History and mission of Jesuit to USA part 02

zebedayo musibha

Senior Member
Oct 26, 2019
111
86
UJASUSI WA KIDINI
SEHEMU YA PILI

MISSION YA KUIVAMIA AMERIKA NA SERIKALI MAARUFU DUNIANI

1. BUNGE LA VIENNA (AUSTRIA)
Watawala wa ulaya waliitisha baraza kuu huko vienna, austria mnamo 1814 -1815.
Bunge hili la vienna liliunda USHIRIKA MTAKATIFU(HOLY ALLIANCE), na 'Vyama vyenye mkataba mkubwa' wa mkataba huu, ambao walikuwa Urusi, Prussia, [Ujerumani], Austria, na Papa Pius VII, mfalme wa Serikali za Papa, waliingia mkataba wa siri kufanya hivyo
ambao lengo lao kuu lilikuwa kuangamiza serikali zote maarufu.

Serikali maarufu ni zile ambazo serikali inaruhusu raia wake kufurahiya haki fulani ambazo haziwezi kutengwa. Je! Unaweza kufikiria serikali yoyote maarufu ambayo ilikuwa ikijiimarisha ulimwenguni na kuwapa raia wao haki fulani zisizoweza kutolewa karibu na mwaka wa 1815?

Ushirika Mtakatifu ukiharibu serikali maarufu nchini Uhispania, na huko Italia, ulikuwa na mipango nzuri pia ya kuharibu serikali maarufu katika Makoloni ya Amerika ambayo yalikuwa yameasi kutoka Uhispania na Ureno katika Amerika ya Kati na Kusini chini ya ushawishi wa mfano uliofanikiwa wa Umoja wa Mataifa. Majimb

(BURKE MCCARTY, THE SUPPRESSED TRUTH ABOUT THE ASSASSINATION OF ABRAHAM LINCOLN, ARYA VARTA PUBLISHING, 1924, P. 7.)


2. BUNGE LA VERONA MWAKA 1822
Wakati wa Bunge hili, iliamuliwa kwamba Amerika itakuwa shabaha ya wajumbe wa jesuit na kwamba Amerika inapaswa kuharibiwa kwa gharama yoyote. kila kanuni ya katiba ilipaswa kufutwa na kanuni mpya za wajesuiti zilitakiwa kuwekwa ili kuinua upapa kutawala katika Amerika.

3. MKUTANO MWINGINE ULIFANYIKA CHIERI, ITALIA MNAMO MWAKA 1825.
mnamo 1825, miaka kumi na moja baada ya kufufuliwa kwa agizo la wajesuiti, mkutano wa siri wa wajesuiti wanaoongoza ulifanyika katika chuo chao cha chieri karibu na turin, kaskazini mwa italia. katika mkutano huo, mipango ilijadiliwa juu ya maendeleo ya mamlaka ya upapa, ulimwenguni kote, kwa kudhoofisha serikali zilizosimamia na kuponda wote wanaopinga mipango na matamanio ya wajesuiti… "tunacholenga, ni dola ya ulimwengu…
LENGO LA CHIERI LIKO WAZI; KUHARIBU UPROTESTANTI KWA GHARAMA YOYOTE, NA KURUDISHA NGUVU YA MUDA YA UPAPA – DUNIANI.
MIKUTANO HII MITATU, HUKO VIENNA, VERONA, NA CHIERI, ILIFANYIKA KWA USIRI MWINGI IWEZEKANAVYO. WALAKINI, MTU MMOJA ALIHUDHURIA MIKUTANO MIWILI YA KWANZA AMBAYO HAINGENYAMAZISHWA. WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA UINGEREZA GEORGE CANNING ALIWASILIANA NA SERIKALI YA MERIKA KUWAONYA
KUWA WAFALME WA UROPA WALIKUWA WANAPANGA KUHARIBU TAASISI HURU ZA AMERIKA.


WAJASUIT WALIINGIA AMERIKA KAMA MAPADRI, WALIMU, WATUMISHI WA NDANI
PIA ILIWATUMIA WAKATOLIKI WA IRELAND NA KUTOKA KILA KONA YA ULIMWENGU KUINGIA AMERIKA WAKAJIFANYA MASKINI LAKINI WAAMINIFU WALIJAZANA KATIKA MIJI YA WASHINGTON, NEW YORK, BOSTON, CHICAGO, BUFFALO, ALBANY, TROY, CINCINNATI. CHINI YA VIVULI VYA MIJI HIYO MIKUU, WAMAREKANI WALIWAONA KAMA WATU WASIO WEZA CHOCHOTE NA KUWATAZAMA WAKATOLIKI MASKINI WA IRELAND KWA DHARAU KUBWA, KAMA WANAOFAA TU KUCHIMBA MIFEREJI YAO, KUFAGIA MITAA YAO NA KUFANYA KAZI KATIKA NYUMBA ZAO.
PIA WAPO WALIO PITIA KATIKA MIFUMO YA KIELEMU KAMA WALIMU WENYE FANI MBALI MBALI NA WAFANYA BIASHARA WAKUBWA NA WENGINE KUFUNGUA MABENKI NA KUTOA HUDUMA ZA KIFEDHA
PIA WAPO WALIO JIUNGA NA JESHI LA NCHI NA VIKOSI MBALI MBALI VYA ULINZI.
HATIMAE WAKAWA WAMEPENYA HADI KUSHIKA NAFASI KATIKA IDALA NYETI ZA KISERIKALI NA WENGINE KUINGIA KATIKA BUNGE LA CONGRESS
PIA WALIKUWEPO WAJESUITI WA KIMALEKANI WALIO ONEKANA KAMA RAIA WATIIFU LAKINI WALIKUWA NI MAAJENTI WA ROMA HAWA NAO WALIUDUMU KATIKA SERIKALI NA KUSHIKA NAFASI MBALI MBALI


WALIWEZA KUSUKA NJAMA ZA KUWAHUJUMU BAADHI YA MARAISI WALIO PINGANA NA SERA ZA RUMI KAMA IFUATAVYO

1. RAIS ANDREW JACKSON (7TH PRESIDENT)
HUYU ALICHAGULIWA KUWA RAIS WA MAREKANI MNAMO MWAKA 1828.
RAISI ENDREW ALIPATA UPINZANI WA KUSALITIWA NA ALIYE KUWA MAKAMU WAKE JOHN C. CALHOUN NA MFANYABIASAHARA WA MIKOPO YA KIBENK NICHOLAS BIDDLE.
HAWA WOTE WALIKUWA WAMAREKANI WALIO KUWA WAKITUMIWA NA MAJESUITI PIA WAKIMTII PAPA

JOHN C. CALHOUN (MAKAMU) ALIANZISHA GAZETI LILILOITWA THE UNITED STATES TELEGRAPH.
ALIANZA KUCHAPISHA MACHAPISHO YANAYO HUSU HAKI ZA MAJIMBO (STATE RIGHT) HUKU AKICHOCHEA MAJIMBO YA KUSINI KUWA YANANYONYWA KUTOKA KWENYE MUUNGANO KWA KUPANDISHIWA KODI.
MALENGO YAKE ILIKUWA KUVUNJA MUUNGANO ILI MAREKANI IGAWANYIKE.
INGAWAJE HILO HALIKUFANIKIWA BAADA YA RAIS ANDREW JACKSON KUZIMA HUO MPANGO WA STATE RIGHT.

NICHOLAS BIDDLE ALIANZISHA VUGUVUGU LA KUANZISHA BENKI KUU YA KIBINAFSI MAREKANI
NYUMA YAKE KULIKUWA NA MFADHILI WAKE ALIYE ITWA ROTHSCHILDS.
ROTHSCHILD FAMILY HAWA WALIKUWA NI WAFADHILI WA BENKI KUU YA ULAYA NI WAYAHUDI WALIO MTUMIKIA PAPA KAMA MAJESUITI WALIO LENGA KUIMILIKI BENKI YA AMERIKA.
PIA HUU MPANGO RAIS ANDREW JACKSON ALIUZIMA KWA KUPITIA KURA ZILIZO PIGWA NA BUNGE LA CONGRESS

NJAMA ZA WAJESUITI KWA BENKI KUU YA AMERIKA ZILISITISHWA KWA MUDA WAKATI WA URAIS WA ANDREW JACKSON.
BAADA RAIS ANDREW JACKSON KUPINGA SERA YA HAKI YA MATAIFA YA CALHOUN, NA AKASIMAMISHA JARIBIOLA BIDDLE LA KUENDELEA NA BENKI KUU.

BAADA YA HAPO WAJESUITI WALIJIPANGA NA WALIJIPENYEZA KUINGIA SERIKALINI KATIKA VIWANGO VYA JUU KABISA, NA KUWATUMIA MAAJENTI WAO KUDHIBITI MFUMO YA KIBENKI YA AMERIKA. PIA NAKUTUMIA MAUAJI WAKATI WA LAZIMA ILI KUHARIBU UPINZANI ULIO JITOKEZA KUKWAMISHA MIPANGO YAO.

RAISI ANDREW JACKSON ALIKOSWAKOSWA KUUAWA NA WAJESUITI, WALIPATA UPINZANI MKUBWA KUTOKA KWA WAJESUITI



KUPITIA MIFUMO YAO YA KIJASUSI WALIYO IWEKA NDANI YA SERIKALI KWA MARAISI WALIO FUATA BAADA YA ANDREW JACKSON

2. WILLIAM HENRY HARRISON (9TH PRESIDENT )
ALICHAGULIWA KWA RAIS WA MAREKANI MNAMO 1841.

KUTOKANA NA MSIMAMO WAKE WA KUTOTAKA MAREKANI ITAWALIWE NA UPAPA WA ROMA KWA KUFATA MISINGI YA KATIBA YAO, RAIS HARRISON ALIONEKANA WAZI KUWAPINGA ROMA.
ILIMCHUKUA SIKU 35 KUKAA IKULU AKAWA AMEUWAWA APRILI 4, 1841 NA WAJESUITI WALIO INGIA KATIKA MIFUMO YA KIJASUSI YA NCHI .
RAIS HARRISON ALIUWAWA KWA SUMU YA ARSENIC ILIYO SIMAMIWA NA WAJESUITI, INGAWAJE SERIKALI ILITANGAZA KUWA KAFARIKI KWA UGONJWA WA NIMONIA.

