Usichakachue Mawazo Express your Self!!!

Usichakachue Mawazo Express your Self!!!

AshaDii

Platinum Member
Joined
Apr 16, 2011
Posts
16,189
Reaction score
18,115
Do you have the guts of telling your thoughts??
Hapo ulipo unawaza nini??
Please share.Iwe kweli lakini.lol
oh!! And Please usishangae... This is Chit Chat...

P.S: Vigezo na Masharti ya JF Rules Vizingatiwe.(ADI)
 
i refuse to think
i am depressed today........
 
i refuse to think
i am depressed today........


Boss i know... i know... and i know you are afraid (minimal guts) to say exactly what...

BUT My aim by the time you leave hapa you feel a bit good... Pole... sasa tell me saizi nini umefikiri...
 
Boss i know... i know... and i know you are afraid (minimal guts) to say exactly what...

BUT My aim by the time you leave hapa you feel a bit good... Pole... sasa tell me saizi nini umefikiri...


dont dare me challenge like this
nikikuambia exactly what i am thinking now..
hii thread itapelekwa jukwaa la wakubwa na mimi kupewa ban
get it??????????
 
That is so not FAIR....lol

haya baada ya hapo what are you thinking sasa?
Okay am thinking ... Ohh I feel Thirsty ngoja niende nikatafute kinywaji...., also I need to watch Apprentice UK Final from You Tube
 
dont dare me challenge like this
nikikuambia exactly what i am thinking now..
hii thread itapelekwa jukwaa la wakubwa na mimi kupewa ban
get it??????????


I know.... and I get... I would have dared you but unfortunately sina access...

na mpaka hapo i know sasa what you are thinking... Thus satisfied...
 
Okay am thinking ... Ohh I feel Thirsty ngoja niende nikatafute kinywaji...., also I need to watch Apprentice UK Final from You Tube

Dah!! I envy you... right now i am thinking i wish i was you (the watching part...lol)
 
Mhhhh...Asha,

Mimi hapa nimezama kwenye mawazo mazito...nafikiria jinsi karaha ya umeme ilivyoniondolea hamu ya chakula cha usiku...

Hata hivyo, nani ulikueleza kuwa unaweza kusema lolote unalolifikiria kwa mpenzi wako? Thubutu...kama huwezi kuchagua lipi la kuema na lipi la kufa nalo basi andika maumiivu, na hata kupigwa kibuti ukubwani!!
 
Asha bana! Haya mawazo tunayowaza "hayaandikiki" lakini siyo kama ya The Boss. Actually amenifanya nicheke. Inaelezwa kuwa more than 70% ya wanaume wanapokuwa kwenye foleni za magari barabarani huwa wanawaza mambo ya "wakubwa." Huu utafiti sijui ni hakika kiasi gani. Sina jeuri ya kusema ninayowaza sasa.. ila ni mambo ya kawaida sana.
 
Mhhhh...Asha,

Mimi hapa nimezama kwenye mawazo mazito...nafikiria jinsi karaha ya umeme ilivyoniondolea hamu ya chakula cha usiku...

Hata hivyo, nani ulikueleza kuwa unaweza kusema lolote unalolifikiria kwa mpenzi wako? Thubutu...kama huwezi kuchagua lipi la kuema na lipi la kufa nalo basi andika maumiivu, na hata kupigwa kibuti ukubwani!!


Mzee DC umepotea... (au ni mimi tu??) habari yako bana!!

Pole na umeme... yaani umeme ni KERO ambayo hailekezeki.... hata
uvivu kuongelea - infact ni moja ya sababu kurusha huu uzi... lkn ngoja niache...

Hapo kwenye blue.. kumbe mamaa DC tuko nae? mbona hujanitambulisha...lol
 
Asha bana! Haya mawazo tunayowaza "hayaandikiki" lakini siyo kama ya The Boss. Actually amenifanya nicheke. Inaelezwa kuwa more than 70% ya wanaume wanapokuwa kwenye foleni za magari barabarani huwa wanawaza mambo ya "wakubwa." Huu utafiti sijui ni hakika kiasi gani. Sina jeuri ya kusema ninayowaza sasa.. ila ni mambo ya kawaida sana.


ha ha ha.... 3D... wewe si mkaka... you are free to atest kama kweli....lol
Na Boss wewe muache tu.. hakwepeshi yule...

Hayo mambo kama ya kawaida unawaza... I dare you...
 
Well dakika hii nawaza kuna kazi natakiwa niifanye na niiikabidhi asubuhi, sasa niifanye sasa (nikiwa nimechoka kiasi) au nilale then niamke saa kumi (4 am) (jambo ambalo ni gumu kidogo kulitekeleza).......
 
Do you have the guts of telling your thoughts??
Hapo ulipo unawaza nini??
Please share….Iwe kweli lakini….lol
oh!! And Please usishangae... This is Chit Chat...

P.S: Vigezo na Masharti ya JF Rules Vizingatiwe….(ADI)

Unfortunately, siwezi kusema ninachowaza sasa kwa sababu kinavunja vigezo na masharti ya JF Rules
 
Well dakika hii nawaza kuna kazi natakiwa niifanye na niiikabidhi asubuhi, sasa niifanye sasa (nikiwa nimechoka kiasi) au nilale then niamke saa kumi (4 am) (jambo ambalo ni gumu kidogo kulitekeleza).......


oooh! hayo umechakachua....lol... yangekua hayo you would have said mwanzo...
 
Unfortunately, siwezi kusema ninachowaza sasa kwa sababu kinavunja vigezo na masharti ya JF Rules

I will narrow it down for you

  1. Sex related
  2. Anger related
  3. Name calling related
  4. No Guts related.
P.S.. Long time man... how have you been?
 
Mzee DC umepotea... (au ni mimi tu??) habari yako bana!!

Pole na umeme... yaani umeme ni KERO ambayo hailekezeki.... hata
uvivu kuongelea - infact ni moja ya sababu kurusha huu uzi... lkn ngoja niache...

Hapo kwenye blue.. kumbe mamaa DC tuko nae? mbona hujanitambulisha...lol

Ushiwe na shaka Asha,

Utamwona wakati wa mkutano mkuu wa mwaka 2011 wa wana MMU!
 
Back
Top Bottom