Kinyozi na Mswahili Mvivu

Kinyozi na Mswahili Mvivu

Sizinga

Platinum Member
Joined
Oct 30, 2007
Posts
9,539
Reaction score
7,367
[h=6]Mswahili mmoja mvivu sana alikwenda kwa kinyozi, alipokaa tu kwenye kiti kinyozi akamuuliza unataka kunyolewa ndevu au nywele? Mvivu akajibu ndevu, kinyozi akamwambia inua kichwa basi, jamaa kwa uvivu akamwambia basi nyoa nywele [/h]
 
Back
Top Bottom