Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

[attach]4511[/attach bofya hapa.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nini tofauti ya tetesi na umbea? Maana nimekaa hapa na wananchi wachache madai yao, "watanzania ni wambea sana". Sikubaliani na hoja hiyo kimsingi! ila naweza nikaona ni mfumo mmoja wapo wa kupata...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Meya wa Moshi afunguliwa mashtaka kortini kwa kumzaba kibao mlinziNa Daniel Mjema, Moshi HATIMAYE Serikali imemfungulia mashitaka, Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi, Lameck Kaaya kwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nakumbuka nilipokuwa shule ya msingi nilisoma ngojera ya maneno haya! tumenyanyaswa vya kutosha, tumepuuzwa vya kutosha - sehemu ya maandiko ya mwalimu nyerere. Mwenye kumbukumbu juu ya...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Kama waziri aliekunywa maji ya bendera ya chama nahisi huyu alikunywa zaidi mhe waziri wa uvuvi BW magufuli amekamata watu;polisi;wakuu wa kata;serikali za mitaa pamoja na neti zile zilizotolewa...
0 Reactions
34 Replies
6K Views
Mchungaji akamatwa kwa kuzidisha muda wa mahubiriMwandishi Wetu, Singida JESHI la polisi mkoani hapa, linamshikilia mchungaji Nelson Andreson Mazengo maarufu kwa jina la Muyahudi (36) mkazi wa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kuoga aoge Rostam, Mengi, halafu watakate waandishi! Imeandikwa na Neophitius Kyaruzi; Tarehe: 5th May 2009 Hakuna ubishi kwamba hivi sasa nchini, habari zinazotamba katika vyombo vya...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
wadau wote, Nimepokea taarifa kuwa kutakuwa na zoezi la uteguaji wa mabomu yaliyosalia pale mbagala kwenye kambi ya jeshi. wanachi wote wa jiji wameagizwa wawe watulivu,wasiogope mitikisiko...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kwa wale ambao wanahitaji program mbali mbali badala ya zile za Microsoft, mnaweza kutumia Open Office, ambayo unaweza ku download bure na hata kuweza kuiendeleza. Kuna program za Text...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hakika vita ya ufisadi inayochukua mkondo tofauti kwa sasa inadhihirisha kushindwa kutawala kwa JK na chama chake. Dhambi ya ubaguzi aliyoianzisha JK na washirika wake Rostam na Lowassa hakika...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Waathirika wa mabomu wamepangwa familia TANO kwenye hema moja! Halafu eti wanasema wanategemea UNICEF watawapatia mahema kumi zaidi. Jamani, yaani jeshi letu limekosa mahema ya kutosha...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Its sadnews wakati biblia ikiendeleza ndoa iheshimike na watu wote huku kuna watu wakitarijika kupitia ndoa za watu...jamani kwa wale wanaomjua yule dada anaetengeneza nguo nzuri za harusi pale...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Bidha feki zinauzwa kila duka Tanzania. Ni imani hakuna Mtanzania ambaye hajalizwa. Mimi leo hii nimeenda dukani kununua betri za kamera. Najua zile za kintazania yaani national hazina nguvu ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Justin Timberlake to climb Mount Kilimanjaro Justin Timberlake Lupe Fiasco and Kenna also taking on African climb Apr 16, 2009 2 Comments Justin Timberlake news, reviews, video and tour dates...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nkwazi Nkuzi Tanzania Daima VYOMBO ya habari viliripoti na kumkariri Rais Jakaya Kikwete akifanya kile vyombo vya habari vilikiita msimamo juu ya tuhuma za ufisadi zinazoikabili serikali, chama...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Imeandikwa na Maulid Ahmed; Tarehe: 1st May 2009 Viongozi wa Umoja wa Vijana wa CCM wa Mkoa wa Tabora, wamemtaka Mwenyekiti wa IPP, Reginald Mengi, kuacha kutukana viongozi wa chama hicho na...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
4 September 2008 This alleged thief had to be rushed to hospital last night after being impaled on a fence. The...
0 Reactions
2 Replies
999 Views
Waathirika wa mabomu wakabidhiwa Sh 1.5 milioniNa Geofrey Nyang’oro WAKATI Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa Tanzania (Talugwu) kikitoa msaada wa Sh3milioni kwa ajili ya kusadia...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hakuna ubishi kuwa Tanzania inayumba kwa kukosa uongozi makini. Nyufa zimetapakaa kila pembe ya nchi na ufisadi unazidi kuzifumua. Mchango wa wanaharakati unahitajika sasa kuliko wakati wowote ule...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nyerere ameacha familia yake maskini hakuwa mjinga me ndhani bora nchi iongozwe na dictator, JAMANI tufanye nini ile yale yanayosemwa serikali haion,je watendaji wanogopa kukosa ajira, kukosa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…