JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
du! Naona tanesqo mmeshafanya mambo yenu! Haya bwana sisi wanyonge 2tafanya nini?
0 Reactions
0 Replies
821 Views
unafikiri ingelikuaje kama watu wakifanya tendo la ndoa lile bao linapopatikana lingelikuwa linatoka na mlio kama wa bunduki, usiku ingekuaje?
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Jamaa mmoja alikwenda hoteli hana pesa akataka apewe chakula, akakataliwa. Basi jamaa akawatisha alipowaambia nitafanya kama alivyofanya kaka yangu jana. Wale watu wakaogopa wakijua kwamba jamaa...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
jamani hiki ni kituko cha kweli, jana nimetoka na mwenzi wangu tukaenda kusalimia ndugu fulani ambao waliondokewa/walifiwa na ndugu yao. kwa ufupi familia hii ina uwezo mkubwa tu na wanaishi...
2 Reactions
31 Replies
3K Views
Wakuu nimepita sehemu nikafanikiwa kuona Kipengele Cha Bunge akiongea Anne Kilango Malechela akidai Bara bara kwa wakulima wake wa Tangawizi. Mama kaongea kwa Jazba mpaka mwenyekiti wa Bunge...
1 Reactions
43 Replies
5K Views
There's this drunk standing out on the street corner, and a cop passes by and says, "What do you think you're doing?" The drunk says, "I heard the world goes around every 24 hours, so I'm waiting...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
John was driving when a policeman pulled him over. He rolled down his window and said to the officer, "Is there a problem, Officer?" "No problem at all. I just observed your safe driving and am...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nyani Ngabu ana masifa kishenzi. Lizzy ana mawenge Faiza Foxy ni mbishi, ukijaribu hata umueleweshe jambo atazidi kung'ang'ania Pdiddy ana kamtindo wa kupaste threads ndefuuuu kutoka...
0 Reactions
73 Replies
5K Views
Jamaniii..nini kimetokea hapa!?????? Nimepita maeneo ya Break point ya posta naona kibao cha "Samahani kwa usumbufu" yaani wamefunga kabisa aisee.. Sasa mimi Ijumaa nitajiliwazzia wapi...
0 Reactions
49 Replies
5K Views
kwangu Mimi Posta mpya ni kama jicho la fasheni. akina wadada warembo, mavazi yao ndo .... mwenzangu waionaje Posta mpya?
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Kwamba kwa nini mtu mlevi ana uwezo wa kunywa bia zaidi ya tano lakini hawezi kunywa soda zaidi ya tatu? Kuna nini hapa!
0 Reactions
51 Replies
5K Views
Baada ya miaka hamsini ya kusema tuko huru katika bendera yetu kuna rangi kubwa nyeusi.nimefikilia sana na sasa nimepata jibu ya kua ni giza na tanesco wanadhihirisha hilo kwa kukata umeme na kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani mimi sina muda mrefu humu JF lakini tangu nimejiunga nimeona manufaa yake...kuna mambo mengi nlikuwa siyajui na sasa JF imenisaidia sana. Ama kweli JF inaleta maana kamili ya kujamiiana...
0 Reactions
9 Replies
17K Views
Sishangai sana kwa mh.jk kwa yale majibu aliyoyatoa alipokuwa akihojiwa na bbc.7bu huyohuyo mh.jk alishauambia uma wa watanzania kukatika umeme itakuwa historia baada ya mitambo ya richmond...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nape Nnauye ambaye ni katibu mwenezi wa CCM amekuwa hodari wa kughushi katika maisha yake. Kijana huyu alighushi kuwa CCM wakati akiwa na mbinu za kuanzisha chama cha CCJ huku akitumia nyaraka za...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kitendawili wanaJF ... bila shaka mtaitikia tegaaa: Ni handsome boy Anapenda safari za nje Chukua akili za kwako changanya na za mbayuwayu.. eh sizihitaji kura za wafanyakazi hata nyoka akizeeka...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Wadau kwa heshima na taadhima naomba kukopa maneno ya mamaa wa Kericho; JF is beyond keyboards!!!!!!!!!!! Kwa namna ya pekee kabisa naomba niwashukuru wanaJF wote wa Arusha na wengine toka mikoa...
18 Reactions
212 Replies
14K Views
Wadai mtanisamehe, hali inatisha jamani. Ningekua na uwezo ningepiga fumigation system nzima ya utawala, ianze tena upya. Huu si utani, inaumiza hali ni mbaya na hakuna anaewaza kuhusu hali za...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mtoto kamuuliza babake:eti baba,unataka kuanza tena shule?baba akauliza:kwa nin umeniulza hvyo?mtoto akamwambia:"jana uthiku niliskia ukimnong'oneza mama,eti kama anapenda muende la pili...!"hvi...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Hivi ndio mhimili wa dunia
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom