Baada ya sakata la Jairo tumejifunza kwamba ukisikia Mbunge wako akiongea kwa uchungu au jazba bungeni ufahamu kuwa anajaribu kuongeza ukubwa wa bahasha lake ukija muda wa mgao.Kigezo kinachotumika ni kama kuna Bilioni moja mgawaji anaambiwa wale wenye kelele wape milioni 5 wengine wape mojamoja.
Kuanzia sasa mbunge hata apige kelele vipi simuamini labda watajane kuwa fulani na fulani huchukua bahasha.
Kuanzia sasa mbunge hata apige kelele vipi simuamini labda watajane kuwa fulani na fulani huchukua bahasha.