Mchango wangu kwa idara ya usalama wa Taifa juu ya usalama kutoka katika mrengo wa kimazingira

Environmental Security

Senior Member
May 21, 2020
181
261
Habarini wanajamii intel...
Leo nimeona ni vema namimi kutoa contribution yangu kwa idara yetu nyeti ya usalama wa Taifa juu ya usalama kutoka katika mrengo wa kimazingira - Environmental Security

Kabla sijaendelea naomba kudeclare;
*Mimi ni kijana MTANZANIA mzalendo kwa taifa langu.

*Mimi ni mmoja kati ya watu ambao ninaridhika sana na utendaji na uimara wa idara yetu nyeti ya usalama wa Taifa na ninaamini hivyo.

*Naamini idara imara ya usalama wa Taifa ni msingi muhimu wa uimara na maendeleo ya taifa katika nyanja zote

*pia Naamini idara ya taifa letu imejitosheleza vema lakini bado naweza pia kuongeza mchango wangu wa mawazo kama yanaweza kusaidia kuboresha mahali

Nijielekeze ktk mchango wangu.
Environmental Security kwa kiswahili rahisi ni kama nilivyoeleza hapo juu kuwa ni Usalama kwa mrengo wa kimazingira

Nipende kusema kuwa kuna uhusiano wa karibu sana na wa moja kwa moja kati ya uharibifu unaotokea katika mazingira na usalama katika taifa, na hii ni katika short-run na long-run, kama tunavyojua Usalama ni ile hali ya kuwa salama (safe and free) kutoka katika hali na aina zote za hatari, uhatarishi, madhara, hofu au matisho ambayo yanaweza kuhatarisha maisha ya watu, mali au jamii kwa ujumla. Kwa kutumia maana hiyo rahisi ya usalama tunaweza sasa kujua kuwa uharibifu wa mazingira una uhusiano wa karibu sana na suala nyeti la usalama katika taifa lolote.
Uharibifu katika mzingira ni suala pana sana kutokana na ukweli kuwa mazingira yanajumlisha vitu vyote vinavyotuzunguka, hii inaweza kuhusisha uchafuzi wa mazingira kwa kupitia taka zinazozalishwa katika miji hasa makazi, masoko na sehemu nyingine za biashara, uchafuzi wa hewa, taka ngumu na vimiminika kutoka viwandani na migodini, uharibifu unaotokana na kilimo, mipango mibovu au kutokuwepo kabisa kwa mipango ya matumizi bora ya ardhi na mengine mengi sana ambayo sitoyaorodhesha hapa

Mifano:
Sitaeleza kwa kina sana ila nitagusia ili nieleweke
●Migogoro ya wakulima na wafugaji katika maeneo mbali mbali ya nchi yetu, kwa kiasi kikubwa ina uhusiano wa kimazingira ambapo watu huondoka maeneo yaliyoharibika kimazingira na kuelekea maeneo mengine yenye rutuba ambako pia wanakuta mipango mibovu au haipo ya matumizi bora ya ardhi hivyo kupelekea kuzuka kwa migogoro hiyo ambayo huleta madhara kwa maisha ya watu, uharibifu wa mali, kuongezeka uhasama hivyo kuathiri hali ya usalama. Ashukuriwe Mungu huwa haienei sana na huwa inadhibitiwa.

●Migogoro ya wananchi na wawekezaji hasa maeneo ya migodi, viwanda na mashamba makubwa (plantation) mf. nyamongo, kapunga na maeneo mengine yenye viwanda na shughuli kama hizo. Ukichunguza kwa makini utagundua kuna uhusiano wa migogoro hiyo na uharibifu wa mazingira

●Migogoro ya wananchi na miradi mikubwa ya maendeleo, hii kwa kiasi inasababishwa na kutozingatiwa kwa ripoti za tathmini ya athari za kimazingira (EIA /SIA) hivyo mapendekezo kutofanyiwa kazi ipasavyo

●Migogoro ya wafugaji na hifadhi za taifa au mapori ya akiba - mipango mibovu ya matumizi bora ya ardhi na uharibifu wa mazingira uliopelekea kukosekana kwa malisho

●Migogoro ya ardhi

●Ongezeko la wasio na ajira kutokana na uhamiaji toka maeneo ya vijijini kuja mijini na kupelekea uhalifu na uvunjifu wa amani kutokana na vijana wasio na kazi waliokimbia kilimo kisicho na tija vijijini na uzalishaji hafifu uliotokana na uharibifu wa mazingira au mipango mibovu ya matumizi bora ya ardhi vijijini

