Habari ya leo Ndugu zangu,
Mambo yamekua mengi kidogo dunia ya leo, wakati kuna pande mbili zinavutana juu ya uhalali au ufanisi wa chanjo hizi za corona, kuna wale wanagoma kuchoma sindano...
Wakuu, naomba kuuliza kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Je ni mwanajeshi mstaafu ama mwandamizi?
Nadhani wengi wetu hatufahamu. Makongoro Nyerere anakubalika sana na wananchi. Sisi wananchi...
Ulimwengu Wa Plastiki Au Dunia Ya Watu.
Waziri Wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Raisi Muungano na Mazingira Mheshimiwa January Makamba aliwai kusema “Ndugu zangu sina budi kuwa kumbusha kuwa siku...
Kila siku zaidi ya tweets milioni 500 zinaandikwa na watu mtandaoni duniani ambazo ni sawa na tweet bilioni 200 kwa mwaka duniani. Ongeza na picha zinazokadiriwa kufika milioni 350 ambazo huwekwa...
heshima kwenu waakuu nina kaswali kangu simple kila mtu anajua kwamba baada ya ten,inafuata eleven (11)twelve(12),thirteen (13)n.k,
swali langu ni kwanini baada ya ten haifuati ten one(11),ten...
Kukamatwa kwa mfanyabiashara mwenye uraia wa Haiti ambaye anaishi Florida ambaye vyombo vya usalama vinadai kwamba ni mhusika mkuu wa mauaji ya aliyekuwa raisi wa Haiti, kunazidi kuongeza maswali...
Nimeukuta huu mjadala wadau,tafadhali kwa wenye kujua tufafanulieni kuwa Soda ya Pepsi au Cocacola ikimwagiwa kwenye mashimo ya maji ya choo hupunguza kwa 70% hivyo inaweza kuokoa gharama ya...
Dah Mimi sio mtaalam kabisa wa mambo haya. Mambo ya udukuzi.lakini nimeingiwa na hofu Sana.
Pegasus Ni kifaa kilichotengenezwa na kampuni binafsi ya Israel.
Pegasus spyware inaweza kupenya kwenye...
Ebu tujadili kidogo kuhusu Executive Protection ya maraisi, Hapa chini nimeweka picha za inner cycle za ulinzi wa Rais JPM, Samia, Ndayishimiye (Burundi) na Mnangagwa (Zim).
Sasa twende...
Ni jambo ambalo nimekuwa nikijiuliza iweje idadi kubwa ya wanadamu hutumia mkono wa kulia,kwa kufanya shughuli mbalimbali hasa kuandika.Wakati ilipaswa tutumie mkono wa kushoto kwa maana katika...
Kwa sababu ya matatizo mbalimbali kama kuonewa, kudhurumiwa, kuuwawa, vita vya wenyewe kwa wenyewe, uharamia, wanyama wakali, na kila aina ya vitisho vya utumiaji wa nguvu, watu wa jamii na...
General Paul Kagame had hoped to cash on the fight for saving the US$20 billion French investments in liquefied natural gas in northern Mozambique. He was ready to send his armies to fight the...
..mkamate sana elimu, usimuache aende zake..
Najiuliza sana hapa anazungumzia elimu kama elimu au kuna nafsi inazungumziwa? kwanini aseme "M"kamate.. "U"simuache.. "A"ende zake.. ni nani huyu...
Kwa mujibu wa kamusi ya mtandaoni ya Cambridge, “panopticon” ni gereza ambalo vyumba vyake vimejipanga kimzunguko kiasi cha wakazi wake kuweza kuonekana kutokea katikati. Kwa kawaida katikati ya...
Habari wana JF,Husikeni na kichwa cha habari hapo juu.Binafsi ni mmoja kati ya watu wanaopenda kusoma vitabu viwe vya Novel,Self Awareness,Ujasiriamali au Historia vyote vyote,chochote nitakacho...
Wakuu hapa JF
Nimefikiria na kutafakari sana juu ya Matukio mengi yaliyotokea katika nchi hii juu ya Kudhuru Binadamu na hata Kuuawa na ni vema nikaorodhesha matukio haya ili tutafakari je ni...
.... Nijisemee mwenyewe, ni muumini wa matokeo. I liked Namna majengo yalivyokuwa yakizibuliwa na Israel missiles. Kuna kitu naomba kujifunza, ni Aina gani ya makombora bora kabisa yaliyoweza...
Kifupi kabisa Freemason ni uhusiano wa moja kwa moja kati ya Mungu na wewe,kujua namna Mungu anavyotenda kazi na baadi ya siri zake na kujua dunia inavyokwenda
Wanawake wote duniani ni freemason...
Juzi nimeangaalia Movie mpya inayoitwa The Tomorrow War baada ya kuisha nikajikuta natafakari! Je! tayari wataalamu wa mambo wameshasafiri kwenda miaka 10-20 mbele wakarudi ni jibu juu ya...
Nataka kusema kwamba, Ulaya wameitawala Libya,wanajua utamu wa utajiri wake wa mafuta. Ulaya na Marekani ndiyo wenye makampuni makubwa, “Supermajors” ya mafuta hapa duniani. Utawala wa Gaddafi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.