Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
"Ukiwa kwenye taamuli unaona kilichokuwa kinaendelea akilini mwako wakati wote" Allan Lokos. Zipi hasa ni baadhi ya FAIDA za kufanya taamuli vyema na mara kwa mara; 1. Taamuli(meditation)...
8 Reactions
10 Replies
9K Views
Ni jambo la ajabu sana ya akili za binadamu wa siku hizi kuwa hazifanyi kazi, nadhani ni kwa sababu ya kutumia Synthetic foods and drinks, because what you eat and drink, you become! Kila kona...
24 Reactions
73 Replies
8K Views
Khabari vipi Katika chambua chambua zangu za hapa na pale mara nikagundua waliopewa jukumu la kujenga chuo cha kimataifa cha dodoma wachina walijenga yale majengo wa muundo wa kipekee ambao ukiwa...
4 Reactions
102 Replies
31K Views
Tumeona ufundi wa kibiolojia ukibadilisha mambo mengi sana. Tumepata ng'ombe wa kisasa wanaotoa maziwa na nyama nyingi. Tuna kuku wa kisasa wanaotaga sana na kutoa nyama kibao. Tuna miwa yenye...
3 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari za asbuhi great thinkers. Moja kwa moja niende kwenye topic kuhusu nilichotafiti kwangu binafsi kwa kuconnect dots ya source mbalimbali nilizosoma naweza conclude kwamba weusi wetu...
10 Reactions
104 Replies
26K Views
“Nyoka alikuwa mwerevu kuliko wanyama wote wa porini walioumbwa na Mwenyezi-Mungu. Basi, nyoka akamwambia huyo mwanamke, “Ati Mungu alisema msile matunda ya mti wowote bustanini?” 2Mwanamke...
0 Reactions
25 Replies
5K Views
Vitabu vitakatifu neno hili tumekuwa tukilitumia hasa pale tunapogusia vitabu vyote vya kiimani vilivyokubalika kutumiwa na waamini wa dhehebu lolote lile duniani. Leo ntazungumzia madaraja ya...
5 Reactions
8 Replies
2K Views
"In the midst of great joy, do not promise anyone anything. In the midst of great anger, do not answer anyone's letter." —Chinese proverb 1. MWANZO Kama binadamu kila mmoja wetu kwa namna...
40 Reactions
97 Replies
33K Views
Tukisema tunaambiwa tunayo-andika ni conspiracy theories.Kama watu wanaweza bila aibu na woga kwenda mahakamami kutetea eti "haki yao ya kutoa watoto wachanga kafara," kuna jambo ambalo hawawezi...
1 Reactions
49 Replies
9K Views
Maadhimisho ya Uhuru wa Tanganyika yanaweza kutupa sura mpya tusiokuwa tukiifahamu sote, Pengine ni kwa mara ya kwanza Kitabu cha Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi ndio kinaeleza uhusika kikamilifu wa...
5 Reactions
16 Replies
47K Views
Wadau nimekuwa naona Aina mbali mbali za Ulinzi kwa Viongozi mbalimbali.Licha ya Ulinzi huo bado Baadhi ya Viongozi Wameuawa. Najiuliza kwanini Wanaweza kuuawa Wakati wana huo Ulinzi au Walinzi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Sote tumesikia juu ya sheria ya kivutio - lakini vipi kuhusu sheria ya polarity, sheria ya umoja wa kimungu, au sheria ya mawasiliano? Hiyo ni kweli. Sheria 12 za ulimwengu zinafikiriwa kuwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ufahamu ni kuwa "aware". Awareness ina involves the observer,observed na njia ya kufanya observation to be made. Kwa maana nyingine kutokea kwa ufahamu ni pale anapokuwepo mtazamaji, anaye tazamwa...
1 Reactions
7 Replies
4K Views
Wakuu heshima kwenu, Sababu ya kusema nafsi yangu moja imefungwa ninatokana na historia ya mitihani na majaribio mengi ya maisha 44yrs ndani ya majaribio na mitihani. Siku ya leo nimeamka...
1 Reactions
20 Replies
4K Views
Unapo wapekua freemasons, marais wa Marekani, mfumo wao wa utawala, kila mara utakutana na nambari hizi, 13 na 33. Wale wanaoitwa waanzilishi wa taifa ka Marekani ni Freemason na karibu wote wa...
8 Reactions
27 Replies
15K Views
Je alama ya mnyama ni nini? Kuna maelezo mengi yaliyotolewa na baadhi ya watu juu ya alama ya mnyama, wengine hudhani kuwa alama ya mnyama ni “chip” ya computa, au kadi, au kitu halisi kinachoweza...
8 Reactions
311 Replies
91K Views
How do you understudy by the term imagination, logic? is logic a mind? do you use imagination or logic in your life? do billionaires use logic or imagination? how do you improve your...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Watsup comrades, Taifa la Ethiopia mbioni kugawanyika kama hali iliyopo isipodhibitiwa kwa hekima na busara sio miguvu tena. Vita ni kati ya majeshi ya serikali ya shirikisho ya Ethiopia chini...
9 Reactions
43 Replies
4K Views
Kwa kosa la Adam na Hawa, mtu aliondelewa uwezo wa akili, hali ya kimungu. Mtu aliumbwa kwa mfano na sura ya Mungu. Ndiyo kusema mtu ni mwili na roho aliyeumbwa kushiriki uumbaji wa muumba wake...
8 Reactions
158 Replies
13K Views
Wanabodi. Kumbukumbu ni moja ya vitu ambavyo binadamu anaishi navyo milele hadi kufa navyo!. Ubongo ni kama computer hard disc, na uwezo wa kuhifadhi ni kama computer memory, kadri unavyohifadhi...
15 Reactions
46 Replies
9K Views
Back
Top Bottom