Na mifano mingine mingi ktk taifa letu. Huko duniani usiseme juu ya mto Nile na yanayoendelea, kuna migogoro Philippines, maji middle east, uharibifu wa misitu carribean n.k

NB: katika ulimwengu wa usalama hakuna sababu za moja kwa moja za kupelekea machafuko katika taifa ambazo hizo pekee ndio hasa chanzo, lakini kila sababu ya migogoro isipochukuliwa kwa uzito stahiki inaweza kupelekea machafuko. (Hata za kimazingira)

Duniani wenzetu wanafanya nini juu ya hili;
▪Umoja wa mataifa - UN kupitia shirika lake la mazinugira (UNEP) wamehakikisha kuwa ishu ya usalama katika mrengo wa kimazingira linapewa kipaombele "The General Assembly Resolution 42/186 mandated UNEP to deal with the issue; Paragraph 86 of the
Resolution reads: “One of the roles of the United Nations Environment Programme is to promote
environmentally sound development in harmony with peace and security, and towards this end, issues of
disarmament and security, in so far as they relate to the environment, should continue to receive appropriate attention".

▪NATO pia wamelichukulia suala hili kwa uzito tena kwa muda mrefu. "The North Atlantic Treaty Organization (NATO) and its Committee on Challenges of Modern Society (CCMS) organised a workshop on ‘Environmental
Security in an International Context: Environment and Development Policy Responses’.14 The workshop
recognised monitoring compliance as a crucial issue in environmental politics and stressed the need for
capacity building as a major part of a strategy to combat environmental threats to security"

Naweza kusema suala hili lilianza kupewa uzito mara tu baada ya kumalizika kwa miaka ya vita baridi, na kwa sasa sehemu kubwa ya dunia wanialitazama kwa uzito katika sera zao na hasa katika vyombo vyao vya usalama (angalia Biden ambavyo amelipa uzito suala la climate change, mapema kamteua John Kerry)

Environmental Security Ni suala muhimu sana na nyeti katika kuhakikisha taifa linakuwa salama. Ningeweza kueleza kwa kirefu na kina zaidi sana juu ya hili lakini nimejaribu kugusia walau kutoa mwanga na picha ili mchango wangu ufike ipasavyo na ninatarajia kuendelea kueleza kupitia nyuzi mbalimbali humu huku nikiamini haya yanazingatiwa na wahusika.

MCHANGO WANGU NI:
Sifahamu sana muundo wa idara yetu nyeti ya usalama wa Taifa na mipangilio mingine ya ndani, ila nina uhakika ni idara iliyojipanga vema sana lakini ningeomba kama inawezekana kuwepo na kitengo kamili cha Environmental Security katika idara yetu nyeti ya usalama wa Taifa, ili iwepo mikakati madhubuti ya kuhakikisha suala hili linachukuliwa kwa uzito stahiki hata kama halijaonesha kuwa na impact kubwa ktk taifa letu kwasasa.

Uwepo wa kitengo maalum cha Environmental Security ndani ya TISS itasaidia sana kufanya informed decision zinazoweza kuwa na uhusiano wa kimazingira. Sera zetu zitazingatia hili, uwekezaji na miradi mbalimbali pia itazingatia hili, kutakuwepo na ubadilishanaji wa taarifa, pia mitaala yetu itazingatia hili maadamu linachukuliwa kuwa issue of national security

Pamoja na masuala mengine kama siasa, uchumi, mambo ya kijeshi, ugaidi, na mengineyo ambayo yanaangaziwa moja kwa moja na idara zetu za usalama, naomba suala la Environmental Security rasmi liwe issue ya kimkakati kiusalama katika taifa letu.

Kwa leo napumzika hapa na naahidi kuanza kwenda deep kidogo ili mchango wangu uwe na maana.

Environmental Security
 
Kuna post na makala hii yako hapa haitatusaidia kabisa. Tafuta gazeti uwe una publish
Nashukuru sana kwa ushauri mzuri, kwasasa natafuta gazeti sahihi kwaajili ya kuweka mfululizo makala hii kwa undani na upana wake, nitawajuza ndani ya siku chache
 
Nilisoma Embassy cables za Marekani kutoka Tanzania nikakuatana na hiki kipande.

