu Mimi ndio game zangu hizo macheza na fixed narizika na target zangu nilizojiwekea... Hisa ni kama mchezo wa bahati nasibu Kula au kuliwa.....
 
Back
Top Bottom