Vyuo Vikuu vya binafsi (private) vijiandae kuisoma namba.. muda utaongea

MKATA KIU

JF-Expert Member
Nov 22, 2010
2,855
6,213
habari wadau..

kwa spidi ya awamu hii.. naona kabisa SAUT, Tumaini, st johns na vyuo vingi vya private vilivyoanzishwa awamu ya 4 vikielekea kukosa wanafunzi kabisa na mwisho wa siku kufilisika kwa kushindwa kujiendesha...

mfano hai juzi wanafunzi wasio na sifa wameondolewa vyuoni na tcu.. mfano saut tu wanafunzi 1000 wameondolewa... hawa wote wanalipa ada kufanya chuo kijiendeshe sasa wanafukuzwa...

na bodi ya mikopo ndio imevurugwa haichek na mtu mjanja mjanja..

miaka ya sasa kama hujachaguliwa chuo cha serikali mkopo kupata ni ngumu sana...

maana hata hapo udsm chuo cha taifa mkopo kuupata ngumu.. ndio uende st johns serikali ikupe loan...

naona kabisa wateja wa hivyo vyuo ambao ni wanafunzi kukosekana wa kusoma vyuo hivyo...

mark my words... vyuo vingi sana vinaenda kufilisika soon...

waliowekeza kwenye hostel na nyumba za kupangisha wanafunzi nao wajiandaeeeeee

nchi ilifika pabaya sana kila mtu anajianzishia chuo tu apige hela huku elimu mbovu mbovu...

magufuli chaguo la mungu tinga tinga amekujaaa kufuta janja janja zote nchi hiiii

hata mzumbe ilikuwa na janja janja nyingi sana.. mtu form 4 tu.. anasoma certificate mwaka mmoja... kisha anajiunga degree na anapata loan.. hii ilichangia sana kuleta graduates vihiyooo
 
Najua kwamba vyuo vingi binafsi kama havitaboresha elimu yao kuwa nzuri zaidi ya vyuo vya serikali vinaweza kugeuzwa kuwa secondary schools au vyuo vya cheti na diploma tu
 
Mkuu sio vyuo binafsi tu, hata shule za "A" level za binafsi kuna hatari ya kupungukiwa wanafunzi
 
Kwa nn secondary private wanatoa elimu bora na college and universities private wanatoa elimu hovyo?? Nadhan kwa kuwa hakna mtihani Wa mwisho Wa kitaifa.
 
Kufa kwa vyuo binafsi haina tofauti sana na huko kwenye sekta binafsi.
 
habari wadau..

kwa spidi ya awamu hii.. naona kabisa SAUT, Tumaini, st johns na vyuo vingi vya private vilivyoanzishwa awamu ya 4 vikielekea kukosa wanafunzi kabisa na mwisho wa siku kufilisika kwa kushindwa kujiendesha...

mfano hai juzi wanafunzi wasio na sifa wameondolewa vyuoni na tcu.. mfano saut tu wanafunzi 1000 wameondolewa... hawa wote wanalipa ada kufanya chuo kijiendeshe sasa wanafukuzwa...

na bodi ya mikopo ndio imevurugwa haichek na mtu mjanja mjanja..

miaka ya sasa kama hujachaguliwa chuo cha serikali mkopo kupata ni ngumu sana...

maana hata hapo udsm chuo cha taifa mkopo kuupata ngumu.. ndio uende st johns serikali ikupe loan...

naona kabisa wateja wa hivyo vyuo ambao ni wanafunzi kukosekana wa kusoma vyuo hivyo...

mark my words... vyuo vingi sana vinaenda kufilisika soon...

waliowekeza kwenye hostel na nyumba za kupangisha wanafunzi nao wajiandaeeeeee

nchi ilifika pabaya sana kila mtu anajianzishia chuo tu apige hela huku elimu mbovu mbovu...

magufuli chaguo la mungu tinga tinga amekujaaa kufuta janja janja zote nchi hiiii

hata mzumbe ilikuwa na janja janja nyingi sana.. mtu form 4 tu.. anasoma certificate mwaka mmoja... kisha anajiunga degree na anapata loan.. hii ilichangia sana kuleta graduates vihiyooo

Mkuu hujawaelewa TCU,si kwamba wanafunzi hao hawakufaulu ila hawakufaulu yale masomo yaliyowaingiza vyuo,hivyo wanaweza kubadili mchepuo kwa kusomea masomo waliyoyafaulu,pia UDSM wako 224!!!!!!!,IFM 305,CBE 476,UDOM 52,mzumbe 639 ukijumlisha vyuo vya umma utaona ndo vinaongoza,je ifm kitafungwa?UDSM kitafungwa?cbe kitafungwa?
 
udsm inapata ruzuku.. cbe inapata ruzuku.. vyuo vyote vya uma vinapewa ruzuku... juzi magorofa ya hostel yamejengwa kibao mcity pale kwa tamko la rais... so hata mwanafunz asiwepo hata mmoja udsm mishahara itakuwepo maana serikal inawapa ruzuku...

je saut au st johns ikikosa mwanafunz ita survive??


