Hivi majuzi nilipata Admission kwenye chuo kimoja hapa Bongo kwa ajili ya kwenda kusoma masters.Sasa kama kawaida nikarudi kwa wadau wangu kwamba nipeni tafu kidogo niende shule ikawa hivi...
Baada ya mazoezi mengi na mifano mingi, akakutana nayo hii hesabu jana kwenye pepa ya form 4, dah nikachanganyikiwa sijui kama atafaulu...kweli "Mathematics ni janga la kitaifa"
BAHILI;Ndizi moja sh.ngapi? MUUZAJI;Ndizi moja sh.100. BAHILI;Nipe kwa sh.60. MUUZAJI;Kwa sh.60 utapata maganda tu. BAHILI;Shika hii sh.40,nipe ndizi,hayo maganda ya sh.60 yatoe siyataki!
After 10 years of selfless service, a man realized that he has not been promoted, no transfer. No salaries increase, No any recommendation and that the company is not doing anything about it. So...
Mtalii na mtafsiri wake hotelini
Mtalii: Do you have vegetables here.
Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.
Waiter: Vijimeza vidogo hatuna.
Mtafsiri: No sir, they don't have
Mtalii: OK, fine, do...
Inasemekana wabongo kwa upole na ukarimu ni nambari wani.cheki hii.
Eti m'bongo akifariki na kwenda mbinguni huwa hivi.
M'bongo: malaika,mimi ni wa motoni ama mbinguni?
Malaika: kaka,wewe ni...
Jana nilitoka Tanga nikachelewa kufika dar,home kinyerez ndani zaid nikaona nienda magomeni kagera karibu na Friends conner Hotel kuna mlolongo wa Nyumba za wageni.
Nikiwa ndani kwa kweli...
Mswahili mmoja mvivu sana alikwenda kwa kinyozi, alipokaa tu kwenye kiti kinyozi akamuuliza unataka kunyolewa ndevu au nywele? Mvivu akajibu ndevu, kinyozi akamwambia inua kichwa basi, jamaa...
Baada ya kuwapeleka wanaanga wake kwenye safari
za anga ya juu na wanaanga kutembea kwenye anga ya juu
kwa mafanikio, China imepiga hatua nyingine muhimu katika juhudi zake za kutafiti anga ya...
Tangu ushindi wa kishindo Igunga tumekuwa tukipokea salamu nyingi za pongezi kutoka pande zote za dunia. Hatuna cha kuwalipa ila tunasema asanteni sana na Mungu awabariki.
natamani sukari kilo 1 iwe 100,000
unga kilo 1 - 50,000
chumvi kilo 1 - 80,000
mafuta ya kupikia lita 1 - 200,000
bill za umeme na maji kwa mwezi ziwe 2,000,000 @
na vinginevyo hapo ndo...
Habari zenu wote kwa mpigo.
Nina vifaranga vya bundi 38.viko kwenye hali ya kutia hamu ya kununua.
Naviuza kwa bei nafuu.mwenye kuhitaji anitafute kwenye google.
Kijana mmoja miaka ya 90,alimbaka bibi yake mzaa baba.baba akachukia na kumpeleka mtoto mahakamani,cku ya kesi,jamaa akaulizwa na hakimu akakubali,kuwa ni kweli,lakini kwa nini baba yake kachukia...
Utafiti uliofanywa pamoja na
majaribio katika kinga mpya
umedhihirisha kuwa kinga hii
mpya imefanikiwa kukinga
tumbiri asiambukizwe virusi
vinavyosababisha ukimwi na
kutokana na hilo kutowa...
A little girl complained to her father, "Daddy, I wish I had a little sister!"
Trying to be funny, her father joked, "But honey, you already have a sister!"
Confused, the toddler asked, "I do?"...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.