Manumbu
JF-Expert Member
- Oct 28, 2009
- 1,746
- 1,282
Waungwana, nyepesi nilizopata ni kuwa baada ya ziara ya Afrika ya Kusini, Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alipanda ndege mpaka Seattle Marekani kwenda kumtazama Mtanzania Mrisho Ngassa akiichezea timu yake dhidi ya mabingwa wa Uingereza, Manchester United. Mheshimiwa Rais alipata fursa adimu ya kuwahutubia watazamani waliofurika uwanjani...akiwakaribisha Tanzania.....!