Sio kwamba kwenye utawala wa BM na JK siri za serikali na viongozi wake zilikuwa hazivuji zilivuja ila sasa imekuwa too much.
Alianza Mange kuvujisha mambo very sensitive na alileta taaruki kweli...
Kolonia Santita: Laana Ya Panthera Tigrisi ni hadithi ya kusisimua ya kijasusi na madawa ya kulevya iliyoandikwa na Enock Abiud Maregesi. Inazungumzia vita kati ya Tume ya Dunia ya Umoja wa...
Wakuu mimi hapa nataka kuuliza ivi kuna nyota dhaifu kuliko nyingine? au nyota yoyote inaweza kung'alishwa na wataalamu ikang'aa na pia nyota yoyote inaweza kufifia ikiwa haijang'alishwa?
Na je...
Hivi ni viapo kwa kifupi vya wanachama wa Jesuits na unaweza pia kuvipata kwenye mtandao huu: http:www.zenit.org
Huu ni mtandao wa ROMAN CATHOLIC
nitaviweka hapa chini....
Ukweli ni kwamba...
Wakuu,
Confidence ya huu uzi sina, naogopa kuandika hapa, ninatetemeka, maana hii taasisi inatisha kuliko hata amateur jihad fighters.
So I'll keep it short and sweet ila Jesuits, I'm sorry in...
UJASUSI WA KIDINI SEHEMU YA TATU
KUTENGENEZWA NA KUZAMA KWA MELI YA TITANIC.
Baada ya Wajasuiti kupenya kwenye mifumo ya serikali ya Marekani, kama tulivyo ona sehemu ya kwanza na ya pili...
UJASUSI WA KIDINI
SEHEMU YA PILI
MISSION YA KUIVAMIA AMERIKA NA SERIKALI MAARUFU DUNIANI
1. BUNGE LA VIENNA (AUSTRIA)
Watawala wa ulaya waliitisha baraza kuu huko vienna, austria mnamo 1814...
Nimemsikiliza Jana CDF Jenerali Mabeyo akisema Kwamba takriban Vijana 854 wamefukuzwa Jeshi kwa Kufanya maandamano na Kugoma ambapo alisema ni uasi.
Je, Hao Vijana Kama Walikuwa na Uwezo Wa...
Habari wakuu,
Hivi ulishawahi kudhulumiwa na ukaamua kupiga goti ukamuomba mungu ampe siku nyingi mdhulumaji wako ili siku ukifanikiwa akuwe shahidi, huku kimoyomoyo ukisema mungu atamnyoosha ila...
HATA BINADAMU WA SASA IPO SIKU ATOWEKA (EXTINCT)
[emoji117]Iko hivi, hakuna species yoyote ambayo itaishi milele(hakuna immortal species),Kila kundi la viumbe wa jamii moja(species) ipo siku...
Watoto wenye akili za ziada milion5 wazalishwa kila baada ya miaka10 us chember place,watoto hao wako shapu na wakiwa mbele ya muda kwa kila skills,wakati sisi tunapambania kujazana vyuoni na kula...
Mbali na kuwa wenyeji na wahusi wa dunia hii lakini tumekuwa kama watwaliwaji watekelezaji wa sanaa za maisha ndani ya dunia yetu,tumekua tukiona visivyo halisi na kufanya yasiyo thabiti je hii...
Ndugu zangu.
Huwa naona walinzi wa viongozi wakubwa katika nchi mbalimbali huvaa ear phone na wakati huohuo huwezi ona wakiongea.
Wanawasilianaje maana huwezi ona wakiongea ?
Masikio...
"Ukiwa kwenye taamuli unaona kilichokuwa kinaendelea akilini mwako wakati wote" Allan Lokos.
Zipi hasa ni baadhi ya FAIDA za kufanya taamuli vyema na mara kwa mara;
1. Taamuli(meditation)...
Ni jambo la ajabu sana ya akili za binadamu wa siku hizi kuwa hazifanyi kazi, nadhani ni kwa sababu ya kutumia Synthetic foods and drinks, because what you eat and drink, you become! Kila kona...
Khabari vipi
Katika chambua chambua zangu za hapa na pale mara nikagundua waliopewa jukumu la kujenga chuo cha kimataifa cha dodoma wachina walijenga yale majengo wa muundo wa kipekee ambao ukiwa...
Tumeona ufundi wa kibiolojia ukibadilisha mambo mengi sana. Tumepata ng'ombe wa kisasa wanaotoa maziwa na nyama nyingi. Tuna kuku wa kisasa wanaotaga sana na kutoa nyama kibao. Tuna miwa yenye...
Habari za asbuhi great thinkers.
Moja kwa moja niende kwenye topic kuhusu nilichotafiti kwangu binafsi kwa kuconnect dots ya source mbalimbali nilizosoma naweza conclude kwamba weusi wetu...
“Nyoka alikuwa mwerevu kuliko wanyama wote wa porini walioumbwa na Mwenyezi-Mungu. Basi, nyoka akamwambia huyo mwanamke, “Ati Mungu alisema msile matunda ya mti wowote bustanini?” 2Mwanamke...
Vitabu vitakatifu neno hili tumekuwa tukilitumia hasa pale tunapogusia vitabu vyote vya kiimani vilivyokubalika kutumiwa na waamini wa dhehebu lolote lile duniani.
Leo ntazungumzia madaraja ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.