Jeremiah Stephin
Senior Member
- Feb 6, 2014
- 129
- 166
HATA BINADAMU WA SASA IPO SIKU ATOWEKA (EXTINCT)
[emoji117]Iko hivi, hakuna species yoyote ambayo itaishi milele(hakuna immortal species),Kila kundi la viumbe wa jamii moja(species) ipo siku litatoweka (extinct) na kubaki historia tu kuwa lilikuwepo juu ya uso huu wa dunia..
[emoji117]Miaka zaidi ya million 230 iliyopita kabla hata mwanadamu hajatokea duniani kulikuwa na viumbe wanaitwa dinosaurs ambao ndio walikuwa dorminant kwenye ardhi yote ya dunia (terrestrial)lakini hadi leo imebaki historia tu hawapo wametoweka (they extinct)..
[emoji117]Hadi sasa kuna mabilioni ya species ambazo tayari zimetoweka(they became extinct) kwa sababu mbali mbali ikiwemo organic evolution na kushindwa kuyakabili mazingira hasa kutokana na mabadiliko ya tabia ya nchi..
[emoji117]Asili ya mwanadamu imetokea mbali zaidi ya miaka milion 5 hadi 7 iliyopita wakati dunia ipo tangu miaka zaidi ya bilion 4 iliyopita umesha jiuliza kwanini binadamu
Kachelewa mno kuwepo duniani?
[emoji117]Kabla ya kuwepo sisi binadamu wa kisasa kuna species nyingi tu za binadamu wa kizamani ambazo zimeshatoweka na hazipo tena ikiwemo ndugu zetu kina homo habilis, homo erectus n.k na sasa tupo sisi tolea jipya la wanadamu tunajiita homo sapiens umesha jiuliza hata sisi ipo siku tutatoweka? Jibu ni ndio
[emoji117]Species yetu(Homo sapiens) pia miaka mingi ijayo itatoweka na haita kuwepo kabisa kwanini dalili zimeanza kuonekana mapema mno..
[emoji117]Binadamu wa sasa ameanza kuwa dhaifu kuhimili magonjwa mfano hai ni COVID 19 n.k,life style ya binadamu wa sasa imeongeza hatari ya kutoweka mapema mno ikichagizwa na maendeleo ya science na teknologia,Binadamu sasa anazidiwa na mabadiliko ya tabia ya nchi ndio maana visa vya watu wengi kufa kwa joto siku hizi imekuwa kawaida tu..Kuna mtalaam mmoja aliwahi kunambia binadamu waliokufa zamani mifupa yao ilichukua muda mrefu sana kuoza(decomposition) ila binadamu anakufa leo ni miaka michache tu unaweza kuta kabuli lake halina mabaki yoyote..mifupa inaoza ki rahisi tu
[emoji117] Kiufupi ni kwamba hakuna species yoyote ile inayo pendelewa kwamba iishi vizuri kuliko nyingine na hii ndio maana halisi ya nature,Maneno ya kwenye dini kuwa binadamu ana akili kuliko kiumbe yoyote huwa nayo yana ukakasi kwa maana kila kiumbe kila akili kwenye mazingira yake..
#itaendelea
[emoji3578]Jeremiah Kipoya
[emoji117]Iko hivi, hakuna species yoyote ambayo itaishi milele(hakuna immortal species),Kila kundi la viumbe wa jamii moja(species) ipo siku litatoweka (extinct) na kubaki historia tu kuwa lilikuwepo juu ya uso huu wa dunia..
[emoji117]Miaka zaidi ya million 230 iliyopita kabla hata mwanadamu hajatokea duniani kulikuwa na viumbe wanaitwa dinosaurs ambao ndio walikuwa dorminant kwenye ardhi yote ya dunia (terrestrial)lakini hadi leo imebaki historia tu hawapo wametoweka (they extinct)..
[emoji117]Hadi sasa kuna mabilioni ya species ambazo tayari zimetoweka(they became extinct) kwa sababu mbali mbali ikiwemo organic evolution na kushindwa kuyakabili mazingira hasa kutokana na mabadiliko ya tabia ya nchi..
[emoji117]Asili ya mwanadamu imetokea mbali zaidi ya miaka milion 5 hadi 7 iliyopita wakati dunia ipo tangu miaka zaidi ya bilion 4 iliyopita umesha jiuliza kwanini binadamu
Kachelewa mno kuwepo duniani?
[emoji117]Kabla ya kuwepo sisi binadamu wa kisasa kuna species nyingi tu za binadamu wa kizamani ambazo zimeshatoweka na hazipo tena ikiwemo ndugu zetu kina homo habilis, homo erectus n.k na sasa tupo sisi tolea jipya la wanadamu tunajiita homo sapiens umesha jiuliza hata sisi ipo siku tutatoweka? Jibu ni ndio
[emoji117]Species yetu(Homo sapiens) pia miaka mingi ijayo itatoweka na haita kuwepo kabisa kwanini dalili zimeanza kuonekana mapema mno..
[emoji117]Binadamu wa sasa ameanza kuwa dhaifu kuhimili magonjwa mfano hai ni COVID 19 n.k,life style ya binadamu wa sasa imeongeza hatari ya kutoweka mapema mno ikichagizwa na maendeleo ya science na teknologia,Binadamu sasa anazidiwa na mabadiliko ya tabia ya nchi ndio maana visa vya watu wengi kufa kwa joto siku hizi imekuwa kawaida tu..Kuna mtalaam mmoja aliwahi kunambia binadamu waliokufa zamani mifupa yao ilichukua muda mrefu sana kuoza(decomposition) ila binadamu anakufa leo ni miaka michache tu unaweza kuta kabuli lake halina mabaki yoyote..mifupa inaoza ki rahisi tu
[emoji117] Kiufupi ni kwamba hakuna species yoyote ile inayo pendelewa kwamba iishi vizuri kuliko nyingine na hii ndio maana halisi ya nature,Maneno ya kwenye dini kuwa binadamu ana akili kuliko kiumbe yoyote huwa nayo yana ukakasi kwa maana kila kiumbe kila akili kwenye mazingira yake..
#itaendelea
[emoji3578]Jeremiah Kipoya