Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Kifo cha Rais Magufuli kimefunua siri ambayo nadhani wengi hawakuwahi kuijua. Kifo cha Rais Magufuli kimeonyesha jinsi ambavyo Rais Samia alikuwa hajui siri za nchi ambazo kwa wadhifa wake kama...
85 Reactions
179 Replies
25K Views
The Marijuana Conspiracy The Real Reason why Hemp is Illegal by Doug Yurchey And I will raise up for them a plant of renown, and they shall be no more consumed with hunger in the land...
12 Reactions
107 Replies
37K Views
Habari za wakati huu wana Jamii Forums. Nimekuwa nikijiuliza sana hili swali, japo linaweza kuonekana kama halina mantiki kwa baadhi yenu ila ningependa kulileta kwenu. Hii dhana ya Mwaafrika...
3 Reactions
17 Replies
3K Views
Sina haja ya kutoa salam. Kwani najua wengi hampo salama. Nimeamua kuleta mada hii tata ili kuwafumbua macho walio wengi. Kwanza nakiri kwamba ukweli unashangaza sana. Truth is stranger tha...
47 Reactions
126 Replies
21K Views
Karibuni katika mfululizo wa Makala kuhusu UJASUSI WA KIDINI. SEHEMU YA KWANZA. WAJESUITI ( Jumuia au jamii ya YESU) Ni shirika la Kanisa Katoliki ambalo linafafanuliwa kama utaratibu wa kidini...
5 Reactions
28 Replies
8K Views
Nadhani ni wengi tumewahi kuisikia au hata kuiona picha maarufu duniani hasa kwa waumini wa dini ya kikristo ya THE LAST SUPPER iliochorwa na mtu anaedhaniwa kuwa miongoni mwa watu wenye akili...
11 Reactions
155 Replies
32K Views
... Komandoo ni askari sugu, heavy duty machine na killing engines. Anapitia trainings nyingi za Hatari zikiwemo za kuvumilia mateso magumu ili wawe hard to crack and ku-develop mania during...
3 Reactions
4 Replies
2K Views
Haya madai huwa nayasikia sana kutoka kwa hawa jamaa. Sasa nina maswali kwao. Je kwanini wamefikia hatua ya kudai ya kuwa Mola muumba ni matokeo ya fikra za mwanadamu kutokana na uoga, hofu ya...
3 Reactions
493 Replies
36K Views
Katika hali ya tafakuri ya kawaida, Mungu ndiye Muumba wa vitu vyote akiwemo kiumbe binadamu! Kizazi cha binadamu hufanya watu kuongezeka kila kukicha. Ongezeko la watu na kizazi kuendelea kuwepo...
6 Reactions
66 Replies
6K Views
Mungu amemuumba mwanadamu kwa sura na mfano wake. Dunia hii ina watu wa rangi mbali mbali. Kuna wazungu, waafrika, waarabu, waasia, n.k. Swali linakuja, je, Mungu amechukua sura ya watu wa wapi...
2 Reactions
116 Replies
15K Views
Nawasalimu katika jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania! Wapendwa tumekua tukiona kwa macho yetu, kwamba Mh Rais Samia ana walinzi wenye mabunduki mazito mazito pindi anapokua kwenye tukio au...
7 Reactions
121 Replies
16K Views
Nimekutana na khabari kuwa kuan fweza nyingine za BOT zimeliwa kiajabu ajabu na kampuni yenye jina la Kiganda-Kagoda Agriculture Limited. Baya zaidi ni jinsi gani ambavyo udhaifu wa kiutendaji...
0 Reactions
538 Replies
90K Views
Habari wana g.t. Siku ya leo nimeona ni muhimu ku-share na great thinkers hiki kitandawili ambacho nimejiuliza kwa miaka mingi bila kupata hitimisho. Kitandawili hicho ni"what if life is a dream...
5 Reactions
17 Replies
2K Views
Tukubali tukatae kama mwanadamu angekuja miaka bilioni 2 iliyopita basi kufikia 2021,leo tungekuwa dunia ya teknolojia kubwa. Mfano kusafiri mbali nje universe,kwenda sayari yoyote na popote...
7 Reactions
42 Replies
4K Views
Kwanini sio pembe tatu, tano au walau umbo la duara au yai? au hata pembe sita? ================================== Update: 20/09/2021
1 Reactions
43 Replies
8K Views
1. Mto AMAZON Mto huu unapatikana Amerika ya Kusini, ni mkubwa kuliko mito yote duniani na hatari sanaa kwasababu ya urefu wake na upana wake. Kwakuwa mto huo ni mkubwa kuliko mito yote duniani...
40 Reactions
125 Replies
45K Views
Hi Guys! Katika tafiti tulizokaririshwa na kuaminishwa, ni mengi tumeambiwa na wanasayansi wanaodai wametoka nje ya dunia. Mojawapo ya mambo tuliyoambiwa ni kwamba kuna miaka Billions Light years...
10 Reactions
361 Replies
26K Views
Wanabodi, Nimekuwa nikijiuliza sana sisi tunaomwabudu Mungu wa dini mbalumbali na madhehebu mbalimbali, utakuta tunapingana kwa mengi mpaka tunatowana macho lakini likifika swala pesa hizi dini na...
4 Reactions
30 Replies
9K Views
mtu anapo kimbia bafuni bila nguo kisa ameona mende ile ni hofu lakini mtu anapo kimbia simba msituni ile ni anakimbia hatari, mtu anapo ona kisiki usiku na kuzani ni mtu ile ni hofu. Tukiweza...
5 Reactions
12 Replies
2K Views
UFISADI NA BIASHARA YA FEDHA HARAMU ...Mei 1998, Andrew Chenge, akiwa mwanasheria mkuu alihalalisha (Authorized) malipo ya dola 600,000 kwenda kwenye akaunti ya kampuni iliyoitwa Langley...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom