Hmaster
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 346
- 86
Mzee mmoja alitokea kumwamini sana mkewe ya kwamba si malaya. Ingawa kuna baadhi ya watu walimuhakikishia kuwa kuna jamaa huwa anamchukua na kwenda nae guest house hakuamini.
Siku moja wakati jamaa mzee amekwenda kazini yule mwizi akafika nyumbani kwake na kuondoka na yule mwanamke hadi GH. Watu walipoona picha hiyo wakampigia simu yule mzee aje afumanie, akaja. Kwa vile alitaka kuamini kabla ya kufanya furumai wale jamaa walimwambia achungulie dirishani ili aone mme mwezie anavyomfaidi mkewe. Mzee alifanikiwa kuona vizuri wapenzi wakisakata goma kwenye kitanda lakini akawaambia wale jamaa kwamba yule si mke wake. Walipomuuliza kwa nini anamkana wakati ni kweli mkewe yule mzee alijibu "sijaona vizuri sura ya yule mwanamke lakini kwa namna alivyokunjwa ile miguu kwa mbele lazima atakuwa ni mlemavu wa miguu kwa vile ni kama haina mfupa". Wale jamaa walimcheka na kumwambia ni style ile na akitaka asubiri baada ya round 1. Alipokwenda kuchungulia tena ghafla alianguka chini hadi wa ndani wakastuka, alizimia alipomwona mkewe amemlalia jamaa kifuani!
Siku moja wakati jamaa mzee amekwenda kazini yule mwizi akafika nyumbani kwake na kuondoka na yule mwanamke hadi GH. Watu walipoona picha hiyo wakampigia simu yule mzee aje afumanie, akaja. Kwa vile alitaka kuamini kabla ya kufanya furumai wale jamaa walimwambia achungulie dirishani ili aone mme mwezie anavyomfaidi mkewe. Mzee alifanikiwa kuona vizuri wapenzi wakisakata goma kwenye kitanda lakini akawaambia wale jamaa kwamba yule si mke wake. Walipomuuliza kwa nini anamkana wakati ni kweli mkewe yule mzee alijibu "sijaona vizuri sura ya yule mwanamke lakini kwa namna alivyokunjwa ile miguu kwa mbele lazima atakuwa ni mlemavu wa miguu kwa vile ni kama haina mfupa". Wale jamaa walimcheka na kumwambia ni style ile na akitaka asubiri baada ya round 1. Alipokwenda kuchungulia tena ghafla alianguka chini hadi wa ndani wakastuka, alizimia alipomwona mkewe amemlalia jamaa kifuani!