Nawasalimu katika jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!
Wapendwa tumekua tukiona kwa macho yetu, kwamba Mh Rais Samia ana walinzi wenye mabunduki mazito mazito pindi anapokua kwenye tukio au...
Nimekutana na khabari kuwa kuan fweza nyingine za BOT zimeliwa kiajabu ajabu na kampuni yenye jina la Kiganda-Kagoda Agriculture Limited.
Baya zaidi ni jinsi gani ambavyo udhaifu wa kiutendaji...
Habari wana g.t.
Siku ya leo nimeona ni muhimu ku-share na great thinkers hiki kitandawili ambacho nimejiuliza kwa miaka mingi bila kupata hitimisho.
Kitandawili hicho ni"what if life is a dream...
Tukubali tukatae kama mwanadamu angekuja miaka bilioni 2 iliyopita basi kufikia 2021,leo tungekuwa dunia ya teknolojia kubwa.
Mfano kusafiri mbali nje universe,kwenda sayari yoyote na popote...
1. Mto AMAZON
Mto huu unapatikana Amerika ya Kusini, ni mkubwa kuliko mito yote duniani na hatari sanaa kwasababu ya urefu wake na upana wake.
Kwakuwa mto huo ni mkubwa kuliko mito yote duniani...
Hi Guys!
Katika tafiti tulizokaririshwa na kuaminishwa, ni mengi tumeambiwa na wanasayansi wanaodai wametoka nje ya dunia. Mojawapo ya mambo tuliyoambiwa ni kwamba kuna miaka Billions Light years...
Wanabodi,
Nimekuwa nikijiuliza sana sisi tunaomwabudu Mungu wa dini mbalumbali na madhehebu mbalimbali, utakuta tunapingana kwa mengi mpaka tunatowana macho lakini likifika swala pesa hizi dini na...
mtu anapo kimbia bafuni bila nguo kisa ameona mende ile ni hofu lakini mtu anapo kimbia simba msituni ile
ni anakimbia hatari, mtu anapo ona kisiki usiku na kuzani ni mtu ile ni hofu. Tukiweza...
UFISADI NA BIASHARA YA FEDHA HARAMU
...Mei 1998, Andrew Chenge, akiwa mwanasheria mkuu alihalalisha (Authorized) malipo ya dola 600,000 kwenda kwenye akaunti ya kampuni iliyoitwa Langley...
Nimefuatilia tamko la Rais wa Umoja wa Ulaya kuhusu kuunda Jeshi la Umoja Huo. Ametoa tamko hilo jana tarehe 16/09/2021
Najiuliza huu ndiyo mwanzo wa mwisho wa NATO? Au wanazidi kumbana Uingereza...
Salaam! Kuna kitu kinatatiza sana, hivi mtoto potential akizaliwa sehemh yoyote duniani, kuna watu hujua ujio wake? Hao watu ni nani?
Je, kuna nini kinafanyika ili kumbaini na kum-trace? Wajuvi...
Ni dhahiri kabisa pasipo uhai hakuna maisha!,kwa maana maisha ni uhai.
Lakini lipo jambo moja tata kuhusu uhai!. Nalo ni kusudio la uhai.
Tukijaribu kuangalia mfano wa vitu vidogo ambavyo...
Habari ndugu wapenzi wa JF natumai ni wazima wa afya tele kabisa na iwapo mlioko mpo katika michikariko basi ni kupambana tu na changamoto za maisha kwani hakuna njia isiyo na visiki au vilima,leo...
Umbo la mwezi hubadilika na hata rangi yake, lakini tangu jadi binadamu amekuwa akivutiwa na maumbile yake. Kuna Mwezi Mpevu, Mwezi Mwandamo, Hilali na hata wakati mwezi hupatwa na jua.
Hapa ni...
Habari wakuu!
Huwa nimekuwa ni mwenye kujiuliza sana hili swali
Mara nyingi utakuta familia zenye malezi na maadili mazuri watot wao huwa bright sana na kinyume chake familia zenye uswahili...
Ilikuwa Siku ya Jumapili ya tarehe 25 May 2003, ndege aina ya Boeing 727, iliyosajiliwa kwa namba N844AA, iliibiwa kwenye bwana wa ndege wa Quatro de Fevereiro Airport, Luanda, Angola.
Kupotea...
Habarini wanajamii intel...
Leo nimeona ni vema namimi kutoa contribution yangu kwa idara yetu nyeti ya usalama wa Taifa juu ya usalama kutoka katika mrengo wa kimazingira - Environmental Security...
Habari zenu wadau wa jukwaa hili. Leo ningependa kushea na nyinyi kuhusu hiki kitabu ambacho tangu nikisome takribani miaka kadhaa hivi wakati nipo chuo kiliweza kubadili mtazamo wangu kwa kiasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.