1606809222746.png


Hili ndio tatizo letu..... Intelligence service ime-focus sana na siasa.
 
Punguani peke yake ndiye anaweza kuamini ya kwamba Tanzania ina usalama wa Taifa.Usalama wa CCM ndiyo unaita ni usalama wa Taifa?!Yaani watu waliochapisha kura fake wakashindwa kuzisambaza kwa weledi na matokeo yake zikazagaa mitaani kama njugu ndiyo unawaita usalama wa Taifa?Una akili timamu?
 
Habarini wanajamii intel...
Leo nimeona ni vema namimi kutoa contribution yangu kwa idara yetu nyeti ya usalama wa Taifa juu ya usalama kutoka katika mrengo wa kimazingira - Environmental Security

Kabla sijaendelea naomba kudeclare;
*Mimi ni kijana MTANZANIA mzalendo kwa taifa langu.

*Mimi ni mmoja kati ya watu ambao ninaridhika sana na utendaji na uimara wa idara yetu nyeti ya usalama wa Taifa na ninaamini hivyo.

*Naamini idara imara ya usalama wa Taifa ni msingi muhimu wa uimara na maendeleo ya taifa katika nyanja zote

*pia Naamini idara ya taifa letu imejitosheleza vema lakini bado naweza pia kuongeza mchango wangu wa mawazo kama yanaweza kusaidia kuboresha mahali

Nijielekeze ktk mchango wangu.
Environmental Security kwa kiswahili rahisi ni kama nilivyoeleza hapo juu kuwa ni Usalama kwa mrengo wa kimazingira

Nipende kusema kuwa kuna uhusiano wa karibu sana na wa moja kwa moja kati ya uharibifu unaotokea katika mazingira na usalama katika taifa, na hii ni katika short-run na long-run, kama tunavyojua Usalama ni ile hali ya kuwa salama (safe and free) kutoka katika hali na aina zote za hatari, uhatarishi, madhara, hofu au matisho ambayo yanaweza kuhatarisha maisha ya watu, mali au jamii kwa ujumla. Kwa kutumia maana hiyo rahisi ya usalama tunaweza sasa kujua kuwa uharibifu wa mazingira una uhusiano wa karibu sana na suala nyeti la usalama katika taifa lolote.
Uharibifu katika mzingira ni suala pana sana kutokana na ukweli kuwa mazingira yanajumlisha vitu vyote vinavyotuzunguka, hii inaweza kuhusisha uchafuzi wa mazingira kwa kupitia taka zinazozalishwa katika miji hasa makazi, masoko na sehemu nyingine za biashara, uchafuzi wa hewa, taka ngumu na vimiminika kutoka viwandani na migodini, uharibifu unaotokana na kilimo, mipango mibovu au kutokuwepo kabisa kwa mipango ya matumizi bora ya ardhi na mengine mengi sana ambayo sitoyaorodhesha hapa

Mifano:
Sitaeleza kwa kina sana ila nitagusia ili nieleweke
●Migogoro ya wakulima na wafugaji katika maeneo mbali mbali ya nchi yetu, kwa kiasi kikubwa ina uhusiano wa kimazingira ambapo watu huondoka maeneo yaliyoharibika kimazingira na kuelekea maeneo mengine yenye rutuba ambako pia wanakuta mipango mibovu au haipo ya matumizi bora ya ardhi hivyo kupelekea kuzuka kwa migogoro hiyo ambayo huleta madhara kwa maisha ya watu, uharibifu wa mali, kuongezeka uhasama hivyo kuathiri hali ya usalama. Ashukuriwe Mungu huwa haienei sana na huwa inadhibitiwa.

