JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Jamaa mmoja alikuwa akibishana na mkewe chumbani, mabishano yalikuwa hivi; baba: Mke wangu wewe ni mwoga sana. mama: hapana, wewe mume wangu ndio mwoga kuliko mimi. baba: wewe ndo mwoga, mbona...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
mama alimwita mwanawe we ngomge ukowapi njoo haha mwanawe akamjibu mamamie sie ngo'mbe. ng'ombe ni wewe na baba mimi ni ndama du mama kikamshuka shuuuuuuuuuuuu
0 Reactions
3 Replies
1K Views
kwako marehemu baba wa taifa,natumaini umepunzika kwa amani hakika nataka kukujuza maajabu mengi yaliyotokea tz toka uaage dunia; Kepten john komba amekuwa mbunge lakini kazi yake ni kusinzia tu...
0 Reactions
50 Replies
5K Views
Tulikuwa msibani mtaani,watu wengi walikuwepo kuwafariji wafiwa,kuna bwana mmoja naye alikuja pia kuwafariji wafiwa,huyu bwana alikuja na kijiko chake na ndizi mbivu moja,nadhani ni maandalizi ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jamani mshaurini husninyo aweke avatar!
2 Reactions
25 Replies
3K Views
Kuna mzungu mmoja alikuwa anajitahidi kuzungumza kiswahili wakati akitoa mawaidha kwa wanajamii aliyokuwa anafanya nao kazi. Ilikuwa hivi ''Jamani pandaneni ninyi kwa ninyi, kila mmoja ampande...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Kijana mmoja wa shule ya msingi alijikuta akila bakora kwa kumsaidia ndugu yake asiumwe na mbwa karibu ya shule yao mwl alikuwa karibu alipomsikia yule mfz akimtahadharisha kaka yake anaeitwa Wato...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ingekuwa balaa. Mi wanawake wenye mahaga wangenifanya kitu mbaya kwa namna ambavyo huwa nawawazia. Sijui mdau wewe unawaza nini kwa sauti
2 Reactions
26 Replies
3K Views
Kijana mmoja mtanashati alipata kazi sehemu moja, jina kapuni. Lakini wenzake walimtonya kuwa bosi wa sehemu iliyo anapenda kuwafanyizia wenzake vibaya. Kutokana na taabu ya maisha kijana...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kuna Imani kwamba Kadiri Mtu Unaponyoa Ndevu sana ndipo ndevu na Zenyewe zinaota sana na Ukiendelea Kunyoa sana Ndevu na Zenyewe zinazidi kuota hata kuweka alama Nyeusi isiyopendeza Kidevuni...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Friday, May 27, 2011, 5:03 Habari kuu, Mtanzania * Ni Kabaka, Jenista Mhagama, Mbilinyi (Sugu) * Wavutana katika kutembelea kiwanda * Kiwandani wabunge washuhudia ‘madudu’ * Wafanyakazi...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
After serving my one and half month now am back ladies n gents. tell yalojiri wen awozn around
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Unajua moja ya burudani kubwa humu JF ni majina bandia ya watu na tu-avatar vyao. Kwa mfano: Bubu ataka kusema Msemaovyo, n.k Mod unaweza kutupa (paste) hiyo list yote hapa tuvunje mbavu...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Tunajua kuwa duniani kuna wanawake na wanaume! Hakuna maendeleo yanayoletwa na kundi moja! Na kudharau kundi moja ni kupunguza kasi ya maendeleo! Sasa, hapa2 home of great thinker kauli kama...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Angalia hao wanaigiza siku mke wa raisi wa kenya alivyokasirika alivyoandikwa gazetini
0 Reactions
4 Replies
2K Views
DO NOT CHEAT AND LOOK AT ANSWERS!!! WORLD'S EASIEST QUIZ (Passing requires only 4 correct answers) 1) How long did the Hundred Years' War last? 2) Which country makes...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari ambazo hazijathitishwa zimeaarifu kuwepo kwa jaribio la kutaka kumuua Rais wa wananchi Dr wa Ukweli Slaa ,ninaposema rais wa watanzania nina maanisha Dr Slaa ,Kikwete ni Rais wa kichina...
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Wataalam, Nimekuwa nikisikia mama fulani hajafunga tumbo baada ya kujifungua. Naomba uzoefu.
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Mwenyekiti wa serikali ya kijiji hicho, Matena Mwikwabe alidai kuwa wananchi wamekosa imani na Serikali ya CCM kutokana mfululizo wa matukio tangu ndugu zao walipouawa. Diwani wa Kata ya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mzee mmoja alitokea kumwamini sana mkewe ya kwamba si malaya. Ingawa kuna baadhi ya watu walimuhakikishia kuwa kuna jamaa huwa anamchukua na kwenda nae guest house hakuamini. Siku moja wakati...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom