Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,671
- 8,237
Nimemsikiliza Jana CDF Jenerali Mabeyo akisema Kwamba takriban Vijana 854 wamefukuzwa Jeshi kwa Kufanya maandamano na Kugoma ambapo alisema ni uasi.
Je, Hao Vijana Kama Walikuwa na Uwezo Wa Kupanga na Kufanya Uasi ndani ya Jeshi ina maana intelijensia ya Jeshi Haina Uwezo Wa Kugundua Hivi Vitu na Kuzima Hizi Harakati za Hawa Vijana Mapema?
Haya wanaondolewa Jeshini na Wana kila Aina ya Mafunzo Je Wakiwa uraiani Watafuatiliwaje Ili wasifanye Madhara Yoyote Kwa Wananchi au Wanaweza Kujiunga Hata na Magenge Ya Uhalifu.
Je, wataachwa kiholela bila Kufuatiliwa Serikali ikajua wanafanya nn?
Cc MtamaMchungu JokaKuu
Je, Hao Vijana Kama Walikuwa na Uwezo Wa Kupanga na Kufanya Uasi ndani ya Jeshi ina maana intelijensia ya Jeshi Haina Uwezo Wa Kugundua Hivi Vitu na Kuzima Hizi Harakati za Hawa Vijana Mapema?
Haya wanaondolewa Jeshini na Wana kila Aina ya Mafunzo Je Wakiwa uraiani Watafuatiliwaje Ili wasifanye Madhara Yoyote Kwa Wananchi au Wanaweza Kujiunga Hata na Magenge Ya Uhalifu.
Je, wataachwa kiholela bila Kufuatiliwa Serikali ikajua wanafanya nn?
Cc MtamaMchungu JokaKuu