●Migogoro ya wananchi na wawekezaji hasa maeneo ya migodi, viwanda na mashamba makubwa (plantation) mf. nyamongo, kapunga na maeneo mengine yenye viwanda na shughuli kama hizo. Ukichunguza kwa makini utagundua kuna uhusiano wa migogoro hiyo na uharibifu wa mazingira

●Migogoro ya wananchi na miradi mikubwa ya maendeleo, hii kwa kiasi inasababishwa na kutozingatiwa kwa ripoti za tathmini ya athari za kimazingira (EIA /SIA) hivyo mapendekezo kutofanyiwa kazi ipasavyo

●Migogoro ya wafugaji na hifadhi za taifa au mapori ya akiba - mipango mibovu ya matumizi bora ya ardhi na uharibifu wa mazingira uliopelekea kukosekana kwa malisho

●Migogoro ya ardhi

●Ongezeko la wasio na ajira kutokana na uhamiaji toka maeneo ya vijijini kuja mijini na kupelekea uhalifu na uvunjifu wa amani kutokana na vijana wasio na kazi waliokimbia kilimo kisicho na tija vijijini na uzalishaji hafifu uliotokana na uharibifu wa mazingira au mipango mibovu ya matumizi bora ya ardhi vijijini

Na mifano mingine mingi ktk taifa letu. Huko duniani usiseme juu ya mto Nile na yanayoendelea, kuna migogoro Philippines, maji middle east, uharibifu wa misitu carribean n.k

NB: katika ulimwengu wa usalama hakuna sababu za moja kwa moja za kupelekea machafuko katika taifa ambazo hizo pekee ndio hasa chanzo, lakini kila sababu ya migogoro isipochukuliwa kwa uzito stahiki inaweza kupelekea machafuko. (Hata za kimazingira)

Duniani wenzetu wanafanya nini juu ya hili;
Umoja wa mataifa - UN kupitia shirika lake la mazinugira (UNEP) wamehakikisha kuwa ishu ya usalama katika mrengo wa kimazingira linapewa kipaombele "The General Assembly Resolution 42/186 mandated UNEP to deal with the issue; Paragraph 86 of the
Resolution reads: “One of the roles of the United Nations Environment Programme is to promote
environmentally sound development in harmony with peace and security, and towards this end, issues of
disarmament and security, in so far as they relate to the environment, should continue to receive appropriate attention".

NATO pia wamelichukulia suala hili kwa uzito tena kwa muda mrefu. "The North Atlantic Treaty Organization (NATO) and its Committee on Challenges of Modern Society (CCMS) organised a workshop on ‘Environmental
Security in an International Context: Environment and Development Policy Responses’.14 The workshop
recognised monitoring compliance as a crucial issue in environmental politics and stressed the need for
capacity building as a major part of a strategy to combat environmental threats to security"

Naweza kusema suala hili lilianza kupewa uzito mara tu baada ya kumalizika kwa miaka ya vita baridi, na kwa sasa sehemu kubwa ya dunia wanialitazama kwa uzito katika sera zao na hasa katika vyombo vyao vya usalama (angalia Biden ambavyo amelipa uzito suala la climate change, mapema kamteua John Kerry)

Environmental Security Ni suala muhimu sana na nyeti katika kuhakikisha taifa linakuwa salama. Ningeweza kueleza kwa kirefu na kina zaidi sana juu ya hili lakini nimejaribu kugusia walau kutoa mwanga na picha ili mchango wangu ufike ipasavyo na ninatarajia kuendelea kueleza kupitia nyuzi mbalimbali humu huku nikiamini haya yanazingatiwa na wahusika.

MCHANGO WANGU NI:
Sifahamu sana muundo wa idara yetu nyeti ya usalama wa Taifa na mipangilio mingine ya ndani, ila nina uhakika ni idara iliyojipanga vema sana lakini ningeomba kama inawezekana kuwepo na kitengo kamili cha Environmental Security katika idara yetu nyeti ya usalama wa Taifa, ili iwepo mikakati madhubuti ya kuhakikisha suala hili linachukuliwa kwa uzito stahiki hata kama halijaonesha kuwa na impact kubwa ktk taifa letu kwasasa.

Uwepo wa kitengo maalum cha Environmental Security ndani ya TISS itasaidia sana kufanya informed decision zinazoweza kuwa na uhusiano wa kimazingira. Sera zetu zitazingatia hili, uwekezaji na miradi mbalimbali pia itazingatia hili, kutakuwepo na ubadilishanaji wa taarifa, pia mitaala yetu itazingatia hili maadamu linachukuliwa kuwa issue of national security

Pamoja na masuala mengine kama siasa, uchumi, mambo ya kijeshi, ugaidi, na mengineyo ambayo yanaangaziwa moja kwa moja na idara zetu za usalama, naomba suala la Environmental Security rasmi liwe issue ya kimkakati kiusalama katika taifa letu.

Kwa leo napumzika hapa na naahidi kuanza kwenda deep kidogo ili mchango wangu uwe na maana.

