Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni

On JF:

Hakuna siku ya furaha kama leo ambapo kwa mara ya kwanza Amiri Jeshi Mkuu wetu, Samia Suluhu amevaa magwanda ya jeshi. Binafsi kwangu nimefurahi kumuona mama na magwanda yake. Hongera mama yetu...
11 Reactions
67 Replies
10K Views
Nawasalimu kwa jina la JMT. Kuna msemo una sema " ukitaka kuleta maendeleo ktk taifa lolote, badili au weka mfumo mzuri wa Elimu". Hivyo Basi naomba kuwasilisha kwa wadau swali langu kuwa; "Elimu...
1 Reactions
2 Replies
904 Views
Mada ya timetravel sio ngeni hapa JF ila tumekuwa tukijadili labda ule ushaidi wa charlie chaplin wakati wamemaliza kurekodi ikaonekana mtu hana ongea na simu wakati miaka hiyo kuanzia simu...
6 Reactions
40 Replies
4K Views
Moja kwa moja mada yahusika Hivi msingi wa kuogopa kifo kwa wanadamu ni nini? Unaweza pata experience yoyote? Kwamba kuna maumivu au baada ya kufa ndio kuna maumivu? Hata mimi najua nitakufa...
11 Reactions
87 Replies
13K Views
Maneno ya Marehemu Remmy Ongala katika wimbo wa Kilio ukiyasikiliza kwa makini yanaleta hoja nzuri nzuri juu ya mapokeo ya dini, ujio wa Yesu na namna wakoloni walivyotuchota na kutulisha matango...
5 Reactions
132 Replies
11K Views
Baada ya Mwenyezi Mungu kumpa Mchoro kamili wa Ramani ya SAFINA nabii NUHU:- Unadhani Kwa Ufahamu unaoujua wewe au Kwa Dini uliyoisoma wewe, Huyu Nabii Nuhu alitengenezaje Boti ile Kubwa zaidi...
14 Reactions
87 Replies
14K Views
1) Vita ya Nyuklia (Nuclear Armagedon) Bomu moja la Nyuklia lina uwezo wa kusababisha kifo kwa asilimia 80 hadi 95 kutoka eneo lililoripuliwa kuelekea umbali wa kipenyo cha Km 4 ingawa uharibifu...
7 Reactions
23 Replies
4K Views
Good day wakuu! Baada ya kupona dhoruba la kunyimwa Uhuru wa kubanguana bongo....tuendelee kupeana vitu adimu na adhimu kwa afya ya ubongo..maandishi yenye kuprovoke thought and intellectual...
208 Reactions
610 Replies
135K Views
Jina lake halisi ni Chukwudi Dumeme Onuamadike AKA EVANS... Ndie alikuwa mtekaji tajiri, maarufu na katili zaidi nchini Nigeria.. Akijulikana k Bilionea EVANS.... Historia yake ya utotoni...
37 Reactions
90 Replies
22K Views
Kila mda kutafakari kuzidi kutanua akili zetu na vitu vingi vilivyo humu duniani.ndio maana elimu ni bahari sijui na atujui tunajifundisha.kuna mchoro ambao mpaka leo uliochorwa na msanifu mzuri...
3 Reactions
34 Replies
8K Views
Habari za kazi wanajukwaa, bila ya kupoteza muda niende kwenye mada.... Je biblia iliiga simulizi zake kutoka dini za kipagani na kuhadaa watu kuwa ni stori za ukweli??? Kwenye biblia kuna...
19 Reactions
274 Replies
33K Views
Sitaki kuongea mengi, pitia haya maandishi kutoka kwenye hii nyalaka, ambayo kwa muonekano ni kama vile ni ya Roman Catholic. Ninachotaka kujua, hii tafsiri ni sahihi? Na Je, kama sio sahihi...
10 Reactions
50 Replies
5K Views
Jina lake ni Hebron Wilson Kisamo wa huko moshono Arusha,ni mtumishi wa Mungu anayesema ukweli na kuwaumbua viongozi wakristo wapiga dili na waongo.Mtumishi huyu anafichua mambo yafuatayo...
2 Reactions
113 Replies
31K Views
Ifuatayo ni orodha ya wanasayansi & watu wengine mashujaa duniani ambao hawakuwahi kuwa hata na girlfriend or boyfriend. [emoji117]Isaac Newton. [emoji117]Nikola Tesla. [emoji117]Jeremy Bentham...
9 Reactions
100 Replies
17K Views
Simba kama afahamikavyo kuwa ni mfalme wa pori anasifa mbalimbali ambazo nyingi unaweza ukawa unazijua kulingana na uelewa wako, lakini kwa sifa kabambae na za uhakika juu ya hayawani huyu ni kama...
29 Reactions
167 Replies
70K Views
Nchi na Nchi hapa Ulimwengu lazima ziwe na mlango wa kuingilia baina yao. Mfano pale Tunduma Tanzania ndilo lango kuu la kuingia Zambia ukitokea Tanzania. Vilevile Rusumo,huko Kagera ndilo...
3 Reactions
15 Replies
5K Views
FORMIDABLE JAWS OF THE DRAGON BRIDGE: Daraja muhimu la North Vietnam lililosumbua ndege vita (Fighter Jets) za Marekani kuvunja kwa miaka saba (7). DRAGON'S JAW ni jina la utani la watu wa...
16 Reactions
53 Replies
9K Views
Nimekuwa na maswali mengi kuhusu biblia pindi navyoisoma na kukosa majibu au mtu wa kumuuliza kwa wale ambao Mungu amewapa uwezo wa kutafsiri kitabu hiki kitakatifu ninaomba mtupe majibu yenu...
5 Reactions
2K Replies
194K Views
• Harusi ya Binti wa Mobutu ilipambwa na wageni 7500 • Keki iliagizwa Ufaransa Kwa ndege Maalum • Gauni iligarimu Dola za Kimarekani 75,000 • Mikufu ya almas, iligarimu dola million 3 Kwa miaka...
16 Reactions
56 Replies
14K Views
Watu wamekuwa wakiteswa kila siku na akili zao wenyewe kiasi cha kufikia hatua ya kuwatembelea wanasaikolojia,waganga wakienyeji au madaktari wa akili kuwanusuru na majanga haya. Wengine...
8 Reactions
23 Replies
3K Views
Back
Top Bottom