Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,149
Kama waziri aliekunywa maji ya bendera ya chama nahisi huyu alikunywa zaidi
mhe waziri wa uvuvi BW magufuli amekamata watu;polisi;wakuu wa kata;serikali za mitaa pamoja na neti zile zilizotolewa na RAIS JOJI bush wakati alipokuja kwa ajili ya wanaoumwa malaria habari zaidi zinasema waziri amehuzunika sana baada ya kuona hata wakuu wa polisi wa mwanga wanashiriki kwenye uhalifu wa kuwalinda wale wanaovua samaki kinyume cha sheria...katika kuonyesha hili yuko makini jamaa aliomba zote ziliozkamatw ziwashwe moto mbele yake...na hapo ndipo wananchi walipojaa n akushindwa kuamini kinachotokea...
kazi kweli kweli;hongera MAGUFULI;hivi hawa mawaziri wengine HAWAKO KAZINI???
mhe waziri wa uvuvi BW magufuli amekamata watu;polisi;wakuu wa kata;serikali za mitaa pamoja na neti zile zilizotolewa na RAIS JOJI bush wakati alipokuja kwa ajili ya wanaoumwa malaria habari zaidi zinasema waziri amehuzunika sana baada ya kuona hata wakuu wa polisi wa mwanga wanashiriki kwenye uhalifu wa kuwalinda wale wanaovua samaki kinyume cha sheria...katika kuonyesha hili yuko makini jamaa aliomba zote ziliozkamatw ziwashwe moto mbele yake...na hapo ndipo wananchi walipojaa n akushindwa kuamini kinachotokea...
kazi kweli kweli;hongera MAGUFULI;hivi hawa mawaziri wengine HAWAKO KAZINI???