BAHILI;Ndizi moja sh.ngapi? MUUZAJI;Ndizi moja sh.100. BAHILI;Nipe kwa sh.60. MUUZAJI;Kwa sh.60 utapata maganda tu. BAHILI;Shika hii sh.40,nipe ndizi,hayo maganda ya sh.60 yatoe siyataki!
unamaanisha wale majirani wa wachaga!
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us