Msemajiwao
JF-Expert Member
- Sep 12, 2016
- 674
- 1,667
Nataka nifoji cheti. Naombeni ushauri wenu wadau.maana nimegundua waliofoji wana bahati sana ya kupata kazi
Ukiambiwa uwataje una ushahidi au ndo unaongea tu pasipo kua na ushahidi hujui hilo ni kosa la jinai kisheliaWadau nimeona niilete kwenu!
Katika kusaka maisha, kuna jamaa zangu kadhaa ninao wajuwa walifoji cheti; wale jamaa wote sahivi wametusua vibaya! Wana maisha ya maana!
Mmoja alifoji vyeti akaingia bandarini, wengine wizarani, mwingine yupo ikulu aanakula maisha! Yaaani wooote jamaa wapo vizuri;
Imenibidi Leo niwaze sana hivi kwanini mijitu inayofoji vyeti inafanikiwa haraka namna hii jaman!?
Kuna jingine lilifoji cheti sahivi liko tanroad huko mbeya! Yaaani kila sehem ambapo nimewahi shuhudia jitu limeenda na vyeti vya kufoji hakuna hata sehemu moja palikwama!
Mwenzenu nimekata tamaa sitaki tena kusoma; nataka na Mimi nifoji kama mbwai tutajuana hukohuko potelea mbali. Naombeni ushauri wenu wadau.
UmeniwahiKwa sababu akili yao ni virgin inakuwa haijatumika kujua mambo hiyo wanatumia vyema kujipendekeza kwa wakubwa hili waonekane wema na wachapakazi na huwa wako tayari kufanya lolote hats kama halikubaliki hili kuwaridhisha wakubwa- Daudi Bashite case study.
'Kishelia'?!Ukiambiwa uwataje una ushahidi au ndo unaongea tu pasipo kua na ushahidi hujui hilo ni kosa la jinai kishelia
shusha tu mpaka Bashite na waumini wake wajisikie kichefuchefu kama wajawazitoUmeniwahi
Foji tu najua hapa TZ hatuna system ya kung'amua fojajiWadau nimeona niilete kwenu!
Katika kusaka maisha, kuna jamaa zangu kadhaa ninao wajuwa walifoji cheti; wale jamaa wote sahivi wametusua vibaya! Wana maisha ya maana!
Mmoja alifoji vyeti akaingia bandarini, wengine wizarani, mwingine yupo ikulu aanakula maisha! Yaaani wooote jamaa wapo vizuri;
Imenibidi Leo niwaze sana hivi kwanini mijitu inayofoji vyeti inafanikiwa haraka namna hii jaman!?
Kuna jingine lilifoji cheti sahivi liko tanroad huko mbeya! Yaaani kila sehem ambapo nimewahi shuhudia jitu limeenda na vyeti vya kufoji hakuna hata sehemu moja palikwama!
Mwenzenu nimekata tamaa sitaki tena kusoma; nataka na Mimi nifoji kama mbwai tutajuana hukohuko potelea mbali. Naombeni ushauri wenu wadau.