Mkuu hujawaelewa TCU,si kwamba wanafunzi hao hawakufaulu ila hawakufaulu yale masomo yaliyowaingiza vyuo,hivyo wanaweza kubadili mchepuo kwa kusomea masomo waliyoyafaulu,pia UDSM wako 224!!!!!!!,IFM 305,CBE 476,UDOM 52,mzumbe 639 ukijumlisha vyuo vya umma utaona ndo vinaongoza,je ifm kitafungwa?UDSM kitafungwa?cbe kitafungwa?
 
udsm inapata ruzuku.. cbe inapata ruzuku.. vyuo vyote vya uma vinapewa ruzuku... juzi magorofa ya hostel yamejengwa kibao mcity pale kwa tamko la rais... so hata mwanafunz asiwepo hata mmoja udsm mishahara itakuwepo maana serikal inawapa ruzuku...

je saut au st johns ikikosa mwanafunz ita survive??
Kwa hyo hata kama hakuna wanafunzi serikali itatoa ruzuku ili walipane mshahara!!!!!!!!!?
 
Kwa hyo hata kama hakuna wanafunzi serikali itatoa ruzuku ili walipane mshahara!!!!!!!!!?

ndio maana yake na udsm haiwez kutokea ikose wanafunzi... na haitatokea had mwisho wa dunia.. kazi ipo kwa private.. muda utaongea tu
 
Mleta mada una akili ya nyenyere,, siyo kweli kwamba wameshafukuzwa kilichopo ni kuwa waende wakahakiki taarifa zao tu wala hakuna jingine!!
 
udsm inapata ruzuku....... je saut au st johns ikikosa mwanafunz ita survive??

Nadhani hakufikiria mbali zaidi alikuwa na mawazo ya karibu. Ni kweli vyuo vyote vya serikali, mishahara yote ya wafanyakazi hulipwa na serikali. Kuna fedha pia kiasi ya kusaidia uendeshaji ingawa siyo asilimia 100. Lkn vya binafsi ni hao wanafunzi wenyewe lbd na badhi vyenye wafadhili. Na hili ni tatizo maana inasababisha vyuo kudahili hata watu wasio na sifa ili kupata karo na kuweza kujiendesha. Kama kungekuwa na ubora unaostahili pengine wanafunzi wangekuwa wachache wenye viwango vizuri halafu serikali ingechangia kidogo kwenye vyuo hivi sbb vinasomesha watanzania ambao ni walipa kodi pia. Ingawa ni ngumu sana maana gharama ni kubwa
 
We kiumbe umenichefua maini ulipo andika sizonje chaguo la mungu. ..ivi we ni timamu kweli?
Mungu hadhihakiwi kwa wendawazimu kusema mniombee wakati anatenda kinyume na mapenzi ya mungu,mungu hateui watu wanafiki ili waongoze taifa lake,Bali huteua wenye hekina,busara na uchaji wa mungu ili wazitumie kuongoza,kuelekeza na kutawala
 
magufuli chaguo la mungu tinga tinga amekujaaa kufuta janja janja zote nchi hiiii

Mungu hakumchagua sisonje Bali sisonje alichaguliwa na waliomuasi mungu.na kwa sababu hiyo mtaadhibiwa kwa uasi huo hadi mtakapomrudia bwana kwa kufanya toba na kumkataa sisonje na mambo yake yote.


QUOTE="MKATA KIU, post: 19846548, member: 32158"]habari wadau..

kwa spidi ya awamu hii.. naona kabisa SAUT, Tumaini, st johns na vyuo vingi vya private vilivyoanzishwa awamu ya 4 vikielekea kukosa wanafunzi kabisa na mwisho wa siku kufilisika kwa kushindwa kujiendesha...

mfano hai juzi wanafunzi wasio na sifa wameondolewa vyuoni na tcu.. mfano saut tu wanafunzi 1000 wameondolewa... hawa wote wanalipa ada kufanya chuo kijiendeshe sasa wanafukuzwa...

na bodi ya mikopo ndio imevurugwa haichek na mtu mjanja mjanja..

miaka ya sasa kama hujachaguliwa chuo cha serikali mkopo kupata ni ngumu sana...

maana hata hapo udsm chuo cha taifa mkopo kuupata ngumu.. ndio uende st johns serikali ikupe loan...

naona kabisa wateja wa hivyo vyuo ambao ni wanafunzi kukosekana wa kusoma vyuo hivyo...

mark my words... vyuo vingi sana vinaenda kufilisika soon...

waliowekeza kwenye hostel na nyumba za kupangisha wanafunzi nao wajiandaeeeeee

nchi ilifika pabaya sana kila mtu anajianzishia chuo tu apige hela huku elimu mbovu mbovu...

magufuli chaguo la mungu tinga tinga amekujaaa kufuta janja janja zote nchi hiiii

hata mzumbe ilikuwa na janja janja nyingi sana.. mtu form 4 tu.. anasoma certificate mwaka mmoja... kisha anajiunga degree na anapata loan.. hii ilichangia sana kuleta graduates vihiyooo[/QUOTE]
 
Back
Top Bottom