HOW TO ORDER :: Click - http://high-system.miiduu.com
Bose® Lifestyle 235 Home Entertainment System
Bose® Lifestyle V25 Home Entertainment System
Bose® Lifestyle V35 Home Entertainment System...
Kwamba kuku-jike anapofukuzwa na jogoo jeusi tii au jogoo lenye rangi mbaya hukimbia sana kuliko pale anapofukuzwa na jogoo jeupe au jogoo lenye rangi nzuri!
Ni kutoka iringa-Tanzania.Baba mmoja wa kihehe akiwa na mwanawe wakitoka machungani walikuwa wanajaribu kuwavusha ng'ombe wawili (mama ng'ombe na ndama) kukatisha mto.Kila yule mzee alipojaribu...
Hivi ndivyo walivyo anaongea sana uongo na kujisifu ,kupeleka umbeya kwa mabosi utafikiri ndicho alichosomea ,sijawahi ona mwanaume mwongo kama huyu mgoni hapa,kwa style hii wangoni wapite mbali nami!
Nimeiona hii sehemu.. Nkaona si vibaya nikiileta hapa...
Ugeni Mzito. Nina furaha kuwatangaz​ia watanzania​ wenzangu kwamba tuna ugeni mzito siku 2-3 hizi tumetembel​ewa na...
Do you have the guts of telling your thoughts??
Hapo ulipo unawaza nini??
Please share.Iwe kweli lakini.lol
oh!! And Please usishangae... This is Chit Chat...
P.S: Vigezo na Masharti ya JF...
Ilikua ni majira ya saa 12:30 jioni siku ya ijumaa ambapo mimi na familia yangu tulipoamua kwenda kwa yule mchungaji anayetibu maradhi sugu kwa njia ya upako kutoka kwa Mungu kwa gharama ndogo...
wanasiana wapatao 40 walikua wanakwenda kijijini kufanya kampeni bahati mbaya gari lao lili pata ajali mbaya njiani karibu na shamba la mkulima mmoja,mkulima kuona hivyo alichimba kaburi la pamoja...
(MWALIMU):Hii ni siku ya tano mfululizo,kila siku nakuchapa viboko,una lipi la kusema? (MWANAFUNZI):Nashukuru kesho na keshokutwa ni wikiendi i.e(jumamosi na jumapili),hatuji shule!
Waungwana, nyepesi nilizopata ni kuwa baada ya ziara ya Afrika ya Kusini, Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alipanda ndege mpaka Seattle Marekani kwenda kumtazama Mtanzania Mrisho Ngassa...
Baada ya sakata la Jairo tumejifunza kwamba ukisikia Mbunge wako akiongea kwa uchungu au jazba bungeni ufahamu kuwa anajaribu kuongeza ukubwa wa bahasha lake ukija muda wa mgao.Kigezo...
TEACHER: John, how do you spell crocodile?
JOHN : K-R-O-K-O-D-A-I-L
TEACHER: No, thats wrong
JOHN : Maybe its wrong, but you asked me how I spell it!
TEACHER: What is the chemical formula...
Jesus is the king, because in HISTORY he is the rock of ages, in BIOLOGY he raised the dead from death, in CHEMISTRY he changed water into wine, in MATHEMATICS he balanced 2 fishes and 5 loaves of...
Little Johnny is taking a shower with his mother and says, "Mom, what are those things on your chest!?" Unsure of how to reply, she tells Johnny to ask his dad at breakfast tomorrow, quite certain...
Kwenye daladala lifanyalo safari zake kati ya Kariakoo na Mbagala kulitokea wizi wa pochi ya mtu mmoja wa makamo,akiwa hajui hili wala lile wakati wa kutaka kutoa nauli walipofika Mivinjeni...
Kuna jamaa mmoja alikua anataka kasuku asiyetukana sasa akaenda posta na akamkuta mshkaji anauza kasuku akamuuliza ebana huyo kasuku niuzie ila ana matusi jamaa akadai hana sasa akataka kumpima km...
Leo nilifanya Ziara ya Burundi na rafiki yangu na tulitembelea miji ya Mabanda, Makamba na Bujumbura. Kwa kweli wenzetu wamejaaliwa kwa kua na wanawake wazuri. Jamani yaani hadi vijijini unawakuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.