Environmental Security
Usalama wa taifa ni jukumu letu sote. Na nakupongeza kwa mawazo mazuri ya kizalendo.

Usimamizi wa mazingira unaangukia katika resource management.. na primarily inakuwa Land.

Ukiangalia kwanini wakoloni walifanikiwa na wanaendelea kufanikiwa huko kwao ni namna sahihi wanavyoweza kusimamia ardhi na watu.

Kwa mfumo uliopo ni kazi kuwalaumu Idara ya Usalama wa Taifa maana ili wafanye kazi wanahitaji taarifa za kutosha na mifumo yetu haigenerate taarifa hizi kwa namna sahihi na ya kuwasaidia Walinzi wetu.

Nadhani kunapaswa kuwa na Idara maalumu ya National Resources Management Team itakayodeal na kutunza taarifa za matumizi ya rasilimali za taifa hasa ardhi. Chini ya ofisi ya Rais.

Watu sahihi kwa kazi hii ni regional Planners , Natural Resource Managers and Strategists.. kusaidia ku-aim na ku-audit from the background mipango na miradi yote nchini na matumizi bora ya rasilimali towards a common national goal.


Na kuwa na established living units by law(home owners association).. na daftari la wamiliki wa ardhi nchini kwa kila established unit.. Hii itapunguza land hoarding na kusaidia regional and urban planners kuwa baseline data wakati wa uandaaji wa Mipango ya matumizi bora ya rasilimali na kuondoa mgandamizo wa rasilimali.

Matokeo ya hatua hii, Tanzania na TISS watakuwa na baseline data ya watanzania wote wako wapi na hata kuweza kutrack mienendo yao.. Kuondoa land hoarding kutasaidia ardhi nyingi kubakia wazi hivyo kupewa kwa wahitaji wengine ambao bila hatua hii wangeenda kusafisha mapori nakuendelea kuharibu mazingira.

Pia inasaidia kuondoa uhamiaji haramu.. maana watanzania wote mpaka unapoestablish baseline data utakuwa unawajua yeyote nje ya mfumo anakuwa sio mtanzania.. inasaidia kuondoa mamluki na kulinda taifa.
 
Usalama wa taifa ni jukumu letu sote. Na nakupongeza kwa mawazo mazuri ya kizalendo.

Usimamizi wa mazingira unaangukia katika resource management.. na primarily inakuwa Land.

Ukiangalia kwanini wakoloni walifanikiwa na wanaendelea kufanikiwa huko kwao ni namna sahihi wanavyoweza kusimamia ardhi na watu.

Kwa mfumo uliopo ni kazi kuwalaumu Idara ya Usalama wa Taifa maana ili wafanye kazi wanahitaji taarifa za kutosha na mifumo yetu haigenerate taarifa hizi kwa namna sahihi na ya kuwasaidia Walinzi wetu.

Nadhani kunapaswa kuwa na Idara maalumu ya National Resources Management Team itakayodeal na kutunza taarifa za matumizi ya rasilimali za taifa hasa ardhi. Chini ya ofisi ya Rais.

Watu sahihi kwa kazi hii ni regional Planners , Natural Resource Managers and Strategists.. kusaidia ku-aim na ku-audit from the background mipango na miradi yote nchini na matumizi bora ya rasilimali towards a common national goal.


Na kuwa na established living units by law(home owners association).. na daftari la wamiliki wa ardhi nchini kwa kila established unit.. Hii itapunguza land hoarding na kusaidia regional and urban planners kuwa baseline data wakati wa uandaaji wa Mipango ya matumizi bora ya rasilimali na kuondoa mgandamizo wa rasilimali.

Matokeo ya hatua hii, Tanzania na TISS watakuwa na baseline data ya watanzania wote wako wapi na hata kuweza kutrack mienendo yao.. Kuondoa land hoarding kutasaidia ardhi nyingi kubakia wazi hivyo kupewa kwa wahitaji wengine ambao bila hatua hii wangeenda kusafisha mapori nakuendelea kuharibu mazingira.

Pia inasaidia kuondoa uhamiaji haramu.. maana watanzania wote mpaka unapoestablish baseline data utakuwa unawajua yeyote nje ya mfumo anakuwa sio mtanzania.. inasaidia kuondoa mamluki na kulinda taifa.
Umefafanua vema sana
 
Back
Top Bottom