habari wadau..
kwa spidi ya awamu hii.. naona kabisa SAUT, Tumaini, st johns na vyuo vingi vya private vilivyoanzishwa awamu ya 4 vikielekea kukosa wanafunzi kabisa na mwisho wa siku kufilisika...
Wanabodi
Nisiwe mnafiki katika hili, napenda kutoa pongezi za dhati kwa clouds media group kwa kufanikisha kampeni ya "naamka na Jetman" aliyelala kwa muda wa zaidi ya miaka mitano
msanii huyo...
Especially la Joti, ni baya kuwahi kutokea, kwanza halina uhalisia.
Huyu mtu wameisha m-utilize vya kutosha, watafute wabunifu wengine.
Wakenya wakiliona watazidi kutudharau sana.
Maofisa wawili wa Mamlaka ya mapato Tanzania, TRA, kituo cha Tunduma wamefikishwa katika hamakama ya hakimu mkazi mkoa wa Mbeya na kuunganishwa na watuhumiwa wengine saba katika kesi ya uhujumu...
Wafanyakazi wa Benki ya BancABC Tanzania, wafikishwa mahakamani wakituhumiwa kuiibia benki shilingi 23,700,000.
Wawili hao waliotambulika kama Paul Mwakiteleko na Edward Kubagwa wanadaiwa...
Haki zetu kuwa na wenza wetu tupeni,
Kama uhamisho na mambo yote ya msingi.
Mmeshakuwa mawe na sisi nazi hatuna jipya mpaka 2020.
Wote tunastahili haki na usawa katika Taifa..
Sio...
Waziri anasimamia anasema sentensi kama hizi. Hivi hawa viongozi uwa wamelewa madaraka au ndio majivuno. Unaweza kusimama kusema maneno ya namna hiyo, naimani mheshimiwa anadhani kwa kuwa...
Jopo la majaji watatu wa mahakama ya rufaa nchini Kenya wameoneza siku saba zaidi kwa wapatanishi wa kutafuta suluhu kwa mgomo wa madaktari kupata dawa ya mgomo huo kwa masharti kuwa mazungumzo...
Ninaomba msaada, kila nikifungua website ya TCRA, computer yangu inaniambia
Infection Detected
The requested URL contains malicious code that can damage your computer. If you want to access the...
Leo kupitia Redio BBC idhaa ya kiswahili kuna mahojiano yamefanywa Na mtanzania kabila la mkurya huko Mara akisema kuwa mila ya kabila hilo ni kwamba ikitokea umekufa bila kuoa ni lazima ndugu...
Nimetoka kuzunguka Madukani Mjini Sa Hivi toka Nifanye Shopping zamani mwezi wa Kwanza.. Nimerudi Leo Kidogo Nihairishe Kununua Vitu
[emoji666]Mchele Kilo Moja Tsh 1900
[emoji666]Mafuta Ya...
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuachia huru mke wa marehemu bilionea Erasto Msuya, Miriam Mrita na mwenzake Revocatus Muyela wanaokabiliwa na kesi ya mauaji ya Aneth Msuya.
Hata hivyo muda...
Kadri teknolojia inavyozidi kukua ndivyo navyo baadhi ya watu wavyotumia teknolojia hiyo hiyo kufanya ugaidi na kuangamiza watu pamoja na makazi yao, ili kuhakikisha kuwa haya hayaendelei kutokea...
Najua wengi leo asubuhi mmefanikiwa kusikiliza audio iliyopostiwa hapa na member aitwaye@Tatamadiba . Ni mazungumzo ya simu ya dk 7 kati ya steve nyerere na mama yake wema sepetu
Usiniulize nani...
Sitaki niende mbali ila naomba tu kupitia Headline yangu ya uzi wangu huu basi nijibiwe swali langu hilo muhimu mno kwani naona tayari kama vile hali ya hewa imeshachafuka mahala fulani na Watu...
Ni kiwewe cha watumishi wa serikali ya Magufuli hadi kupoteza muelekeo au ni mpango wa kumuhujumu Rais ili achukiwe na umma? Mwanafunzi amedahiliwa na chuo kikuu, kwa utaratibu rasmi wa udahili...
Ni kwa Ku introduce meli hii kubwa ya aina yake itakayosafiri ka
ti ya unguja,Pemba na Tanga,yenye madaraja matatu,First class,business na economy class.
Meli itakayobeba abiria zaidi ya...
Naamini mnaendelea vema na shulughuli za kila siku poleni kwa majukumu maana changamoto zimekuwa nyingi.
Kuna swali ambalo huwa najiuliza kila siku kutokana na yale unayokuta wakati mwingine...
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, amesema serikali itatoa adhabu kali ya kifungo cha miaka 30 jela kwa wazazi wote wawili wa mtoto wa kike atakayekatishwa masomo na kulazimishwa kuolewa ama akipata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.