Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,949
- 38,700
Nimefuatilia tamko la Rais wa Umoja wa Ulaya kuhusu kuunda Jeshi la Umoja Huo. Ametoa tamko hilo jana tarehe 16/09/2021
Najiuliza huu ndiyo mwanzo wa mwisho wa NATO? Au wanazidi kumbana Uingereza na hatua yake ya kujiondoa EU?
Umoja wa Afrika tunajifunza nini hapo?
Najiuliza huu ndiyo mwanzo wa mwisho wa NATO? Au wanazidi kumbana Uingereza na hatua yake ya kujiondoa EU?
Umoja wa Afrika tunajifunza nini hapo?