"In the midst of great joy, do not promise anyone anything. In the midst of great anger, do not answer anyone's letter." —Chinese proverb
1. MWANZO
Kama binadamu kila mmoja wetu kwa namna...
Tukisema tunaambiwa tunayo-andika ni conspiracy theories.Kama watu wanaweza bila aibu na woga kwenda mahakamami kutetea eti "haki yao ya kutoa watoto wachanga kafara," kuna jambo ambalo hawawezi...
Maadhimisho ya Uhuru wa Tanganyika yanaweza kutupa sura mpya tusiokuwa tukiifahamu sote, Pengine ni kwa mara ya kwanza Kitabu cha Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi ndio kinaeleza uhusika kikamilifu wa...
Wadau nimekuwa naona Aina mbali mbali za Ulinzi kwa Viongozi mbalimbali.Licha ya Ulinzi huo bado Baadhi ya Viongozi Wameuawa.
Najiuliza kwanini Wanaweza kuuawa Wakati wana huo Ulinzi au Walinzi...
Sote tumesikia juu ya sheria ya kivutio - lakini vipi kuhusu sheria ya polarity, sheria ya umoja wa kimungu, au sheria ya mawasiliano? Hiyo ni kweli.
Sheria 12 za ulimwengu zinafikiriwa kuwa...
Ufahamu ni kuwa "aware". Awareness ina involves the observer,observed na njia ya kufanya observation to be made. Kwa maana nyingine kutokea kwa ufahamu ni pale anapokuwepo mtazamaji, anaye tazamwa...
Wakuu heshima kwenu,
Sababu ya kusema nafsi yangu moja imefungwa ninatokana na historia ya mitihani na majaribio mengi ya maisha 44yrs ndani ya majaribio na mitihani.
Siku ya leo nimeamka...
Unapo wapekua freemasons, marais wa Marekani, mfumo wao wa utawala, kila mara utakutana na nambari hizi, 13 na 33. Wale wanaoitwa waanzilishi wa taifa ka Marekani ni Freemason na karibu wote wa...
Je alama ya mnyama ni nini? Kuna maelezo mengi yaliyotolewa na baadhi ya watu juu ya alama ya mnyama, wengine hudhani kuwa alama ya mnyama ni “chip” ya computa, au kadi, au kitu halisi kinachoweza...
How do you understudy by the term imagination, logic?
is logic a mind?
do you use imagination or logic in your life?
do billionaires use logic or imagination?
how do you improve your...
Watsup comrades,
Taifa la Ethiopia mbioni kugawanyika kama hali iliyopo isipodhibitiwa kwa hekima na busara sio miguvu tena.
Vita ni kati ya majeshi ya serikali ya shirikisho ya Ethiopia chini...
Kwa kosa la Adam na Hawa, mtu aliondelewa uwezo wa akili, hali ya kimungu.
Mtu aliumbwa kwa mfano na sura ya Mungu. Ndiyo kusema mtu ni mwili na roho aliyeumbwa kushiriki uumbaji wa muumba wake...
Wanabodi.
Kumbukumbu ni moja ya vitu ambavyo binadamu anaishi navyo milele hadi kufa navyo!. Ubongo ni kama computer hard disc, na uwezo wa kuhifadhi ni kama computer memory, kadri unavyohifadhi...
WATAALAMU wa anga hufurahia sana kupiga dunia picha wanapoiona ikiwa kubwa kupitia dirisha la chombo cha angani. “Huo ndio mwono bora zaidi unapokuwa angani,” akasema mmoja wao. Lakini dunia yetu...
Escapism
There is no one answer to this but others try to define it as process of seeking distraction from reality by engaging in entertainment or fantasy.
instead of facing the difficulties head...
VITA YA OPIUM; KITU KIDOGO KILIVYOWEZA KUSABABISHA BALAA KWENYE TASNIA YA BIASHARA, JAMBO LINALO WAGHARIMU UCHINA MPAKA LEO.
Na. Comred Mbwana Allyamtu (CMCA)
Sunday-21/02/2021
Himo, Kilimanjaro...
Inakuwaje wanajamvi!
Israel kanchi kadogo tu kenye raia million 5 wayahudi ukiondoa milion moja waarabu. Imezungukwa na maadui zaidi ya milion 500wenye chuki kali na kuiombea mabaya na kutamani...
Wakristo wengi wanaamini kuwa mpangilio wa matukio katika kitabu cha 'mwanzo' are logically consistent, Hi si kweli
Hauhitaji professor wa fizikia kutambua makosa yaliyomo katika kisa hicho cha...
Hakuna ujanja wowote, hakuna utumwa wowote, hakuna conspiracy yoyote katika chanjo ya COVID 19. Katika ulimwengu wa " globalization"/muingiliano wa watu kama wa kileo ambao ulianza karne ya 19...
AN OPEN LETTER TO HIS EXCELLENCY, PRESIDENT JOHN P. MAGULFULI, TANZANIA
Dear Mr. President
We all, in Tanzania, thought that our Nation received a blessing when Kelvin Dushnisky, the Chairman of...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.