3. RAIS ZACHARY TAYLOR(12TH PRESIDENT)
ALICHAGULIWA KUWA RAIS WA MAREKANI MNAMO MWAKA 1848 – 1850
ALISIMAMIA MSIMAMO WAKE KUHUSU UVAMIZI WA CUBA BAADA YA KUALISHA HUO MPANGO MIEZI 16 BAADAE ALIUWAWA KWA SUMU YA ARSENIC.

4. RAIS JAMES BUCHANAN (15TH PRESIDENT)
ALIKUWA RAIS WA MAREKANI MWAKA
(1857–1861)
PIA MSIMAMO WAKE ULIONEKANA WAZI KUWAPINGA WAJESUITI
ALIWEKEWA SUMU KWENYE CHAI ILA ALIWEZA KUTAMBUA KUWA NI SUMU YA ARSENIC HIVYO MADAKATARI WALIJITAIDI KUMTIBU HATIMAE AKAWA AMEEPUKA KIFO



5. ABRAHAM LINCOLN (16TH PRESIDENT)
ALICHAGULIWA KUWA RAIS WA MAREKANI MNAMO MWAKA March 4, 1861 – April 15, 1865
KUTOKANA NA MSIMAMO WAKE KUHUSU AMERIKA PASIPO KUMWINAMIA PAPA TAREHE 14 APRIL 1865 ALIPOTEZA MAISHA BAADA YA KUPIGWA RISASI.

RAIS LINCOLN ATAKUMBUKWA KATIKA UIMARA WAKE WA KUKOMESHA UTUMWA NA KUSIMAMA IMARA KATIKA KUSIMAMISHA VITA VYA WENYEWE KWA WENYEWE (AMERICAN CIVIL WAR)




Sent from my SM-J400F using JamiiForums mobile app
 
Mambo yanaendelea
Huwezi kuelezea Ujezuit kwa kutumia secondary au hearsay sources. Soma lengo la Ujezuit kutoka kwa mwanzilishi mwenyewe alikuwa na lengo gani na Ujezuit ulieneaje kuanzia enzi hizo hadi leo hii. Hizi hearsay au secondary sources hazikupi habari sahihi za Ujezuit duniani. Ukifanya hizo unakuwa siyo fair to yourself na kwa Jesuits wenyewe.
 
Huwezi kuelezea Ujezuit kwa kutumia secondary au hearsay sources. Soma lengo la Ujezuit kutoka kwa mwanzilishi mwenyewe alikuwa na lengo gani na Ujezuit ulieneaje kuanzia enzi hizo hadi leo hii. Hizi hearsay au secondary sources hazikupi habari sahihi za Ujezuit duniani. Ukifanya hizo unakuwa siyo fair to yourself na kwa Jesuits wenyewe.
Mkuu, Mbona wanifokea!?!!

Kosa langu ni lipi hapo? Kusema, "Mambo yanaendelea," tayari nimekuwa adui wa imani yako?

Nilistahili kupewa maelezo hayo kweli au MLETA MADA wa UZI HUU ndo ulitakiwa useme naye katika hilo?
 
Mkuu, Mbona wanifokea!?!!

Kosa langu ni lipi hapo? Kusema, "Mambo yanaendelea," tayari nimekuwa adui wa imani yako?

Nilistahili kupewa maelezo hayo kweli au MLETA MADA wa UZI HUU ndo ulitakiwa useme naye katika hilo?
Sijakufokea na in fact nilichoandika kilihusu mtu aliyeandika haya madudu na sikuweza kutofautisha mwandishi na mtu aliye'copy' na ku'paste'. Hata hivyo, nadhani you share either the credit or blame.
 
Kabla sija changia chochote nataka kujua yafuatayo kuhusu Wasabato na ukatoliki..

1. Kwamba siyo dhambi kwao kutunga uwongo ili mradi tu uwe unashusha hadhi ya Kanisa au taasisi zake.

2. Kwamba wao ndio wana taarifa za ndani kabisa ya Kanisa kuliko wakatoliki wenyewe..

itoshe tu kusema bandiko hili limejaa chuki za waziwazi za kidini..

ntashangaa sana kama mods wataliacha
 
Kujua kwa undani gusa hapa


 
Ujinga mtupu...kujifanya msomi na kujua Mambo kumbe hakuna kitu...nyuzi Kama hizi ni za kufuta
 
Back
Top Bottom